Nimesitisha kutoa mahari

Nimesitisha kutoa mahari

Nimejitahidi kufanya yote kwa wakati mmoja na kumuelekeza mambo mengi tu niliofanikiwa kwa sababu ya huyu rafiki yangu. Tatizo lilikuwa kwamba alitaka hilo jambo lifanyike before xmas. Lakini kwanini tufanye haraka hivi na wakati kuna mtu wa muhimu kwetu ana changamoto? Ok, tufanye tarehe nyingine ndani ya mwezi huu. Bado mambo hayakueleweka!
siyo msikivu achana naye
 
All time is tea time.
 

Attachments

  • 198351-Hot-Tea-Vapor.gif
    198351-Hot-Tea-Vapor.gif
    963.4 KB · Views: 4
Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.

Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.

Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.

Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.

Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.

NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
We Ni mjinga sana
 
Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.

Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.

Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.

Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.

Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.

NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Akili hiko matakoni mwako.
 
Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.

Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.

Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.

Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.

Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.

NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Duh imemuonesha dharau kubwa sana,inamaana sikuzote humuoni huyo rafiki yako akiteseka mtaani?

Omba msamaha kwa binti upate baraka
 
Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.

Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.

Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.

Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.

Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.

NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Yaani mke na rafiki una walinganisha.

Una akili za matako walaai.
 
Wewe utakuwa mkristo mnashida sana yaani mnaringa waislam ndio maana wanaoa hadi wanaume zao Hawaringi Dini Yao ningekuwa naielewa ningeenda bila hiyana .

Mxiuuu unashida wa ovyoo nilidhani mesha unaakili kumbe zeroo .

Anashida muombee mkopo ulipe kidogo kidogo
 
Samahani ni sababu lakn naona inawez kuwa sio sababu ya msingi sana kwenye swala hilo ni kama personal

Unawez jitoa hvyo ukaacha mambo yako ukamsaidia rafik yako alafu akajafanikiw asikuzingatie ,...

Hatua hiyo niyaku balance mambo brother mara 10 angekuw ndugu
 
Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.

Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.

Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.

Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.

Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.

NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Sijui tatizo ni malezi au substitute ya akili kuwekewa maji ya dafu.

Vijana mnakwama wapi?
 
Waungwana, tukomenti bila matusi tafadhali. Ukiona huna cha kuandika zaidi ya matusi, hebu tulia kwanza. Huenda ukapata wazo la kujenga baadae. Hili ni jukwaa la kijamii basi tujamiiane kiungwana.
 
Inasikitisha sana kwamba ungeoa alaf bado ni maskini maana mahari ya m2.5 na kumshika mwenzako mkono unashindwaje kuvisimamia pamoja au 2.5 ndo ilikua akiba yako ya maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana kuoa sio punzi kwamba kila mmoja ataivuta na kiufupi dem kakuona fala huna mipango kwan tunasaidia wangapi na bado familia zinasimama wima mambo yanaenda.

Kwa akili zako na kipato chako jitahidi uwe mtu wa kubana maana ukija kuoa familia hutaiweza kamwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujafanya poa na unakaa ujinga Fulani, kwenye mahari ungependa kutoa hata nusu na rafiki Yako ungeweza msaidia tu.

Umefikiria hata kidogo maumivu anayopitia na aibu uliyemsababishia mwenzako. Alafu kama kweli ulikuwa una mpango wa ndoa na uliamua kuoa kwa mahari ya m2.5 Ina maana Hela nyingine unayo?

Yaan ingekuwa ni dada yangu na ulishakuja kujitambulisha Kuna kitu ungelipa!
Huyu ni maskini ndugu bora dem asepe hapo hakuna muoaji wala nn na hyo mahari yenyewe hawez kuwa nayo kamwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio Ni Moja Kati ya maamuzi magumu ambayo yanaweza kufanywa na mwanaume yeyote.

Ila mchumba wako naye kuzingua Sana jamani.Inaonekana alikuwaga na back up ya mwanaume mwingine na alikuwa anakusubiri uzingue tu kidgo afu ye asepe mazima.
Dem si kashasoma toka kitambo kua yupo na zuzu kwann asiwe na back up tena sio moja na zenye mkwanja kumzidi huyo muoaji mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.

Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.

Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.

Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.

Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.

NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Wewe ni Mwanaume. Lakini umefikiria hisia za Mchumba wako pia angalau ukampa muda atleast kusema nimeghairisha sasa ila nitatoa mahari baada ya miezi 3 au 6 baadae?

Hongera kwa uamzi makini.
 
Wewe ni Mwanaume. Lakini umefikiria hisia za Mchumba wako pia angalau ukampa muda atleast kusema nimeghairisha sasa ila nitatoa mahari baada ya miezi 3 au 6 baadae?

Hongera kwa uamzi makini.
Nimefikiria sana mkuu. Mpaka anaondoka, nimemsihi akibadili mawazo arudi ila kama ndio final decision basi, awe na mwisho mwema.
 
Back
Top Bottom