Nimesoma maoni ya Chadema kuhusu miswada mitatu; Je, huu uchambuzi umefanywa na wasomi wa Tanzania au wa Havard University?

Nimesoma maoni ya Chadema kuhusu miswada mitatu; Je, huu uchambuzi umefanywa na wasomi wa Tanzania au wa Havard University?

Kama tunasoma vyuo vilevile bila kujali vyama vya siasa tunavyotoka, kwanini CHADEMA wawe na timu inayoweza kufanya uchambuzi wa kina na usio na upendeleo (biasness) kwa kiwango hiki?

Kwa uchambuzi huu waliofanya, naamini hakuna maoni yaliyochambuliwa kama ya hawa watu. Taasisi na mashirika mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa wamewasilisha maoni. Tofauti ya maoni ya makundi mengine ni kwamba hawa wenzetu walikaa wakachambua nakuandika kitaalamu na kwa lugha ambayo kila mtu akisoma anapata mantiki na anaona vision yao kuhusu mfumo wa uchaguzi nchini

Sina uhakika kama waajiriwa wa CHADEMA wanalipwa kiasi gani ila naamini wanalipwa kidogo kulinganisha na chama tawala.

Je, wanapata wapi wasomi wazuri kiasi hiki wasiopenda maslahi makubwa bali wanapenda itikadi yao? Wanawezaje kusajili watu wenye akili timamu kwa miaka zaidi ya 30 mfululizo?

Viongozi wengi wazuri ndani ya chama cha mapinduzi na wanaokubali mjadala japo kwa kiasi kidogo waliwahi kuwa chadema , viongozi wa vyama vya upinzani karibia wote waliwahi kuwa chadema. Lakini hakuna mwana CCM mwenye nafasi ya uongozi chadema kwa maana hiyo chadema imeweza sana kuwaandaa watu makini na wenye akili timamu ikilinganishwa na taasisi nyingine.

Swali la nyongeza, ni kweli kwamba haya maoni yameandikwa na wana chadema au wamelipwa washauri kutoka Mataifa na vyuo vikubwa Duniani? Kama wameandika wenzetu watanzania ; tunaweza kufahamu majina yao? Itatusaidia sana kuwapa mchongo wa kazi za uandishi lakini pia hata waliopo madarakani wanaweza wakawa chukua kuwasaidia kazi.

Huu uchambuzi unanipa moyo kwamba hatuna umuhimu wakutumia makampuni ya kigeni kwenye kesi zetu; tuandae watanzania na kwa kuanza tujifunze kutoka mfumo wa chadema.

Hongereni kwa hatua hii, niwaombe na taasisi nyingine vikiwemo vyama vya siasa waweke wazi maoni yao waliyowasilisha kwa maandishi jamii ione. Tusiwe kama Joseph Selasini ajaandika chochote cha taasisi anakwenda kutoa maoni binafsi kwa niaba ya NCCR.
Tatizo la nchi hii,tunaangalia nani katoa maoni,bila kupima uzito WA maoni
 
Katibu mkuu wa zamani wa CHADEMA akoshwa na jinsi BAVICHA vijana wa CHADEMA walivyotoa maoni yakionesha ukomavu wa fikra katika mambo mazito ya taifa la Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=dKkaf6eeKfs
Makamanda wa BAVICHA Queens Taifa yaonesha ukomavu na ujasiri wakitoa maoni mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge masuala ya utawala, sheria na katiba
 
H
Kama tunasoma vyuo vilevile bila kujali vyama vya siasa tunavyotoka, kwanini CHADEMA wawe na timu inayoweza kufanya uchambuzi wa kina na usio na upendeleo (biasness) kwa kiwango hiki?

Kwa uchambuzi huu waliofanya, naamini hakuna maoni yaliyochambuliwa kama ya hawa watu. Taasisi na mashirika mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa wamewasilisha maoni. Tofauti ya maoni ya makundi mengine ni kwamba hawa wenzetu walikaa wakachambua nakuandika kitaalamu na kwa lugha ambayo kila mtu akisoma anapata mantiki na anaona vision yao kuhusu mfumo wa uchaguzi nchini

Sina uhakika kama waajiriwa wa CHADEMA wanalipwa kiasi gani ila naamini wanalipwa kidogo kulinganisha na chama tawala.

Je, wanapata wapi wasomi wazuri kiasi hiki wasiopenda maslahi makubwa bali wanapenda itikadi yao? Wanawezaje kusajili watu wenye akili timamu kwa miaka zaidi ya 30 mfululizo?

Viongozi wengi wazuri ndani ya chama cha mapinduzi na wanaokubali mjadala japo kwa kiasi kidogo waliwahi kuwa chadema , viongozi wa vyama vya upinzani karibia wote waliwahi kuwa chadema. Lakini hakuna mwana CCM mwenye nafasi ya uongozi chadema kwa maana hiyo chadema imeweza sana kuwaandaa watu makini na wenye akili timamu ikilinganishwa na taasisi nyingine.

Swali la nyongeza, ni kweli kwamba haya maoni yameandikwa na wana chadema au wamelipwa washauri kutoka Mataifa na vyuo vikubwa Duniani? Kama wameandika wenzetu watanzania ; tunaweza kufahamu majina yao? Itatusaidia sana kuwapa mchongo wa kazi za uandishi lakini pia hata waliopo madarakani wanaweza wakawa chukua kuwasaidia kazi.

Huu uchambuzi unanipa moyo kwamba hatuna umuhimu wakutumia makampuni ya kigeni kwenye kesi zetu; tuandae watanzania na kwa kuanza tujifunze kutoka mfumo wa chadema.

Hongereni kwa hatua hii, niwaombe na taasisi nyingine vikiwemo vyama vya siasa waweke wazi maoni yao waliyowasilisha kwa maandishi jamii ione. Tusiwe kama Joseph Selasini ajaandika chochote cha taasisi anakwenda kutoa maoni binafsi kwa niaba ya NCCR.
o uchambuzi uko wapi?

Naona porojo zako tu.
 
CDM ni mpango wa Mungu,Kayafa alijaribu mwisho yeye ndo akaenda,lakini wanafiki na makasuku kama voice from within watakuja kupinga huu ukweli.

Kuna mmoja kila post anaweka namba ya simu atakuja kuandika barua ndefu hapa muda sio mrefu.
🤣🤣🤣
 
Siyo kazi binafsi ya JJ.Mnyika. Chadema ni Taasisi kubwa Myika kafanya mawasilisho ya mapendekezo.

Maoni yamekusanywa kutoka kwa wengi, na majumuishi yamefanywa na chama, JJ Mnyika kayawasilisha mbele ya kamati.

Kipe chama credit siyo mtu. Yale hayakuwa maoni ya JJ .Mnyika bali ya chama cha demokrasia na maendeleo.
👍👌👏🙏
 
Kama tunasoma vyuo vilevile bila kujali vyama vya siasa tunavyotoka, kwanini CHADEMA wawe na timu inayoweza kufanya uchambuzi wa kina na usio na upendeleo (biasness) kwa kiwango hiki?

Kwa uchambuzi huu waliofanya, naamini hakuna maoni yaliyochambuliwa kama ya hawa watu. Taasisi na mashirika mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa wamewasilisha maoni. Tofauti ya maoni ya makundi mengine ni kwamba hawa wenzetu walikaa wakachambua nakuandika kitaalamu na kwa lugha ambayo kila mtu akisoma anapata mantiki na anaona vision yao kuhusu mfumo wa uchaguzi nchini

Sina uhakika kama waajiriwa wa CHADEMA wanalipwa kiasi gani ila naamini wanalipwa kidogo kulinganisha na chama tawala.

Je, wanapata wapi wasomi wazuri kiasi hiki wasiopenda maslahi makubwa bali wanapenda itikadi yao? Wanawezaje kusajili watu wenye akili timamu kwa miaka zaidi ya 30 mfululizo?

Viongozi wengi wazuri ndani ya chama cha mapinduzi na wanaokubali mjadala japo kwa kiasi kidogo waliwahi kuwa chadema , viongozi wa vyama vya upinzani karibia wote waliwahi kuwa chadema. Lakini hakuna mwana CCM mwenye nafasi ya uongozi chadema kwa maana hiyo chadema imeweza sana kuwaandaa watu makini na wenye akili timamu ikilinganishwa na taasisi nyingine.

Swali la nyongeza, ni kweli kwamba haya maoni yameandikwa na wana chadema au wamelipwa washauri kutoka Mataifa na vyuo vikubwa Duniani? Kama wameandika wenzetu watanzania ; tunaweza kufahamu majina yao? Itatusaidia sana kuwapa mchongo wa kazi za uandishi lakini pia hata waliopo madarakani wanaweza wakawa chukua kuwasaidia kazi.

Huu uchambuzi unanipa moyo kwamba hatuna umuhimu wakutumia makampuni ya kigeni kwenye kesi zetu; tuandae watanzania na kwa kuanza tujifunze kutoka mfumo wa chadema.

Hongereni kwa hatua hii, niwaombe na taasisi nyingine vikiwemo vyama vya siasa waweke wazi maoni yao waliyowasilisha kwa maandishi jamii ione. Tusiwe kama Joseph Selasini ajaandika chochote cha taasisi anakwenda kutoa maoni binafsi kwa niaba ya NCCR.
Jambo moja la msingi:
Wanachadema ni watanzania.
 
Kama tunasoma vyuo vilevile bila kujali vyama vya siasa tunavyotoka, kwanini CHADEMA wawe na timu inayoweza kufanya uchambuzi wa kina na usio na upendeleo (biasness) kwa kiwango hiki?

Kwa uchambuzi huu waliofanya, naamini hakuna maoni yaliyochambuliwa kama ya hawa watu. Taasisi na mashirika mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa wamewasilisha maoni. Tofauti ya maoni ya makundi mengine ni kwamba hawa wenzetu walikaa wakachambua nakuandika kitaalamu na kwa lugha ambayo kila mtu akisoma anapata mantiki na anaona vision yao kuhusu mfumo wa uchaguzi nchini

Sina uhakika kama waajiriwa wa CHADEMA wanalipwa kiasi gani ila naamini wanalipwa kidogo kulinganisha na chama tawala.

Je, wanapata wapi wasomi wazuri kiasi hiki wasiopenda maslahi makubwa bali wanapenda itikadi yao? Wanawezaje kusajili watu wenye akili timamu kwa miaka zaidi ya 30 mfululizo?

Viongozi wengi wazuri ndani ya chama cha mapinduzi na wanaokubali mjadala japo kwa kiasi kidogo waliwahi kuwa chadema , viongozi wa vyama vya upinzani karibia wote waliwahi kuwa chadema. Lakini hakuna mwana CCM mwenye nafasi ya uongozi chadema kwa maana hiyo chadema imeweza sana kuwaandaa watu makini na wenye akili timamu ikilinganishwa na taasisi nyingine.

Swali la nyongeza, ni kweli kwamba haya maoni yameandikwa na wana chadema au wamelipwa washauri kutoka Mataifa na vyuo vikubwa Duniani? Kama wameandika wenzetu watanzania ; tunaweza kufahamu majina yao? Itatusaidia sana kuwapa mchongo wa kazi za uandishi lakini pia hata waliopo madarakani wanaweza wakawa chukua kuwasaidia kazi.

Huu uchambuzi unanipa moyo kwamba hatuna umuhimu wakutumia makampuni ya kigeni kwenye kesi zetu; tuandae watanzania na kwa kuanza tujifunze kutoka mfumo wa chadema.

Hongereni kwa hatua hii, niwaombe na taasisi nyingine vikiwemo vyama vya siasa waweke wazi maoni yao waliyowasilisha kwa maandishi jamii ione. Tusiwe kama Joseph Selasini ajaandika chochote cha taasisi anakwenda kutoa maoni binafsi kwa niaba ya NCCR.
Mwanaume kusifia sifia ujinga ni ushoga
 
CHADEMA ni Chama cha Mungu
Ninyi ndomlikuwa mnalalamika Magufuli alipokuwa akisifiwa kama Mungu Leo mnarudia na nyinyi kusema Chadema ni Chama Cha Mungu! Acheni upuuzi huu "kila neno Liwe la Siri au wazi litaletwa hukumuni" Mhubiri 12:14
 
Ninyi ndomlikuwa mnalalamika Magufuli alipokuwa akisifiwa kama Mungu Leo mnarudia na nyinyi kusema Chadema ni Chama Cha Mungu! Acheni upuuzi huu "kila neno Liwe la Siri au wazi litaletwa hukumuni" Mhubiri 12:14
Chama cha Mungu kwa maana ya maono , sasa Magufuli ni Mungu gani alimtuma kuteka na kuua watu ?
 
Kama tunasoma vyuo vilevile bila kujali vyama vya siasa tunavyotoka, kwanini CHADEMA wawe na timu inayoweza kufanya uchambuzi wa kina na usio na upendeleo (biasness) kwa kiwango hiki?

Kwa uchambuzi huu waliofanya, naamini hakuna maoni yaliyochambuliwa kama ya hawa watu. Taasisi na mashirika mbalimbali ikiwemo vyama vya siasa wamewasilisha maoni. Tofauti ya maoni ya makundi mengine ni kwamba hawa wenzetu walikaa wakachambua nakuandika kitaalamu na kwa lugha ambayo kila mtu akisoma anapata mantiki na anaona vision yao kuhusu mfumo wa uchaguzi nchini

Sina uhakika kama waajiriwa wa CHADEMA wanalipwa kiasi gani ila naamini wanalipwa kidogo kulinganisha na chama tawala.

Je, wanapata wapi wasomi wazuri kiasi hiki wasiopenda maslahi makubwa bali wanapenda itikadi yao? Wanawezaje kusajili watu wenye akili timamu kwa miaka zaidi ya 30 mfululizo?

Viongozi wengi wazuri ndani ya chama cha mapinduzi na wanaokubali mjadala japo kwa kiasi kidogo waliwahi kuwa chadema , viongozi wa vyama vya upinzani karibia wote waliwahi kuwa chadema. Lakini hakuna mwana CCM mwenye nafasi ya uongozi chadema kwa maana hiyo chadema imeweza sana kuwaandaa watu makini na wenye akili timamu ikilinganishwa na taasisi nyingine.

Swali la nyongeza, ni kweli kwamba haya maoni yameandikwa na wana chadema au wamelipwa washauri kutoka Mataifa na vyuo vikubwa Duniani? Kama wameandika wenzetu watanzania ; tunaweza kufahamu majina yao? Itatusaidia sana kuwapa mchongo wa kazi za uandishi lakini pia hata waliopo madarakani wanaweza wakawa chukua kuwasaidia kazi.

Huu uchambuzi unanipa moyo kwamba hatuna umuhimu wakutumia makampuni ya kigeni kwenye kesi zetu; tuandae watanzania na kwa kuanza tujifunze kutoka mfumo wa chadema.

Hongereni kwa hatua hii, niwaombe na taasisi nyingine vikiwemo vyama vya siasa waweke wazi maoni yao waliyowasilisha kwa maandishi jamii ione. Tusiwe kama Joseph Selasini ajaandika chochote cha taasisi anakwenda kutoa maoni binafsi kwa niaba ya NCCR.
Chadema ni wabobezi kwenye mambo ya sheria na hii ni Kwa sababu ni Wapinzani lazima wawe hivyo Ili kujihami na maswaibu ya mamlaka.

Ndio maana kwenye masuala ya Uchumi na maendeleo ni weupe ,Sasa joulizeni mnataka maendeleo au wapiga soga Wazuri?
 
Hiyo ni kazi binafsi ya JJ. Mnyika with few imputs from the rest. JJMnyika is dam good, tatizo lake ni moja, hana a good team to play with.

Ni kweli kati ya vyama vyote na maoni ya taasisi zote, maoni ya Chadema ni funga kazi. Big up sana Chadema for that!.

Sii kweli kuwa CCM haijatoa viongozi wazuri Chadema, kwani unajua Dr. Slaa alitokea wapi?, na wakati akiwa Chadema, kadi yake ya uanachama huko alikotokea ilikuwa wapi na ilikuwa imelipiwa miaka mingapi?.

P
Huyu ni Mwanasheria wa Tanzania , anayejua kwamba ukishajiunga na Chama kingine moja kwa moja unakuwa umejivua uanachama wa chama cha awali , lakini anakuja humu kudanganya !
 
Hiyo ni kazi binafsi ya JJ. Mnyika with few imputs from the rest. JJMnyika is dam good, tatizo lake ni moja, hana a good team to play with.

Ni kweli kati ya vyama vyote na maoni ya taasisi zote, maoni ya Chadema ni funga kazi. Big up sana Chadema for that!.

Sii kweli kuwa CCM haijatoa viongozi wazuri Chadema, kwani unajua Dr. Slaa alitokea wapi?, na wakati akiwa Chadema, kadi yake ya uanachama huko alikotokea ilikuwa wapi na ilikuwa imelipiwa miaka mingapi?.

P
Sio kweli ,nakupinga kweupe, hoja ni moja tu chadema kama chama imeandaa watu na ina watu wenye akili timamu period
 
Ile taarifa ya TWAWEZA nina hakika kwa 100% ilikuwa sahihi na ilifanyika kitaalam. Matokeo ya utafiti ule wa TWAWEZA, mpaka leo yanaashiria uhalisia wa mambo. Utafiti wa TWAWEZA ulisema:

1. CHADEMA inaungwa mkono zaidi na watu wasomi, vijana na watu wenye uelewa mkubwa.

2. CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga (watu wasioenda shule au wenye elimu ndogo)

Kwa hiyo unachokiona ni uhalisia wenyewe.

Bahati mbaya hao wenye wajinga wengi ndiyo wanaotawala. Baada ya hapo utauliza kwa nini nchi yetu ni maskini, nchi yetu haina mipango bora ya maendeleo, nchi yetu haina misingi ya utawala bora wala demokrasia?

Fuatilia hata maoni kuhusu jambo lolote:

Linganisha: BAVICHA Vs UVCCM; BAWACHA Vs UWT. Nadhani bado unakumbuka maelekezo ya kiongozi wa UWT kwa akina mama wa CCM, eti ikifika saa 4 usiku kabla ya kumpa mumeo mwulize kama ataichagua CCM, akisema hapana mnyime, msubirie saa 7, akikataa msubirie saa 10!! Huyo ndiye kiongozi wa akina mama wa CCM. Anawaza ngono tu!! Jongozwe na mtu kama huyo halafu utarajie nchi iwe na maendeleo?

Hata humu kwenye jukwaa letu, fuatilia michango ya hao wanaojiita wafia CCM kama utaona kuna dalili yoyote ya weledi. Tazama michango ya Mwashambwa, Variables and the likes. Mpaka Rais Samia ameyachoka makelele yao yasio na content. Imebidi awaambia wajibu hoja kwa takwimu na siyo kelele kama wanavyofanya sasa hivi.
 
Na Mbowe ni mwana wa mungu
Hakuna asiye mwana wa Mungu. Hata wewe ni mwana wa Mungu. Hata jambazi ni mwana wa Mungu aliyeasi na kumkumbatia shetani. Lakini akitubu na kumrudia Mungu anapokelewa, kwa sababu Mungu ana upendo wa ajabu kwa wana wake japo wapo watukutu, waasi na hata wenye kumkana kwa kauli au matendo yao.

Tushukuru uwepo wa CHADEMA. Maana japo tuna CCM iliyojaa ushetani mwingi, uwepo wa CHADEMA unasaidia kuzuia mengi tunayoyajua na tusiyoyajua, wasiyafanye kwa kuihofia CHADEMA.
 
Back
Top Bottom