Nimesikitishwa, huzunishwa na kufadhaishwa na uongo wa Kamati ya PAC! Escrow sio fedha za umma!

Nimesikitishwa, huzunishwa na kufadhaishwa na uongo wa Kamati ya PAC! Escrow sio fedha za umma!

Muongo ni nan
Mkuu Valentiny Paul, kunapotokea ubishani wowote kati ya kweli na uongo, mwisho wa siku, itakayo simama mpaka mwisho ni kweli tuu. Mbio zimeanza jana, leo ziko sakafuni, kesho ndio zinaelekea ukingoni!.

Pasco.
 
Chukua dictionary ya kawaida soma maana ya escrow from there utapata jambo, tunataka ukweli Sio ushabiki wa vyama
 
Watu like Puscal still wapo na hawaja amini if serikali ya ccm ina fanya ushenzi,uchafu,upumbavu na uongo kwa wananchi
 
Watu kama Puscal bado wapo na hawa amini kama serikali ya ccm inafanya ushenzi upumbavu ujuma na uongo kwa wana nchi wake Lai yangu kwa wananchi wote wa TZ kuwa tuwa pige chini hawa jamaa kwenye uchaguzi!!!!!
 

[h=3]MWENYEKITI CCM KILOLO AWATAKA WANAOHUSIKA NA SAKATA LA ESCROW WAJIUZULU[/h] Posted by GLOBAL on November 27, 2014 at 5:30pm 0 Comments 0 Likes
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo Seth Moto akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Iringa, Seth Moto, amewataka wanaohusika na sakata la Escrow aidha kwa kutajwa au kuchota fedha za akatunti hiyo wajitathmini na kijivua nyadhifa zao mapema wasisubiri kuondolewa au kufukuzwa na sheria na warudishe fedha zilizoibiwa.
Pia ametaka sheria ichukue mkondo wake kwani wananchi wamechoshwa na wizi huo unaofanya maisha yao kuwa magumu.
Pia Moto alishutumu tabia ya viongozi kujilimbikizia madaraka kama vile ubunge, uenyekiti wa wilaya na mkoa na ujumbe wa mikutano ya CCM.
(Picha: Shani…
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo Seth Moto akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Iringa, Seth Moto, amewataka wanaohusika na sakata la Escrow aidha kwa kutajwa au kuchota fedha za akatunti hiyo wajitathmini na kijivua nyadhifa zao mapema wasisubiri kuondolewa au kufukuzwa na sheria na warudishe fedha zilizoibiwa.
Pia ametaka sheria ichukue mkondo wake kwani wananchi wamechoshwa na wizi huo unaofanya maisha yao kuwa magumu.
Pia Moto alishutumu tabia ya viongozi kujilimbikizia madaraka kama vile ubunge, uenyekiti wa wilaya na mkoa na ujumbe wa mikutano ya CCM.
(Picha: Shani Ramadhani/Gpl)
 
tumekozea ... si wewe ulituthibitishia hapa kuwa ripoti ya PAC haitasomwa?

Pasco na Mwanakijiji mtasikitika sana lakini habari ndio hiyo,hela ya isiyokuwa ya umma haiwezwi kuwekewa vikao na viongozi wa nchi,mbona wewe hela yako haijawekewa kikao na viongozi wa serikali
 
Jamani,tukae tukumbuke kuwa Bilion 306 sijui ngapi ni pesa nyingi sana...so tusishangae watu kama huyu Pasco nao kununuliwa..kama watu wamelamba 1.6 bln..mtu mmoja...je huyu Pasco wanaahindwa nn kumpa milioni 5 akaja akabwabwaja hapa?
 
Pasco ninapenda namna unavyoweka hoja zako.Kiuchokozi kujua watanzania tumaufahamu wa kiasi gani au ni ushabiki tu.

Nitaweka kwa point kama ifuayavyo:

1.VAT inalipwa pale malipo halisi yanapolipwa kwa mteja aliyekidhi matakwa ya kukatwa VAT.

2.VAT ingekatwa na kuwa submitted TRA baada ya malipo halali kulipwa IPTL na TANESCO.Malipo ya IPTL yangekuwa pungufu ya VAT.Na hii VAT ndiyo malipo halali ya serikali kama yalivyolalamikiwa na TRA.

3.Malipo ya pili yangekuwa kuwa ya TANESCO baada ya kukokotoa malipo waliyokuwa wanapaswa kuwalipa IPTL baada ,na kubaki na tofauti kati ya kilichokuwapa kwenye ESCROW ACC na kiasi kilichotakiwa kulipwa IPTL toka miaka hiyo.

4.Yawezekana kwenye mkataba wa kwanza kabisa unaonyesha mitambo ya IPTL ingetakiwa kumilikiwa na TANESCO baada ya miaka hiyo 20 na hivyo kufanya TANESCO kuwa mmilikiki halali wa IPTL ambayo nadhani ndivuo ilivyokuwa leo tujiulize ni kwa nini Mitambo hii imeuzwa miaka miwili tu wakati TANESCO ikijiandaa kuipokea mitambo hii.je ilikuwa hoja ua nani kuiuza mitambo hii miala miwili tu kabla ua TANESCO kuirithi, na kama hili ni la kwemi basi pesa yote iliyokuwa kwenye account ya ESCROW ilikuwa mali halali ya TANESCO.
 
wakuu, msidhani kila thread anayoanzisha Pasco ndicho anachokiamini. na hii thread ni mojawapo ya hizo.

hapa kachonoa mada tu ili watu wapate kupekenyua na kufukunyua na yeye apate cha kujifunza na kuandika. so nawashaurini msimshambulie bali endeleeni kupeana naye darasa.

mnamkumbuka Adam Lusekelo (rip) alikuwa na ile column yake Daily News ikiitwa "with a light touch"? basi hizi chokonozi za Pasco hapa JF nazibatiza jina la "with a heavy punch"!
 
[/LIST]
Mkuu Nguruvi 3, nimefarijika sana kwa wewe na Mkuu Mchambuzi kuutembelea uzi huu, kwa sababu nyinyi ni miongoni mwa ma GT wa ukweli humu jukwaani!.Naomba unikumbushe huo uzi!.
  1. Japo sijabahatika kuuona mkataba wa IPTL ili nikichukulia mkataba wa Richmond kama sample, Tanesco ndio iko responsible kulipa all taxes!. AG ndie anaujua mkataba, hivyo alishauri hayo kutokana na mkataba!. Tax pekee ambayo sio jukumu la Tanesco ni ile ya transfer ambayo ilipaswa kulipwa na PAP kwa fedha za Singa Singa!.
  2. Soma Ripoti ya CAG uone amesema nini kuhusu fedha za escrow!, hakusema ni fedha za umma!, amesema sehemu inaweza kuwa ni fedha za umma!, imetokea kuwa Tanesco inadaiwa deni kubwa kuliko fedha zote zilizokuwemo ndani ya escrow, na aliyekubali fedha zilipwe ni Tanesco na kakiri anadaiwa na ameweka repayment schedule!.
  3. Uhuni huo ndicho kitu kilichonisikitisha, kunihuzunisha na kunifadhaisha!.
  4. Baadhi ya hizo pesa ni kweli ni kick back, baadhi ni genuine charity na nyingine ni sadaka na sadakalawe!.
  5. Mechmar ni matapeli!, Tanesco ilitapeliwa mchana kweupe!, ingekuwa na wanasheria wazalendo, kosa hili lilitosha kabisa kuvunja mkataba na kutaifisha kila kitu!.
  6. CAG na PCCB wameombwa na PAC na PM, Role ya BOT, Waziri na KM ilikuwa wakati zikiwa ndani ya escrow kabla hazichange hands!. zimechange hands zilipokubaliwa kutolewa!.
  7. Kutombunguzi Msamaria Mwema JR alivyotumia fedha zake!.
NB. Hayo majina mliyoyaoni ni majina ya kampuni binafsi ya JR, hamjaweza kuona account yake Holland amewalipa nani, hamjaweza kuona accont za PAP nani waliolipwa!.

Tangu issue ya Chenge, nilisema humu PCCB ni nothing!, kila mtu mwenye akili timamu anajua mgao ule ni mgao wa asante!. Nilitegemea taarifa ya PAC pia itazungumzia chanzo cha IPTL na ni nani aliyetuletea hili jinamizi za IPTL!, escrow ni matokeo tuu, tunashangilia watu ku deal na matokeo tuu badala ya kung'oa mizizi!.

Pasco.

Kiukweli kabisa wanaohitaji kuadhibiwa adhabu kali saaaana ni wale waliosaini mikataba ya iptl na Tanesco.

Hao ndio waliotuletea hilo fisimaji liitwalo iptl.
 
Wanabodi,

Kwa waliosoma fasihi, kitabu cha "An Enemy of the People" by Henrik Ibsen mnaweza kuniita mimi Pasco wa JF, kuwa ni "an enemy of the people!", Fedha za Escrow, Sio Fedha za Umma!, hizo Bilioni 320 zilizokuwa kwenye account ya Escrow, hazijaibiwa!, bali zimetumika kulipia umeme!.

Inawezekana PAP amenunua kampuni hewa, amefanya utapeli kuinunua IPTL toka kwa wamiliki halali, hayo hayatuhusu, bali malipo ya Tanesco kwenye account ya escrow ni kulipia capacity charges ya mitambo ya IPTL ambayo ni mitambo kweli sio mitambo hewa!, na pia Tanesco inalipia malipo ya huduma za umeme kweli unaokuwa genereted na mitambo ya IPTL, ni umeme kweli na sio umeme hewa!, na imeelezwa kuwa Tanesco bado inadaiwa!.

Ukiwa mkweli sana wa type ya ukweli huu, pia lazima uwe tayari to pay the price!.

Niko tayari to pay the price of expresing my opinion kuwa Nimesikitishwa!, Huzunishwa!, na Kufadhaishwa na Uongo wa Kamati ya PAC!-Escrow Sio Fedha za Umma!.

Pasco.

Vp kuhusu rulling ya mahakama kule England kuwa Tanesco wa re-calculate charges within 90 days, hukumu ya february mwaka huu!Kumbe hela imeshaliwa na wajanja toka mwaka JANA!
 
Mkuu,Pasco pole kwa kutokujua kuwa ulichosema ni kukubalianana PAC.Kama pesa hiyo ilitumika kulipia umeme maana yake ni ya umma.Lakinisuala si hilo unalotaka kulijengea hoja.Suala hilo si kulipia matumizi yaumeme.Suala hapo ni kiasi gani TANESCO wanawajibika kulipia hiyo ‘capacitycharge’

 
Wanabodi,

Kwa waliosoma fasihi, kitabu cha "An Enemy of the People" by Henrik Ibsen mnaweza kuniita mimi Pasco wa JF, kuwa ni "an enemy of the people!", Fedha za Escrow, Sio Fedha za Umma!, hizo Bilioni 320 zilizokuwa kwenye account ya Escrow, hazijaibiwa!, bali zimetumika kulipia umeme!.

Inawezekana PAP amenunua kampuni hewa, amefanya utapeli kuinunua IPTL toka kwa wamiliki halali, hayo hayatuhusu, bali malipo ya Tanesco kwenye account ya escrow ni kulipia capacity charges ya mitambo ya IPTL ambayo ni mitambo kweli sio mitambo hewa!, na pia Tanesco inalipia malipo ya huduma za umeme kweli unaokuwa genereted na mitambo ya IPTL, ni umeme kweli na sio umeme hewa!, na imeelezwa kuwa Tanesco bado inadaiwa!.

Ukiwa mkweli sana wa type ya ukweli huu, pia lazima uwe tayari to pay the price!.

Niko tayari to pay the price of expresing my opinion kuwa Nimesikitishwa!, Huzunishwa!, na Kufadhaishwa na Uongo wa Kamati ya PAC!-Escrow Sio Fedha za Umma!.

Pasco.

subiri niende home kwenye laptop ndo nichangie
 
Mgao ulikuwa wa watu wengi sana, naona wengine wameanza kuonyesha true colors zao humu.
 
Pasco Akaunti ya Escrow ni ya dhamana sio ya Ubia, ni ya dhamana ikisubiri maelewana ya wabia ( TANESCO na Aipitielo...hivyo zilikuwa pale zikiwa si Mali ya yeyote hadi mwafaka upatikane. TANESCO ni shrlirika la umma na zile fedha bado zilikuwa za umma hadi mwafaka ufikiwe Kati ya wabia wawili.bila mwafaka eventually zingekuwa Mali ya umma....
Mkuu Nkwesa Makambo, mpaka hapa uko right 100%, kwa feddha zilipokuwa ndani ya escrow ni "no mans land", "no ones money!". Si mali ya yeyote!, zikiisha kuwa sii mali ya yoyote maana yake sii mali ya IPTL wala sii mali ya serikali! mpaka muafaka upatikane!. Fedha hizo zilikuwa ni fedha za umma zikiwa Tanesco, baada ya kuwa deposited kwenye escrow, sio fedha za Tanesco tena!. Ripoti ya CAG ya ukaguzi wa kawaida wa hesabu za Tanesco, ulionyesha Tanesco wanaihesabu escrow account kama current asset yao, CAG akawaambia no!, kwa sababu hizo fedha wameisha zi expense!. Sasa hapa kwanza tukubaliane fedha za escrow sio fedha chafu!, hazikuibiwa kuingizwa escrow bali zimelipwa !. Jee unakijua ni nini kilichofanyika hadi hizo fedha to change hands from "no mans money to IPTL Money?!). Tanesco walikaa chini na IPTL, waka work out viwango vipya, japo bado vilikuwa juu na Tanesco kuendelea kuvilalamika, lakini walikubali pesa zitoke na bado wana deni kubwa kwa IPTL na kuandaa schedule ya namna ya kulipa. Hivyo fedha zote zilizokuwemo ndani ya escrow hazikutosha kumaliza deni inalodaiwa na mpaka leo, na mpka kesho Tanesco bado inadaiwa!. Hali hiyo ikapelekea fedha zote kwenye escrow kuwa ni mali ya IPTL!.
Hilo la singa singa na PAP kutolipa kodi wakati wa mauziano ya shares linafanya mauziano hayo kuwa null and void ab initio, hiyo ingekuwa kengere ya kuwastua kwamba wana deal na tapeli.Maswala ya mahakama na maamuzi, maswala ya anomalies mbalimbali ni sehemu ya mkakati ovu ya viongozi wa taifa hili . Masikini management ya TANESCO ilikuwa inashitaki ikiamini inapambana na ipitielo kumbe mfumo wa serikali ni sehemu ya wanaoisaidia ipitielo...Too sad
Fedha za shares transfer sio sehemu ya fedha za escrow!, hizi ni fedha zilizopaswa kulipwa na singa singa from his own sorces na sio kosa la jinai, ni kosa la madai, deni lililokwepa linakuwa established linalipwa!.Pasco
 
Last edited by a moderator:
Utasemaje si fedha za umma ilhali bado hazijakokotolewa capacity charges kwa ile model mpya ili ijulikane nani anadai nini?utasemaje si fedha za umma ilhali kuna kodi ya serikali ndani yake?
Utasemaje suala la PAP kutumia hisa hewa halituhusu ilhali yuko mwingine anayemiliki hisa halali za iptl na wakati wowote akishinda kesi atatudai pesa ya escrow ambayo tumeshailipa kwa kampuni hewa?
Hivi mtu ukiwa CCM unalishwa nini hadi unajitoa ufahamu hivi?
Kama watu wasomi wenye exposure kama wewe Pasco wanakuwa negligent namna hii,who else can save this nation?
Vielelezo kibao vinatolewa lakini bado mko hivi?
Listen you guys,mko wengi bungeni,mmeunda serikali na mnatumia uwingi wenu kufool around,but let me tell you this,

"Wimbo mtamu wa kasuku mmoja unabaki vichwani mwa wausikilizao kuliko kelele za bundi wengi".
Soon,very soon you will realize this my learned brother.
 
Pasco ninapenda namna unavyoweka hoja zako.Kiuchokozi kujua watanzania tumaufahamu wa kiasi gani au ni ushabiki tu.

Nitaweka kwa point kama ifuayavyo:

1.VAT inalipwa pale malipo halisi yanapolipwa kwa mteja aliyekidhi matakwa ya kukatwa VAT.

2.VAT ingekatwa na kuwa submitted TRA baada ya malipo halali kulipwa IPTL na TANESCO.Malipo ya IPTL yangekuwa pungufu ya VAT.Na hii VAT ndiyo malipo halali ya serikali kama yalivyolalamikiwa na TRA.

3.Malipo ya pili yangekuwa kuwa ya TANESCO baada ya kukokotoa malipo waliyokuwa wanapaswa kuwalipa IPTL baada ,na kubaki na tofauti kati ya kilichokuwapa kwenye ESCROW ACC na kiasi kilichotakiwa kulipwa IPTL toka miaka hiyo.

4.Yawezekana kwenye mkataba wa kwanza kabisa unaonyesha mitambo ya IPTL ingetakiwa kumilikiwa na TANESCO baada ya miaka hiyo 20 na hivyo kufanya TANESCO kuwa mmilikiki halali wa IPTL ambayo nadhani ndivuo ilivyokuwa leo tujiulize ni kwa nini Mitambo hii imeuzwa miaka miwili tu wakati TANESCO ikijiandaa kuipokea mitambo hii.je ilikuwa hoja ua nani kuiuza mitambo hii miala miwili tu kabla ua TANESCO kuirithi, na kama hili ni la kwemi basi pesa yote iliyokuwa kwenye account ya ESCROW ilikuwa mali halali ya TANESCO.
Mkuu Tety, asante kwa hoja zako zamsingi sana!.

  1. VAT ambayo hajalipwa, inalipika!.
  2. Kwa mujibu wa mkataba wa Richmond, jukumu lakulipa kodi zote za serikali ni jukumu la Tanesco, walipaswa wafanye tax remitance kabla ya kudeposit fedha kwenye escrow!.
  3. Walikaa IPTL ikashusha viwango Tanesco bado wakagoma, hivyo kwa status quo ya wakati wa malipo yale yanafanyika Tanesco ilikuwa inadaiwa fedha nyingi kuliko hata zilizomo ndani ya escrow!.
  4. Mkataba wa mwanzo ulikuwa ni wa miaka 15!, baadae ukageuzwa 20!, baada ya miaka 10 ukaongezwa 20 tena!.
Kisheria kama makubaliano ya mwanzo yalikuwa mtambo wa aina fulani, wakatapeliwa kwa kuletewa mwingine, hapo ndipo mkataba ungepaswa kuvunjwa!.

Pasco
 
Back
Top Bottom