Nimesikitika sana kuona Mwarabu ana "score both halves" Tena kwenye uwanja wa Nyumbani (mkapa stadium)

Nimesikitika sana kuona Mwarabu ana "score both halves" Tena kwenye uwanja wa Nyumbani (mkapa stadium)

Hivi africa mashariki na kati kuna Club ina benchi la ufundi kali kama Simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanafusha visomo mpaka uwanjani
Sisi utopolo tunaanzaje kuwashinda?
Nimeshangaa sana Hawa waarabu wametokaje.
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umevurugwaaaaa mpakaa basi, hurumaaa kwa kweliiii.

Sasa hao waarabu huko kwao wana uchawi na majini juu utatokea wapiiii weyeeee???
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Hakuna uhusiano wa kukandwa na mvua,MMEKANDWA TU MSIJITETEE
 
Kama goli la ugenn halihesabiki yanga wanaweza pindua meza ila kama linahesabika ni ngumu.
Uwezo wa timu zote mbili tumeuona Leo ,yanga anaweza kufunga magoli uarabun lakin sio Kwa 2-0 game ijayo Bado naona Kuna GG maana uwezo ni kama unakaribiana Kwa timu zote mbili .
Yanga akishinda 2-1 km goli la ugenn linahesabika ni out kama halihesabiki ni extra time had matuta ,Zaid afunge 3-1 Moja ,swali je warabu watakubali hicho kitu tena uwanja wa nyumban ?
Mpira una maajab japo Kwa hili nauona ugumu Kwa yanga.
Goli la ugenini liko pale pale,rejea mechi ya wydad na masandwana...morocco ilikuwa 0-0,south africa ikawa 2-2.mamelodi nje.
 
Kwote kwote
1685323501484.jpg
 
Watu wanye jicho la mpila tuliongea mapema sana kuwa Yanga inaweza kuwa na kikosi kizuri lakini hakuondoi ukweli kuwa Yanga mpaka anafika fainal ilikuwa ni bahati kwa sababu ya aina ya timu walizo kuwa wanakutana nazo tukaambiwa tuna wivu.

Hivi Rivers inatofauti gani na Vaipas iliyo pingwa nje ndani na Simba?

Hivi Marumo inatofauti gani na Horoya aliye pingwa bao 7 na simba?
Haroya ata kitakwimu kamzid mbal marumo
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Mpaka mvua inalaumiwa kama vile waarabu walicheza juani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Goli la ugenini liko pale pale,rejea mechi ya wydad na masandwana...morocco ilikuwa 0-0,south africa ikawa 2-2.mamelodi nje.
Huwa nadhani kuna watu wanajuwa mpira humu na kanuni zake kumbe wamejaa mambumbumbu mengi tu.

Fainali haina goli la ugenini.
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Unadhani hawa ni vilaza wenzio akina Marumo.

Kwani hiyo mvua ilikuwa inawanyeshea Yanga pekee na USM walikuwa wakavu? Hameni Sengerema nyie.

Mlisema hamtaki msaada wa jirani, sasa mbona mnaulalamikia ulipohitajika upande wa pili?
 
Unadhani hawa ni vilaza wenzio akina Marumo.

Kwani hiyo mvua ilikuwa inawanyeshea Yanga pekee na USM walikuwa wakavu? Hameni Sengerema nyie.

Mlisema hamtaki msaada wa jirani, sasa mbona mnaulalamikia ulipohitajika upande wa pili?
Unadhani Simba wangetoa msaada gani???
 
Huwa nashangaa sana mnavyomu overrate sureboy.
 
Back
Top Bottom