Nimesikitika sana kuona Mwarabu ana "score both halves" Tena kwenye uwanja wa Nyumbani (mkapa stadium)

Nimesikitika sana kuona Mwarabu ana "score both halves" Tena kwenye uwanja wa Nyumbani (mkapa stadium)

Kutoboa ni ngumu sana aisee.

Kumpiga 2 kavu kule kwao sio jambo dogo na sidhani kama Yanga ataweza.
Mbila bila changamoto
Ila 2-1 inawezekana
Ngoja tuone
Vyovyote itakavyokua ,Yanga wamewakilisha vema nchi,pongezi kwao
Hatuwadai kitu kiukweli
 
Watu wanye jicho la mpila tuliongea mapema sana kuwa Yanga inaweza kuwa na kikosi kizuri lakini hakuondoi ukweli kuwa Yanga mpaka anafika fainal ilikuwa ni bahati kwa sababu ya aina ya timu walizo kuwa wanakutana nazo tukaambiwa tuna wivu.

Hivi Rivers inatofauti gani na Vaipas iliyo pingwa nje ndani na Simba?

Hivi Marumo inatofauti gani na Horoya aliye pingwa bao 7 na simba?
Malumo kamfunga huyu USM alger
Malumo kamtoa Pyramids
Unaifananisha na Horoya
Hata mpira wao ni mbingu na ardhi
 
Kama goli la ugenn halihesabiki yanga wanaweza pindua meza ila kama linahesabika ni ngumu.
Uwezo wa timu zote mbili tumeuona Leo ,yanga anaweza kufunga magoli uarabun lakin sio Kwa 2-0 game ijayo Bado naona Kuna GG maana uwezo ni kama unakaribiana Kwa timu zote mbili .
Yanga akishinda 2-1 km goli la ugenn linahesabika ni out kama halihesabiki ni extra time had matuta ,Zaid afunge 3-1 Moja ,swali je warabu watakubali hicho kitu tena uwanja wa nyumban ?
Mpira una maajab japo Kwa hili nauona ugumu Kwa yanga.
Akishinda 2-1 wanakuja sare maana kila timu itakua ina idadi sawa ya magoli ya ugenini
Swali ni kua: wataweza kufunga hizo 2-1
Acha tungoje
 
Matumaini yangu ya Yanga kuchukua ubingwa yameshuka mpaka asilimia ishirini (20).

Kiufupi wachezaji wamecheza chini ya kiwango hata MORALI usoni mwao ilikua ndogo kabisa.

Ukitazama goli la pili ni goli la kizembe sijapata kuona, wachezaji walijiachia utadhani wanacheza na dodoma jijj au singida bigstars kule uwanja wa liti studium.

Wamesahau kabisa hii ni fainali na Kama waarabu wangekua wapo Moto(wangeamua kufunguka) basi yanga alikua anakula goli hata nne (4) kavu.

Diara ndiyo man of the match, tutizame dakika tisini (90) zingine tuone Kama yanga ana uwezo wa kufunga goli mbili (2) bila.
Dah jmaa we sio wale mashabiki wa mhemko wanaotuambia nyie kawaida yenu mnaenda kushnda ugenini na kutuhakikishia mechi hii bdo
 
Ile ya pili sio fainali mkuu Ile ya pili ni kwenda kutafuta mshindi wa pili.Fainali imemalizika Kwa mkapa hata kocha wa waarabu kaonyesha ishara kwamba wao washamaliza.
Jamaa ukiwacheki tu unaona kabisa wapo serious
 
Ile ya pili sio fainali mkuu Ile ya pili ni kwenda kutafuta mshindi wa pili.Fainali imemalizika Kwa mkapa hata kocha wa waarabu kaonyesha ishara kwamba wao washamaliza.
[emoji16][emoji16][emoji16] hawa uto Leo watajiua Leo
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Kwamba mtampiga Mwarabu goli 2-0/3-1/4-2
 
Back
Top Bottom