Nimesikitishwa, huzunishwa na kufadhaishwa na uongo wa Kamati ya PAC! Escrow sio fedha za umma!

Nimesikitishwa, huzunishwa na kufadhaishwa na uongo wa Kamati ya PAC! Escrow sio fedha za umma!

Pasco Tumeishakuzoea....hivi ile Bonifaidi giniuni ya Lwakatare bado msimamo wako ule ule?
 
Wanabodi,

Kwa waliosoma fasihi, kitabu cha "An Enemy of the People" by Henrik Ibsen mnaweza kuniita mimi Pasco wa JF, kuwa ni "an enemy of the people!", Fedha za Escrow, Sio Fedha za Umma!, hizo Bilioni 320 zilizokuwa kwenye account ya Escrow, hazijaibiwa!, bali zimetumika kulipia umeme!.

Inawezekana PAP amenunua kampuni hewa, amefanya utapeli kuinunua IPTL toka kwa wamiliki halali, hayo hayatuhusu, bali malipo ya Tanesco kwenye account ya escrow ni kulipia capacity charges ya mitambo ya IPTL ambayo ni mitambo kweli sio mitambo hewa!, na pia Tanesco inalipia malipo ya huduma za umeme kweli unaokuwa genereted na mitambo ya IPTL, ni umeme kweli na sio umeme hewa!, na imeelezwa kuwa Tanesco bado inadaiwa!.

Ukiwa mkweli sana wa type ya ukweli huu, pia lazima uwe tayari to pay the price!.

Niko tayari to pay the price of expresing my opinion kuwa Nimesikitishwa!, Huzunishwa!, na Kufadhaishwa na Uongo wa Kamati ya PAC!-Escrow Sio Fedha za Umma!.

Pasco.

Je ? Kuhusu msingi wa ukokotozi wa hiyo capacity charge kuwa ni share capital na sio pamoja na mkopo , haijafungua akili yako kuwa Kama ni kweli basi kiasi kikubwa ni Mali ya umma na kiasi kidogo ni Mali ya aipitielo ?
Capacity charge ni fixed cost haitegemei uzalishaji wa mitambo, tuwe wakweli...
Unaposema walinunua kampuni hewa lakini mitambo ni halisi, umepitiwa au Una maanisha ? Walipokokotoa thamani ya kampuni wakati wa kufunga deal la manunuzi Fedha Escrow ilikuwa ni sehemu ya mauziano ?
Iweje serikali ifanye miamala na kampuni ambayo umiliki wa kampuni mpya haueleweki vizuri.
Naamini Pasco ni Mwafrika pia!!!
If so...Miafrika ndivyo mlivyo.
 
pasco is a money hungry journalist.
Mkuu Nyabhingi, journalism naifanya just for the love of it!, and not for the gain!, I don't depend on it for survival, ndio manna mimi ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea!, silipwi senti tano!.

Pasco
 
Ni aibu sana mtu wa JF home of great thinkers anakuja kusema huku JF kuwa ESCROW sio pesa ya Uma.wana JF hatup[o tayari kuwa sehemu ya wajinga.
 
Pasco Tumeishakuzoea....hivi ile Bonifaidi giniuni ya Lwakatare bado msimamo wako ule ule?
Mkuu Cleaos, tena ile ni kitu mbaya sana, jamaa zangu wametulia tuu bila kujua hii dilly dallying ni delaying tactcs tuu za kuwasogezea kwenye kona, hadi ule muda unaitwa "the most opportune time" ufike, karibu na October, wakati wenzao wako kwenye kampeni, itafumuliwa!, na the consequences will not good!. Muda huo ukifika, utanikumbuka!.
Pasco.
 
Pasco ni mpmbv siku zote toka ameingia humu!!

Yaani mi simpendi hata kidogo kwani amezidi upotoshaji mbwa huyu!!
 
Na kama si za umma, CAG siku hizi inakagua fedha za wawekezaji?? Mimi nimesikitishwa na wewe zaidi kuliko Mhongo na wenzake..

Naungana na Pasco katika hili ni kweli kabisa mwanzoni nilipata shida sana kujua ipi ni kweli juu ya kwamba pesa zilizowekwa kwenye account ya Escrow zote ni mali ya umma au la! maana ukweli kwamba huku ulaiani kinachojulikana ni kwamba hizo bilioni 300 zote ni mali ya umma, jambo ambalo si kweli kama taarifa ya CAG ilivyonyesha kwamba katika pesa zile sehemu ambayo haijajulikana ni yaweza(may be) kuwa ya umma au la hii statement sio conclusive kama inavyochukuliwa huku ulaiani kwamba pesa zile zote nimali ya umma.
 
wewe ni kibaraka wa Chief Nanga "A man of the people" na inaonekana wewe ni la sita la zamani unajidanganya ni degree ya sasa Cambridge. Pasco
Mkuu Mwanaapolo, kweli kabisa, ila nilijitahidi sana kusoma shule hadi kufika darasa la saba!, na kwa taarifa yako, nilipasi, ila tuu sikuchaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari, kwa sababu nafasi hazikutosha, hivyo niliishia la saba la UPE!.
Pasco
 
Wanabodi,

Kwa waliosoma fasihi, kitabu cha "An Enemy of the People" by Henrik Ibsen mnaweza kuniita mimi Pasco wa JF, kuwa ni "an enemy of the people!", Fedha za Escrow, Sio Fedha za Umma!, hizo Bilioni 320 zilizokuwa kwenye account ya Escrow, hazijaibiwa!, bali zimetumika kulipia umeme!.

Inawezekana PAP amenunua kampuni hewa, amefanya utapeli kuinunua IPTL toka kwa wamiliki halali, hayo hayatuhusu, bali malipo ya Tanesco kwenye account ya escrow ni kulipia capacity charges ya mitambo ya IPTL ambayo ni mitambo kweli sio mitambo hewa!, na pia Tanesco inalipia malipo ya huduma za umeme kweli unaokuwa genereted na mitambo ya IPTL, ni umeme kweli na sio umeme hewa!, na imeelezwa kuwa Tanesco bado inadaiwa!.

Ukiwa mkweli sana wa type ya ukweli huu, pia lazima uwe tayari to pay the price!.

Niko tayari to pay the price of expresing my opinion kuwa Nimesikitishwa!, Huzunishwa!, na Kufadhaishwa na Uongo wa Kamati ya PAC!-Escrow Sio Fedha za Umma!.

Pasco.

Nimeukubali uchambuzi wako mkuu
 
Kama siyo fedha ya umma mlolongo wa maamuz kutoka kwa wazir wa nishati na CAG na PCCB na gavana wa bank kuu na wizara ya fedha na mwanasheria mkuu ulikuwa wa nin.

Hizo billions zilizochukuliwa kijanja zilizopaswa kuchukuliwa kama kodi siyo za umma?

Disputes baina ya Tanesco na Iptl ulikuwa haujaisha ni mamlaka gani ilithibitisha kuhamishwa kwa pesa ile?

Aibu kuuzika kwa bei rahis kias hicho.
 
Kwa sababu kulikuwa na mgogoro na wajanja walitaka wagawane

Kama ni kweli pesa yote ni ya umma je umeme ambao Tanesco wamekuwa wakiutumia kwa muda wote ambao pesa ile ilikuwa imo kwenye account ya Escrow nani alikuwa anaulipia?
 
Kwa kuwa kuna watu wenye mtazamo kama wako mkuu ndio maana leo hii Taifa zima limekuwa na ganzi na halijui litoke vipi hapa lilipo...

Kwa kuwa kuna watu wenye mtazamo kama wako mkuu ndio maana kuna watu wamelipwa hela kwa kuwa watu wenye mtazamo wako Taifa liliwaamini na kuwapa madaraka...

Zitto katoa taarifa na kachambua vyema taarifa ya CAG kuhusu fedha ni ya umma au lah, sijui kama umesikiliza bunge la leo wakati akitoa muongozo...
 
Kama pesa sio za Umma kwahiyo ni halali kwa watu wachecha wagaianei na walio wengi wafe njaa,kwanini hizo pesa zisinunuliwe dawa kuwatibu watanzania au kupeleka madawati sheleni kuwasaidia watoto wa maskini kupata elimu .........

Mwizi ni mwizi tu kamaaimeiba cha bibi ni mwizi kama umeiba cha jirani basi ni mwizi,hawa jamaa wa CCM hawafai hata kuwa viongozi wa ngoma...
 
Mkuu Mchambuzi, with due respect, tafsiri rasmi ya fedha za umma ni "public monies!"

Suala la umiliki wa account escrow ni kitu kimoja, na fedha zilizomo humo ndani ni jambo jingine!.
Namna ya kujua kama ni fedha za umma au sio za umma ni the time hizo fedha zinapochange hands toka umma kuwa private money?!.

Account ya escrow ni account ya ubia kati ya Tanesco na IPTL, hivyo wakati wote wa uhifadhi wa fedha hizo ndani ya account hiyo ya escrow, zilikuwa joint finances, na ile siku Tanesco aliporidhia fedha zilipwe IPTL, then fedha zile zili change hands from public money to private money!. Nahisi CAG, TRA na PCCB hawakuangalia mkataba wa IPTL, kodi zote zilipaswa kulipwa na Tanesco na sio IPTL!, kama Tanesco, ilitumbukiza hadi kodi humo kwenye escrow, then ni tatizo la Tanesco!, na kwa vile Tanesco ilikuwa na bado inadaiwa deni kubwa na IPTL, then, hiyo kodi iliyo achwa na Tanesco kwenye escrow, itakuwa dected kwenye next payments!. Kodi inaweza kulipwa wakati wowote!.

Mtu mwingine aliyepaswa kulipa kodi ni Singa singa wa PAP kwenye transfer kutoka Mechmar kwenda Pieper Link na kutoka Pieper Link kwenda PAP na hizi hazihusiani kabisa na pesa za Escrow!.

Pasco
Pasco Unajitahidi Sana kujitoa akili, lakini unajianika kwa kuwa unatumia akili ya MTU mwingine ambayo haifit kwako. Akaunti ya Escrow ni ya dhamana sio ya Ubia, ni ya dhamana ikisubiri maelewana ya wabia ( TANESCO na Aipitielo...hivyo zilikuwa pale zikiwa si Mali ya yeyote hadi mwafaka upatikane. TANESCO ni shrlirika la umma na zile fedha bado zilikuwa za umma hadi mwafaka ufikiwe Kati ya wabia wawili.bila mwafaka eventually zingekuwa Mali ya umma....
TANESCO ni wakala wa kodi, angewezaje kuwithhold VAT kwa kitu ambacho thamani yake Ina utata ? Hivyo Wahusika wote wa serikali suala la kodi lingekuwa priority Kama wasingrkuwa sehemu ya uhalifu. Shame on everybody who believes that TRA are supposed to search for tax element after payment. Waziri anayejua serikali inaendeshwa kwa kodi hawezi kuwa na kauli ya kusema ni jukumu la TRA kufuatilia kodi kwa walipwaji hata wewe kwa akili yako ( acha uliyoazimwa) huwezi ruhusu fedha yoyote yenye element ya kodi ilipwe bila kukusanya kodi ati TRA wafuatilie...
Hilo la singa singa na PAP kutolipa kodi wakati wa mauziano ya shares linafanya mauziano hayo kuwa null and void ab initio, hiyo ingekuwa kengere ya kuwastua kwamba wana deal na tapeli.
Maswala ya mahakama na maamuzi, maswala ya anomalies mbalimbali ni sehemu ya mkakati ovu ya viongozi wa taifa hili .
Masikini management ya TANESCO ilikuwa inashitaki ikiamini inapambana na ipitielo kumbe mfumo wa serikali ni sehemu ya wanaoisaidia ipitielo...
Too sad
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Kwa waliosoma fasihi, kitabu cha "An Enemy of the People" by Henrik Ibsen mnaweza kuniita mimi Pasco wa JF, kuwa ni "an enemy of the people!", Fedha za Escrow, Sio Fedha za Umma!, hizo Bilioni 320 zilizokuwa kwenye account ya Escrow, hazijaibiwa!, bali zimetumika kulipia umeme!.
wakati mwingine kujifanya mjuaji sana ni tatizo...sijaona hoja uliyojenga zaidi ya kudakia dakia mambo...nachelea kusema wakati mwingine unapenda kutofautiana na watu bila hoja za nguvu...kuna walakini lukuki juu ya fedha hizi...wewe unakuja na hitimisha lako ya kuwa fedha si za umma....bila kuzingatia mwanzo wa tatizo mpaka sasa lilipofikia...
 
Back
Top Bottom