Nimesikitishwa sana na Pancho boy

Team Fulani eti kisa tu nimegusa maslahi ya watu niombe msamaha..
Vituko vingine vinasogeza siku kama hivii
Kwa sasa mmeniita mvulana, mnafki ,uteam ambao sasa sijui nacheza namba ngapi..

Kuna watu wazima kabisa kumbe nao niliwagusa...
Hahahh
Ndukiiii
 
Sawa yote tisa, ila kumi umeshajirekebisha/ujirekebishe
 
Innocent independent unazingua sana utafikiri hitoi duara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…