NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #61
Kila niifikiria hivi moyo unalipuka kabisa [emoji41]Kwamba mtampiga Mwarabu goli 2-0/3-1/4-2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila niifikiria hivi moyo unalipuka kabisa [emoji41]Kwamba mtampiga Mwarabu goli 2-0/3-1/4-2
Hivi africa mashariki na kati kuna Club ina benchi la ufundi kali kama Simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanafusha visomo mpaka uwanjaniKama ni uchawi wao yanga hawana kamati ya ufundi??
Nimeshangaa sana Hawa waarabu wametokaje.Hivi africa mashariki na kati kuna Club ina benchi la ufundi kali kama Simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanafusha visomo mpaka uwanjani
Sisi utopolo tunaanzaje kuwashinda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.
Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.
Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?
Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Hakuna uhusiano wa kukandwa na mvua,MMEKANDWA TU MSIJITETEEUsichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.
Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.
Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?
Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Goli la ugenini liko pale pale,rejea mechi ya wydad na masandwana...morocco ilikuwa 0-0,south africa ikawa 2-2.mamelodi nje.Kama goli la ugenn halihesabiki yanga wanaweza pindua meza ila kama linahesabika ni ngumu.
Uwezo wa timu zote mbili tumeuona Leo ,yanga anaweza kufunga magoli uarabun lakin sio Kwa 2-0 game ijayo Bado naona Kuna GG maana uwezo ni kama unakaribiana Kwa timu zote mbili .
Yanga akishinda 2-1 km goli la ugenn linahesabika ni out kama halihesabiki ni extra time had matuta ,Zaid afunge 3-1 Moja ,swali je warabu watakubali hicho kitu tena uwanja wa nyumban ?
Mpira una maajab japo Kwa hili nauona ugumu Kwa yanga.
Haroya ata kitakwimu kamzid mbal marumoWatu wanye jicho la mpila tuliongea mapema sana kuwa Yanga inaweza kuwa na kikosi kizuri lakini hakuondoi ukweli kuwa Yanga mpaka anafika fainal ilikuwa ni bahati kwa sababu ya aina ya timu walizo kuwa wanakutana nazo tukaambiwa tuna wivu.
Hivi Rivers inatofauti gani na Vaipas iliyo pingwa nje ndani na Simba?
Hivi Marumo inatofauti gani na Horoya aliye pingwa bao 7 na simba?
Mademu wa kibongo wamechangamkia fursaKwote kwote
Mpaka mvua inalaumiwa kama vile waarabu walicheza juani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.
Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.
Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?
Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Yani mwarabu yupo kwake, kombe analiona pale jukwaani, halafu amuachie utopolo aondoke nalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo mambo yalikuwa zamani, hamtoamini mtakachokiona.
Khaa.. kumbe mwarabu kashinda game zote, nje na ndani ya uwanja!..
Muache ajizime data, zitaenda kumuwakia uarabuni..
Huwa nadhani kuna watu wanajuwa mpira humu na kanuni zake kumbe wamejaa mambumbumbu mengi tu.Goli la ugenini liko pale pale,rejea mechi ya wydad na masandwana...morocco ilikuwa 0-0,south africa ikawa 2-2.mamelodi nje.
Mlivyopigwa na Rajacasablanca tatu mtungi mlilifurahisha taifa?Hahaaaaaaa wenyeuchiiii mmedhalilishwa kijinsia na mmeliabisha taifa
Unadhani hawa ni vilaza wenzio akina Marumo.Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.
Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.
Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?
Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Unadhani Simba wangetoa msaada gani???Unadhani hawa ni vilaza wenzio akina Marumo.
Kwani hiyo mvua ilikuwa inawanyeshea Yanga pekee na USM walikuwa wakavu? Hameni Sengerema nyie.
Mlisema hamtaki msaada wa jirani, sasa mbona mnaulalamikia ulipohitajika upande wa pili?