Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
Tea bila sugar.Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Ulikosea kumwambia hiyo sababu. Ni amekuona hauko serious kabisa ungetafuta visingizio vingine tuu mbali kabisa na hiyo sababu.Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Mungu ni mwema. Hope she'll find a good end somewhere else!Ulikosea kumwambia hiyo sababu. Ni amekuona hauko serious kabisa ungetafuta visingizio vingine tuu mbali kabisa na hiyo sababu.
Mkuu ulikuwa na nia nzuri na lengo jema kabisa. Lakini kwa akili za wanawake hiyo sababu uliompatia kichwani kwake wala haioni kama sababu, alichoelewa ni sawa na umemwambia waziwazi kuwa "yeye HANA thamani mbele yako".Mungu ni mwema. Hope she'll find a good end somewhere else!
28yrsKama kakubali kirahisi kuachana na uchumba wenu bas huyo alikua snake alikua na jambo lake,bora amepita hivi,hamkupendana
Nb:kwan uyo demu wako ana miaka mingap
Inachekesha😀😀🤣Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Unajua kumuona mtu unaemjua vizuri anataabika na changamoto za maisha ni mbaya sana. Ni bora uamue kufanya maamzi magumu.Ungewapa nusu nusu ungemsadia mwana
siyo hasira ni bora ungekuja kuomba ushauri kabla ya uamuzi uliochukua,yaani kwa hapo umefeliAcha hasira mkuu.
Nimejitahidi kufanya yote kwa wakati mmoja na kumuelekeza mambo mengi tu niliofanikiwa kwa sababu ya huyu rafiki yangu. Tatizo lilikuwa kwamba alitaka hilo jambo lifanyike before xmas. Lakini kwanini tufanye haraka hivi na wakati kuna mtu wa muhimu kwetu ana changamoto? Ok, tufanye tarehe nyingine ndani ya mwezi huu. Bado mambo hayakueleweka!yeah,ulichofanya ni muhimu lakini pia ulihitaji mda wa kumuweka sawa maana hiyo taarifa imekuja ghafla sidhani kama angekuelewa kirahisi,usikurupuke emu jaribu kuongea naye na umweleze matarajio yako na umweleze umuhimu wa huyo rafiki yako
siyo anakwambia tuvunje uchumba nawe unasema sawa hujamtendea haki
hii miaka kwa mwanamke anakuwa ashapagawa,pole yake28yrs
Duuuh!😌Watu bado mnatoa mahari karne hii? Unanunua mwanamke?
Kama umekaa naye mda wote tayari ni mke huyo.
Watu wana pesa za kuchezea😁😁
Ni makubaliano tu mkuu. Unapiga hesabu ya idadi ya ng'ombe na mahitaji mengine kwenda kwenye pesa.Watu bado mnatoa mahari karne hii? Unanunua mwanamke?
Kama umekaa naye mda wote tayari ni mke huyo.
Watu wana pesa za kuchezea😁😁