Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri akujie kumbuka don yupo zake kule jukwaa letu.Hata mie huwa nahisi ni IDs mbili zinamilikiwa na mtu mmoja 🙄
Sasa kwenda ndo suruhisho, suruhisho nikuomba msamaaa tu Basi.Acha niondoke sasa maana hizi team zenu zimeniundia kamati na kashfa kedekede..
Kisa tu nimewapa za USO..
Ndukiiiii
Ko na wewe ni mnafiki...?Hata mie huwa nahisi ni IDs mbili zinamilikiwa na mtu mmoja [emoji849]
Comrade ghafla nimepachikwa tu kwenye hizo team sijui hata zinahusu niniNaomba mnitagi, siku mkianzisha team za mishangazi...[emoji39][emoji39]
Daaaaaah nilikutukana au nilisema ukweli, ok by the way mbona sikukufungulia Uzi Kama wewe ambavyo umetuanika hadharani...?OK kipindi unanitukana kisa nikisema ukweli
Tena mbele ya kadamnasi na sio Mimi
Peke yangu ..
Uliniomba msamaha bro
Hahahahaj
Tuache haya maujinga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pancho atakutag sawa.Naomba mnitagi, siku mkianzisha team za mishangazi...[emoji39][emoji39]
Leo nimekuwa mvulana...! AsanteNawewe ukakaa na kufikiri ukaamua ulete Uzi kuhusu Huyo mvulana..!! Kazi kweli kweli
Labda Kama changamsha genge
Sawa bhana nenda but haujafanya fair kabisaSubiri akujie kumbuka don yupo zake kule jukwaa letu.
Me ntatoka nduki
Hahahaa
Sio changamsha genge hii ni serious issue, tena aombe msamaa haraka[emoji31][emoji31][emoji31]Nawewe ukakaa na kufikiri ukaamua ulete Uzi kuhusu Huyo mvulana..!! Kazi kweli kweli
Labda Kama changamsha genge
Unakataa kuwa wewe ni team mfalme juaComrade ghafla nimepachikwa tu kwenye hizo team sijui hata zinahusu nini
Hahahahahah
Tena under 16Leo nimekuwa mvulana...! Asante
Bro tuachane na hizi ishu tusichukulie serious sanaaaaSawa bhana nenda but haujafanya fair kabisa
😂😂😂😂😂Sio changamsha genge hii ni serious issue, tena aombe msamaa haraka[emoji31][emoji31][emoji31]
Haya bhana kaka niacheni mdogo wenuTena under 16
Ok nimekusamehe na team nzima ya chama la Wana kwa niaba tumekusamehe ila usirudie tena.Bro tuachane na hizi ishu tusichukulie serious sanaaaa
Hahahahah
Sema mmenipachika majina mengi nimewakosea nini
Mnafki,mvulana,uteam.
Nisameheni basis
Khokhokho
Unafurahia mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
.... [emoji849][emoji849][emoji849]