I am what I am bro don't try to change me. Nawatamani sana tu maana wanavutia na kunahaja zipo ambazo yeye pekee ndio anaweza kidhi. Ila kamwe siamini mwanamke anapenda isipokuwa mama yangu mzazi tu, vivyo hivyo ninampenda sana mama yangu. Upendo sio matamanio. Pia mimi sio mtoto mkuu, ni mtu mzima kabisa..
I respect your train of thought, and I would never try to change it. Nachokipendekeza ukione ni hiki: Wanawake wazuri ambao hawajalemewa na mizigo ya dhambi bado wapo. Japo huwezi kuwapata kirahisi kama ambavyo vijana wa leo tunadhania. Nadhani hili inabidi tulizingatie sana.....I am what I am bro don't try to change me. Nawatamani sana tu maana wanavutia na kunahaja zipo ambazo yeye pekee ndio anaweza kidhi. Ila kamwe siamini mwanamke anapenda isipokuwa mama yangu mzazi tu, vivyo hivyo ninampenda sana mama yangu. Upendo sio matamanio. Pia mimi sio mtoto mkuu, ni mtu mzima kabisa..
Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Hakutaka kusubiri. Huyu mwamba amekuwa nami katika kila hali kabla mimi sijkaa sawa. Ni mateso kwangu kumuona anahangaika. Ngoja mwanamke aondoke. Muda sahihi ukifika atapatikana mwingine.
Miaka MIWILI michache Sana!Kama hakumpenda aliishije naye miaka miwili?
Kuwa na akili kakaHuyo rafiki tu au kuna mengine
Maana ma Pungazozo mko kila mahali na mnatokea hukohuko vyuoni
aisee!Mtoa mada ana uwezo mdogo Sana wa kutatua matatizo, au hakumpenda kidhati huyo mchumba wake
Kwa bahati nzuri hili haliusishi watoto na rafiki. Hili linahusisha mchumba na rafiki. Mchumba si mke (ni rafiki wa kike mwenye matarajio ya kuwa mke). Na hata kama angekuwa mke, bado maneno ya mithali 31:10-31, alitakiwa kuyatia akilini kwa uzuri. Na kwa kiasi labda niseme kwamba kwa mitazamo ya wengi wana-disvalue thamani ya rafiki katika maisha. Baadhi yetu marafiki hawa ndo wametufanya kuwa hivi tulivyo leo. Kuna kipindi walicho-sacrifice muda na nguvu ili sisi tufanikiwe. Kama mchumba anashindwa kuelewa hoja ya kumsaidia mtu wa namna hiyo, "HELL NO! Anaweza kwenda.Mwanzoni mwa mwaka watoto wanataka kwenda shule na rafiki yako wa dam anashida na pesa ungefanyaje mkuu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi binafsi sikupingi mkuu.Kwa bahati nzuri hili haliusishi watoto na rafiki. Hili linahusisha mchumba na rafiki. Mchumba si mke (ni rafiki wa kike mwenye matarajio ya kuwa mke). Na hata kama angekuwa mke, bado maneno ya mithali 31:10-31, alitakiwa kuyatia akilini kwa uzuri. Na kwa kiasi labda niseme kwamba kwa mitazamo ya wengi wana-disvalue thamani ya rafiki katika maisha. Baadhi yetu marafiki hawa ndo wametufanya kuwa hivi tulivyo leo. Kuna kipindi walicho-sacrifice muda na nguvu ili sisi tufanikiwe. Kama mchumba anashindwa kuelewa hoja ya kumsaidia mtu wa namna hiyo, "HELL NO! Anaweza kwenda.
Mahali tu 2,500,000 ulikuwa unanunua VX 5???Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
kikawaida ameona jamaa hayuko serious, maamuzi magumu kama hayo ilibidi wapange wote kama kweli aliamua kiwa familia na bidada!! angemwambia maleta millioni 1.5 million 1 namsaidia rafiki angu akamsikia au angeeleza plan yake.Amevunja uchumba sababu hupeleki mahari?
Aminawewe si muoaji bora dada wa watu kaondoka
You nailed it.Mimi binafsi sikupingi mkuu.
Kwasababu kumkwamua huyo jamaa ilikuwa ni lazma sasa na hiyo mahari hakuna ulazma wa sasa
Lakini hapo ulkuwa na uwezo wa kucheza win-win game ni vile tu umeshindwa kuishinda saikolojia ya mwanamke wako, na kuwa makini isije hata ukaishindwa ya huyo mwanamke wako ajae
At any time mwanamke wako ataitaji yeye aonekane ndie first choice kwako, nielewe kwanza hapo "aonekane" sio lazma iwe hivyo, yani usitengeneze mazingira yakuonekana yeye sio kapaumbele chako, ndio utakuta mwanamke wako anakuuliza "Mimi na mama yako unampenda sana nani" mjibu yeye na wakati universal truth ni kwamba Kwa men first love ni mama
So ungetafuta kisingizio kingine tofauti na Cha rafiki yako, Kwa sabab Kwa kufanya hivyo umeonesha waziwazi kwamba she's not the first choice kitu ambacho kimemuuma sana hasahasa Kwenye issue kubwa kama ya mahari.
Note: Mwanamke asiwe first choice Kwenye maisha yako lakini mfanye ajione hivo
Ni mawazo tu mkuuu nothing personal
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwanamke alikuwa hakupendi na baada ya muda mgeanza kulala kila mtu na chumba chake. Mwanamke anayekuheshimu na kutii maagizo yako ndiyo wa kuoa.Hakutaka kukubali. Mfano, nilimsihi nipeleke mahari tarehe 28 badala ya tarehe ya mwanzo. Tena kwa kunyenyekea sana lakini bado akesema hapana. Nilitumia busara sana ila hakuwa tayari kuelewa.