New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Mbila bila changamotoKutoboa ni ngumu sana aisee.
Kumpiga 2 kavu kule kwao sio jambo dogo na sidhani kama Yanga ataweza.
Ila 2-1 inawezekana
Ngoja tuone
Vyovyote itakavyokua ,Yanga wamewakilisha vema nchi,pongezi kwao
Hatuwadai kitu kiukweli