Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siyo msikivu achana nayeNimejitahidi kufanya yote kwa wakati mmoja na kumuelekeza mambo mengi tu niliofanikiwa kwa sababu ya huyu rafiki yangu. Tatizo lilikuwa kwamba alitaka hilo jambo lifanyike before xmas. Lakini kwanini tufanye haraka hivi na wakati kuna mtu wa muhimu kwetu ana changamoto? Ok, tufanye tarehe nyingine ndani ya mwezi huu. Bado mambo hayakueleweka!
kuwa makini mkuu.. Changia kistaarabu tu.Sasa utamwambia huyo rafiki yako akupatie
We Ni mjinga sanaTarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Akili hiko matakoni mwako.Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Duh imemuonesha dharau kubwa sana,inamaana sikuzote humuoni huyo rafiki yako akiteseka mtaani?Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Jamaa na huyo aliekuwa anaigilizia physics kwake wote akili hamnazoKama kakubali kirahisi kuachana na uchumba wenu bas huyo alikua snake alikua na jambo lake,bora amepita hivi,hamkupendana
Nb:kwan uyo demu wako ana miaka mingap
Yaani mke na rafiki una walinganisha.Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Mmekutana Wote akili fupi mnateteanaUmefanya jambo jema sana
Maana huko ukweni hzo hela zilikuwa zinaenda kufanya anasa za ajabu ajabu tu
Ni vizur sana kumuinua mtu kiuchumi kuliko hata kwenda kanisani na kutoa sadaka
Sijui tatizo ni malezi au substitute ya akili kuwekewa maji ya dafu.Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Huyu ni maskini ndugu bora dem asepe hapo hakuna muoaji wala nn na hyo mahari yenyewe hawez kuwa nayo kamweHujafanya poa na unakaa ujinga Fulani, kwenye mahari ungependa kutoa hata nusu na rafiki Yako ungeweza msaidia tu.
Umefikiria hata kidogo maumivu anayopitia na aibu uliyemsababishia mwenzako. Alafu kama kweli ulikuwa una mpango wa ndoa na uliamua kuoa kwa mahari ya m2.5 Ina maana Hela nyingine unayo?
Yaan ingekuwa ni dada yangu na ulishakuja kujitambulisha Kuna kitu ungelipa!
Dem si kashasoma toka kitambo kua yupo na zuzu kwann asiwe na back up tena sio moja na zenye mkwanja kumzidi huyo muoaji mwenyeweHio Ni Moja Kati ya maamuzi magumu ambayo yanaweza kufanywa na mwanaume yeyote.
Ila mchumba wako naye kuzingua Sana jamani.Inaonekana alikuwaga na back up ya mwanaume mwingine na alikuwa anakusubiri uzingue tu kidgo afu ye asepe mazima.
Wewe ni Mwanaume. Lakini umefikiria hisia za Mchumba wako pia angalau ukampa muda atleast kusema nimeghairisha sasa ila nitatoa mahari baada ya miezi 3 au 6 baadae?Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano.
Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana.
Nilimuona rafiki yangu wa karibu wa siku nyingi ambae alikuwa msaada kwangu toka tukiwa shuleni. Physics, chemistry na maths nilifaulu kwa sababu ya uwepo wake.
Nimetafakari mno na hatimaye, jana nilimueleza wazi mchumba wangu kwamba siwezi kuendelea na zoezi la utoaji mahari kwao kwa sababu kuna mtu ambae nahitaji kumshika mkono aondokane na magumu yanayomkabili kwa sasa.
Alisema hakuna shida na kisha kuomba kuvunja uchumba wetu. Sikuchukua muda tena kulifikiria hilo. Nimekubali na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mengine.
NITASIMAMA NA RAFIKI YANGU!
Nimefikiria sana mkuu. Mpaka anaondoka, nimemsihi akibadili mawazo arudi ila kama ndio final decision basi, awe na mwisho mwema.Wewe ni Mwanaume. Lakini umefikiria hisia za Mchumba wako pia angalau ukampa muda atleast kusema nimeghairisha sasa ila nitatoa mahari baada ya miezi 3 au 6 baadae?
Hongera kwa uamzi makini.