Gamal Sankara
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 301
- 265
Nchi yenye watu 55 million haiwezi hata kuwatuma wanaspoti 5? Duuh 😔
Na kisha mkitazama hiyo picha, yule anayebeba hiyo bendera si mtz. Na ndiyo maana mimi hujiuliza, Mbona wenzetu ni kama huwa mnachanganyikiwa?
Angalau uganda
Na kisha mkitazama hiyo picha, yule anayebeba hiyo bendera si mtz. Na ndiyo maana mimi hujiuliza, Mbona wenzetu ni kama huwa mnachanganyikiwa?
Angalau uganda