Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu hapoo watu tushapitaa huko.. Anamfanya mtoto wa watu boyaaaa tu hakuna Mwanadamu mwenye huruma kiasi hicho dunia ya leooo[emoji1787][emoji1787] Huyo demu atafute jamaa ambae yupo serious naee huyu hamna kitu.Mh hivi una uhakika kweli ulikuwa na lengo la kupeleka mahari kwao huyo mchumba wako!!? [emoji849]
Kanywe Pepsi kwa mangi nakuja kulipa,umenikoshaSiyo kosa la wanawake ni kosa la mitazamo ya jamii zetu
Mkuu kumbuka mwanaume anaweza kuoa hata akiwa na 50 na jamii ikaona kawaida, ila mwanamke akifika 30 tu jamii inaanza kumnyooshea vidole, na kumtupia maneno yote mabaya
Na hiyo ndio sababu kubwa mwanamke akikaa kwenye uchumba miaka halafu mwanaume akamuacha, lazima aumie zaidi sababu amempotezea muda, ukizingatia atakayetukanwa ni yeye na siyo mwanaume eleweni hilo kwanza
Kiongozi unaishi sayari ipi kwanza, kiasi hujui kwamba jamii nyingi hasa za kiafrika kwa asilimia kubwa zimemfavour zaidi mwanaume kuliko mwanamke, hasa kwenye masuala ya mahusiano na ndoa kwa ujumlaMpaka sasa wanawake wamevunja mitazamo ya kijamii mingapi na mbona hawajilaumu ila ndoa tu ndio mlaumu. Umenyooshewa vidole vingapi mbona umeviignore na unaishi mpaka leo ila ndoa tu ndio uone mtazamo wa jamii ndio shimo la kujitetea. Umalaya katika jamii linamtazamo hasi saana ila kila leo wanawake wanacheza kuonyesha matako na kuonyesha mwili hata pasipotakiwa maana hadi tiktok wanajiuza na wanaendelea pasipo kujali mtazamo wa jamii au vidole wanyooshewavyo. Tena mpaka sasa imekuwa ndio habari ya mjini. Leo wewe uje useme ni mtazamo wa jamii na umepotezewa muda. In what sense! Unajua pesa zinazotafutwa sister, natumai unajua, tunapoteza pesa nyingi mno kwa mwanamke na bado mnakuja kuachana na humdai mtu hizo pesa, kwani kwa mtazamo wa jamii huyo mwanaume si mjinga na hana akili na amechezea muda na pesa kwamtu aliyemletea nothing but misery. Acheni utoto na kujifanya mmeonewa zaidi sababu tu either umekosea kuchagua vyema au uvumilivu huna, maamuzi ya kuishi na huyo mtu I don't know in how many years ulichagua wewe ukikosea still it's on you. Eti muda, unafikiri pesa mnazoziona za thamani zinatengenezwa bila kupata muda. Women like manipulation and victimization, sijui kwanini. Au unajua mwanaume jamii haijamuwekea mitazamo, acheni huo ujinga na ubinafsi inazidi kumfanya kila mwanaume amuone mwanamke wakizazi hiki cheap na kutafakari sana juu ya ndoa. Ukisoma unatakiwa kuishi kwa logic na akili. Mmepata elimu sasa acheni maisha ya hisia na visingizio. Everyone has a time frame and you're not the only ones who gets failures and society prejudices.
Hakuna kitu kama hichoMwamba kwanza hongera kwa kutambua shida ya rafiki yako...but umefanya kosa ambalo litakutesa maishani...kwenye suala LA kujitambulisha na ndoa hapahitaji mzaha kabisa. Pale ndipo penye baraka na mikosi pia.
Tayari umeanza na mkosi,machozi ya huyo Dada+aibu atakayopata+fedheha kwa wazazi wake ni KARMA ya milele.
Utahangaika sana. Pole.
Ustaarabu upi unauzungumzia? Siwezi kuwa makini bila Joh.kuwa makini mkuu.. Changia kistaarabu tu.
Mfano niliokupa niwakueleweka sana sikutaka kutaja mambo yote, mbona yanajulikana. Unataka kuwa huru, nani kakushikilia, we umeshikiliwa akili na jamii. Hii ndiyo mindset ninayoichukia. Jamii ikuache huru, ninani asemwi katika jamii kwa akili yako. Yaani sijui kwanini hata msome vipi bado akili unashikiwa na watu. Mwanaume kubadilisha wanawake ni umalaya lakini hataacha mpaka apate aliyesahihi na kuitwa majina hainizuii kuishi. Ni sawa na kufikiria nchi itakupa maendeleo wakati hata nchi iwe tajiri kiasi gani kama hujui kujiendeleza utabaki hapohapo. Wewe ni wewe, we jamii itakufanya nini, stop being childish. Eti ikupe uhuru[emoji23][emoji23][emoji23], umewaza kwaakili kweli. Mahusiano na ndoa yamemfavor mwanaume wapi au kujifanya vilema muonewe huruma. Nyinyi kutangaza kama mnasemwa na jamii ndo mnafikiri sisi tunafavor sana. Yaani it's a bogus mindset. Mimi sinahata hamu ya mtoto wala mke muda huu ila unajua ninavyosemwa na kila ndugu na wazazi. Uletwe mwenyewe duniani na ufe mwenyewe ndio useme umeshikiliwa. Just one sentence, Acha kushikiwa akili.Kiongozi unaishi sayari ipi kwanza, kiasi hujui kwamba jamii nyingi hasa za kiafrika kwa asilimia kubwa zimemfavour zaidi mwanaume kuliko mwanamke, hasa kwenye masuala ya mahusiano na ndoa kwa ujumla
Unaniambia habari za malaya tu kana kwamba wanawake wote kwenye jamii ni malaya, ofcourse wapo wanawake walioamua kuignore mitazamo ya jamii japo nao bado mnawasakama, lakini wanaoumia wengi ni wale ambao bado wamefungwa na hiyo mitazamo na pengine wanajiheshimu bado
Simple ili hayo malalamiko yenu yawe valid jamii iache hiyo mitazamo ya hovyo kuhusu ndoa na wanawake kwa ujumla, wanaume muache kulalamika kuwa wanawake wa siku hizi wameharibikiwa wamekuwa malaya na wanawapotezea sana pesa, ili kusudi na wanawake nao wawe huru na wasijione kama huwa wanapotezewa muda
Nimecheka kinoma noma aisee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji41][emoji41]Safi sana Kataa Ndoa
Kama unakipenda kitu kiache kiende, kama kitarudi basi kilikuwa chako, kama hakitarudi basi hakikuwa chako.Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Mimi sijashikiwa akili mkuu nilishatoka huko, ila nimegundua hapa unajiongelea mtazamo wako binafsi, while mimi naongelea mitazamo ya wanaume wengi kwa ujumlaMfano niliokupa niwakueleweka sana sikutaka kutaja mambo yote, mbona yanajulikana. Unataka kuwa huru, nani kakushikilia, we umeshikiliwa akili na jamii. Hii ndiyo mindset ninayoichukia. Jamii ikuache huru, ninani asemwi katika jamii kwa akili yako. Yaani sijui kwanini hata msome vipi bado akili unashikiwa na watu. Mwanaume kubadilisha wanawake ni umalaya lakini hataacha mpaka apate aliyesahihi na kuitwa majina hainizuii kuishi. Ni sawa na kufikiria nchi itakupa maendeleo wakati hata nchi iwe tajiri kiasi gani kama hujui kujiendeleza utabaki hapohapo. Wewe ni wewe, we jamii itakufanya nini, stop being childish. Eti ikupe uhuru[emoji23][emoji23][emoji23], umewaza kwaakili kweli. Mahusiano na ndoa yamemfavor mwanaume wapi au kujifanya vilema muonewe huruma. Nyinyi kutangaza kama mnasemwa na jamii ndo mnafikiri sisi tunafavor sana. Yaani it's a bogus mindset. Mimi sinahata hamu ya mtoto wala mke muda huu ila unajua ninavyosemwa na kila ndugu na wazazi. Uletwe mwenyewe duniani na ufe mwenyewe ndio useme umeshikiliwa. Just one sentence, Acha kushikiwa akili.
Mwamba, sijamfukuza. Kaamua mwenyewe kwamba ifike mwisho. KARMA hapa nitapataje mkuu??Mwamba kwanza hongera kwa kutambua shida ya rafiki yako...but umefanya kosa ambalo litakutesa maishani...kwenye suala LA kujitambulisha na ndoa hapahitaji mzaha kabisa. Pale ndipo penye baraka na mikosi pia.
Tayari umeanza na mkosi,machozi ya huyo Dada+aibu atakayopata+fedheha kwa wazazi wake ni KARMA ya milele.
Utahangaika sana. Pole.
Haswa,,,Mh hivi una uhakika kweli ulikuwa na lengo la kupeleka mahari kwao huyo mchumba wako!!? [emoji849]
Furushi gani tena Cillah!?Dada wa watu kaepushwa na furushi.
Duuh!😃nyi mlikua mnaviziana sio bure
Nadhani hukumpenda kwa moyo wote ndo maana alipokwambia mvunje uchumba ulikubali faster, huo ni mtazamo wangu.Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!