Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sawa kabisa ongezea na ugali, tumeshayajadili sana humu, hawa viongozi wanaosimamia hivi vitu by nature hawana asili na usimizi wa vyombo vya moto, sasa mtu kama huyu atawaza nje ya box kuhusu gari fulani niiandalie nini baada ya muda fulani?Sijui kwa nini, ila nina imani kubwa sisi tuna uwezo mdogo wa kufikiri. Hii tabia ya kula ugali/wali mwingi-mboga kidogo imeathiri watanzania karibia wote kwenye uwezo wa kufikiri.
DART ni mmiliki na msimamizi wa miundombinu ya mwendo kasi na UDART ni kampuni ambayo inamiliki mabasi ya mwendokasi na kuendesha Biashara ya usafirishaji kwenye miundombinu ya DART.Nimesikitika tena nimesikitika sana nilipoona clip ikionyesha jinsi mabus ya UDART yalivyoachwa hovyo yakizama kwenye matope kwenye karakana ya UDART kisa uharibifu wa gearbox. Mhe. Waziri Mkuu anagomba kwa uchungu lakini wapi.
UDART unaongozwa na PhD holder aliyetoka TRA na anayejua jinsi ya kukusanya mapato. UDART imefikia hata mfumo wa kukusanya mapato kupelekea kuvurugwa.
Tayari mabus 40 yako juu ya mawe, hawajaagiza mabus mapya sasa yapata miaka mitano. Yamebaki mabus 100 tena mengi yanasuasua. Hata Mtendaji Mkuu aliyepelekwa na Serikali hataweza chochote labda Serikali imtafute mwekezaji wa kuiendesha UDART. Hivi Watanzania tumelogwa na nini?. Kila tunachokabidhiwa hakifaulu. Tujiulize tuna matatizo gani sisi Watanzania?.
Labda kwa ngazi ya HalmashauriHivi anauzofu wa mambo ya transport&logistics
Ova