Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #41
Ok Usirudie tena kuwadiss kaka zakoHaya bhana kaka niacheni mdogo wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok Usirudie tena kuwadiss kaka zakoHaya bhana kaka niacheni mdogo wenu
Sawa yote tisa, ila kumi umeshajirekebisha/ujirekebisheTeam Fulani eti kisa tu nimegusa maslahi ya watu niombe msamaha..
Vituko vingine vinasogeza siku kama hivii
Kwa sasa mmeniita mvulana, mnafki ,uteam ambao sasa sijui nacheza namba ngapi..
Kuna watu wazima kabisa kumbe nao niliwagusa...
Hahahh
Ndukiiii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana leo
Wachonganishi utawajua tuAfu huyu pancho boya ni boya kweli mkuu ansema eti ww ndio Abdu kiba
Mbona unataka nimpe za uso liveAfu huyu pancho boya ni boya kweli mkuu ansema eti ww ndio Abdu kiba
Samahani mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pancho atakutag sawa.
Ohhhhh....Comrade ghafla nimepachikwa tu kwenye hizo team sijui hata zinahusu nini
Hahahahahah
🤣🤣🤣🤣🤣Nawewe ukakaa na kufikiri ukaamua ulete Uzi kuhusu Huyo mvulana..!! Kazi kweli kweli
Labda Kama changamsha genge
Muhuni fulani hivi wa team naniliu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Samahani mkuu...
Huyo Panicho ndio nani..[emoji848]
[emoji31][emoji31][emoji31]Ohhhhh....
Pole sana comrade
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Innocent independent unazingua sana utafikiri hitoi duaraHabarini Wana jamvi?
Niende moja kwa moja kwenye topic. Kiukweli kitendo Cha Pancho boy kimenisikitisha sana nikiwa Kama mmoja wa wadau wa nguvu kwenye jukwaa hili pendwa la macelebrity.
Ameonesha kutokuwa na weledi wa hali ya juu kwa kitendo cha kupakazia baadhi ya member kuwa team fulani ya mziki na wakati lengo letu no moja la kuujenga huu mziki Kama mashabiki wa mziki mzuri.
Naomba aje aombe radhi kwa kosa hili ambalo amelifanya Kama kweli yeye no mdau wa mziki mzuri.
Akhsanteni sana
~kigoma.
Wewe dogo una uchoko sanapancho boy anazingua alafu ana kauli chafu Sana
Halafu anajikuta mjanjaaaWewe dogo una uchoko sana
Unaanzisha thread kwa id K halafu unachangia kwa Id I
Ushamba tuHalafu anajikuta mjanjaaa
Ukichunguza unagundua I'd moja ikiwa online nyingine inapotea haiijawahi kuwa online zote anafkiri hapa watu hawajui ..Ushamba tu
Sasa Mara ngapi niseme Mimi sio innocent dependent hamuelewi, Mimi ni kigoma independent jamani sawa.Innocent independent unazingua sana utafikiri hitoi duara
Uwe muelewa bhana hizi ni I'd mbili tofauti sawaWewe dogo una uchoko sana
Unaanzisha thread kwa id K halafu unachangia kwa Id I