Nimesikitishwa sana na waandishi wa Sheria Tanzania (Draftsmen)

Nimesikitishwa sana na waandishi wa Sheria Tanzania (Draftsmen)

Mpap Ndabhit

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
331
Reaction score
416
Hivi wasomi wa miaka hii mnasomeaga shule Gani.?Au shida ni hizi English medium zinaboronga elimu yetu. Yaani Kiingereza hatujui.. Kiswahili hatua! Wakuu naomba msome wenyewe kiambata hiki.
 

Attachments

  • IMG_20230926_123735_632.jpg
    IMG_20230926_123735_632.jpg
    587.7 KB · Views: 1
Hivi wasomi wa miaka hii mnasomeaga shule Gani.?Au shida ni hizi English medium zinaboronga elimu yetu. Yaani Kiingereza hatujui.. Kiswahili hatua! Wakuu naomba msome wenyewe kiambata hiki.
Imetafsiriwa na mhaya.Usishangae iwapo maneno kama ng'ambo ukiyakuta yanasomeka ngambo!
Hayo maneno k.v ataanzisha wao wanaandika "hataanzisha"
Mtu aliyepewa kuhariri naye ana shida na ndio vijana wetu wa siku hizi wanafanya vitu haraka haraka ili wakalewe na kufanya uzinzi
 
Hivi wasomi wa miaka hii mnasomeaga shule Gani.?Au shida ni hizi English medium zinaboronga elimu yetu. Yaani Kiingereza hatujui.. Kiswahili hatua! Wakuu naomba msome wenyewe kiambata hiki.
'hata' badala ya 'ata'
 
Asante mkuu, unajua Kwa kutumia kifungu hicho 20(1) hawawezi kumtia mtu hatiani Kwa sababu kifungu hicho kinakuwa kimepoteza maana. Nashauri sheria zilizotungwa Kwa Kiingereza waziache hivyo hivyo bila kuzitafsiri wataharibu. Kuna Uwezekano wa kumtia mtu hatiani asiye na hatia.
 
Back
Top Bottom