Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #61
Pancho naona unaingilia ligiHalafu anajikuta mjanjaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pancho naona unaingilia ligiHalafu anajikuta mjanjaaa
Naona jinsi mnavyopeana moyo team mfalme jua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushamba tu
Afu Pancho acha kuzidi kukandia ujinga, Mara ngapi nakwambia hizi ni id mbili tofauti...? Unaushahidi gani Kama hizi ni Id za mtu mmoja..?ko unataka wote tuwe online mda wote..? Kweli nimeamini team naniliu mnapeana moyo but hapa no Kiki no Busta.Ukichunguza unagundua I'd moja ikiwa online nyingine inapotea haiijawahi kuwa online zote anafkiri hapa watu hawajui ..
Oya Kigoma Independent ukibaki kuwa innocent dependent unapungukiwa nini?
Halafu akasema eti wewe Kigoma Independent na innocent dependent ni IDs zinazomilikiwa na mtu mmoja
pancho boy kwenye msamaha wako usisahau na hilo 😂😂😂
Unapigilia naona
Ko na wewe ni mnafiki...?
Subiri akujie kumbuka don yupo zake kule jukwaa letu.
Me ntatoka nduki
Hahahaa
Mkuu yani kauli za pancho boy ndo zinakutoa kwenye reli?pancho boy anazingua alafu ana kauli chafu Sana
Mac Alpho fresh ila bahati mbaya sijazoea kutukana hata sikumbuki Mara yangu mwisho kutukana nilitukana nikiwa na umri ganiMkuu yani kauli za pancho boy ndo zinakutoa kwenye reli?
Ngoja nikupe formular moja, JIFUNZE KUBADILIKA KWA KADILI MTU ANAVYOKUIJIA. Akija na hoja mnajadili vizuri, akileta kauli za kichoko unaruka nae zaidi ya alivyokuja, simple tu 😂.
Ko na wewe unahisi hizi id ni za mtu mmoja...!!!Hapana mie sio mnafiki,nimeandika tu kile ambacho huwa nahisi pia
ndio nani huyo pancho boyHabarini Wana jamvi?
Niende moja kwa moja kwenye topic. Kiukweli kitendo Cha Pancho boy kimenisikitisha sana nikiwa Kama mmoja wa wadau wa nguvu kwenye jukwaa hili pendwa la macelebrity.
Ameonesha kutokuwa na weledi wa hali ya juu kwa kitendo cha kupakazia baadhi ya member kuwa team fulani ya mziki na wakati lengo letu no moja la kuujenga huu mziki Kama mashabiki wa mziki mzuri.
Naomba aje aombe radhi kwa kosa hili ambalo amelifanya Kama kweli yeye no mdau wa mziki mzuri.
Akhsanteni sana
~kigoma.
muhuni/chawa fulani hivi katufungulia Uzi kutuponda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio nani huyo pancho boy