Mimi sijashikiwa akili mkuu nilishatoka huko, ila nimegundua hapa unajiongelea mtazamo wako binafsi, while mimi naongelea mitazamo ya wanaume wengi kwa ujumla
Tunatamani wanaume wote wangekuwa kama hivyo, but unfortunately haiko hivyo wengi wana mitazamo kama ninayosema, na ndio hao vinara wa kudhalilisha wanawake
Na kibaya zaidi ni kwamba kwenye jamii zetu anayeamua ndoa ni mwanaume, kwahiyo wale wanawake walio desperate na ndoa wakiteleza kidogo tu wanatishiwa kutokuolewa, so inabidi watii ili 'wasitiriwe' na jamii iwaelewe