Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Afu nilishaga mkatalia kuwa Mimi na innocent ni watu wawili tofauti ila bado anabishaga.Halafu akasema eti wewe Kigoma Independent na innocent dependent ni IDs zinazomilikiwa na mtu mmoja
pancho boy kwenye msamaha wako usisahau na hilo [emoji23][emoji23][emoji23]
Afu nilishaga mkatalia kuwa Mimi na innocent ni watu wawili tofauti ila bado anabishaga.
Tatizo haelewi ila dawa yake iko jikoni sawaAsikulazimishe bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo haelewi ila dawa yake iko jikoni sawa
Mbona sasa na wewe ni mmojawapo halafu wale wenzio walikuwa wananitukana ukawa unalike?pancho boy anazingua alafu ana kauli chafu Sana
Yeah naona anazingua , sijui anatafuta Kiki Kama yule mfalme jua wake, but now no Kiki no Busta.pancho boy anazingua alafu ana kauli chafu Sana
Umeanza uchokozi lini?Halafu akasema eti wewe Kigoma Independent na innocent dependent ni IDs zinazomilikiwa na mtu mmoja
pancho boy kwenye msamaha wako usisahau na hilo πππ
Muache tu najua yeye ni team pinznai Wala hanipi shida.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ndo sababuYeah naona anazingua , sijui anatafuta Kiki Kama yule mfalme jua wake, but now no Kiki no Busta.
Wewe ndo uniombe radhi pamoja na wadau wote ambao umetupaka matope sawa, maana umetuvunjia heshima mbele ya kadamnasi ya Wana Jf.Kisu kimegonga mfupa
Sema sasa mbona hukuwahi kuniomba radhi..
Mtaniuwa nyie team π π π π
Wewe kubali kosa lako, na pia usirudie kosa sawa, ili tusongeshe mziki wetu mbele.Mbona sasa na wewe ni mmojawapo halafu wale wenzio walikuwa wananitukana ukawa unalike?
Inamaana gani
Hahahaha
Umeanza uchokozi lini?
Hahahaha hadi wewe?
Lakini Pancho sinilisha kwambiaga tangu mwanzo kuwa hizi ni id mbili tofauti..? Sasa mbona unakuwa king'ang'anizi Kama ruba..?Umeanza uchokozi lini?
Hahahaha hadi wewe?
OK kipindi unanitukana kisa nikisema ukweliWewe ndo uniombe radhi pamoja na wadau wote ambao umetupaka matope sawa, maana umetuvunjia heshima mbele ya kadamnasi ya Wana Jf.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ko Leo unamkataaa haya bhanaKumbe ndo sababu
Mfalme wangu ndo nan
Am free man siwezi kutawaliwa na wapuuzi