Nimestaajabu Naomba mnieleweshe, hizi ndio riba za mkopo wa mtumishi wa Umma?

Nimestaajabu Naomba mnieleweshe, hizi ndio riba za mkopo wa mtumishi wa Umma?

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Kwenye pitapita zangu nimeona kwenye mfumo wa ess mkopo kwa mtumishi wa uma, kila taasisi ya mkopo imewekwa kwenye mfumo na riba zake, ila nikama vile sijaelewa kitu,
Nimeshangaa serikali inaapprove taasisi yenye riba 42%?

Serious BOT?

Fanikiwa microfinance 42%
Magere credit 42%
Platinum credit 42%
Tunakopesha Limited 40%
CRDB 17%
Na zingine zingi
IMG_20250218_182043.jpg


Naombamnielewesh sijaelewa na kwama kweli hizo ndio riba

Naomba kuuliza hizi taasisi zenye riba 40%. Kabisa BOT imewa approve?

Kweli serikali inajari watumishi na wananchi wake, Hongera sana serikali kwa kuwezesha mikopo nafuu kwa watumishi
 
Sasa usichoelewa nini? Si ukakope kwenye riba nafuu

Hilo linahitaji BOT waje chumbani kwako kukushauri ?

Elimu yako haijakusaidia wazazi wako walipoteza pesa bure kukusomesha
 
Watapata wapi faida? Wakitangaza faida mnashangilia huku mkimsifu CEO wao ...Riba ni kufanya wengi kuwa masikini kwa tamaa za mikopo.
 
Sasa usichoelewa nini? Si ukakope kwenye riba nafuu

Hilo linahitaji BOT waje chumbani kwako kukushauri ?

Elimu yako haijakusaidia wazazi wako walipoteza pesa bure
Akili yako ni fupi sana!
Kila nchi duniani serikali huwa ipo kulinda maslai ya wananchi, peleka hivyo vibkaisha damu kwa nchi zinazojielewa uone kama vitapokelewa,

Ila sehemu yenye vilaza kama wewe ndio hayo mambo yanafanyika

Huna akili
 
Akili yako ni fupi sana!
Kila nchi duniani serikali huwa ipo kulinda maslai ya wananchi, peleka hivyo vibkaisha damu kwa nchi zinazojielewa uone kama vitapokelewa,

Ila sehemu yenye vilaza kama wewe ndio hayo mambo yanafanyika

Huna akili
Elimu na wewe unasoma ya nini wakati hata ukienda dukani unaangalia maduka tofauti tofauti ili ujue unununue wapi bidhaa

Mikopo nayo ni bidhaa tu kama bidhaa za madukani tu ukienda kwenye ghali usilaumu serikali wewe ndio akili unakuwa kichwani huna

Sio kazi ya serikali kukutumbukizia akili kwenye fuvu la kichwa chako
 
Elimu na wewe unasoma ya nini wakati hata ukienda dukani unaangalia maduka tofauti tofauti ili ujue unununue wapi bidhaa

Mikopo nayo ni bidhaa tu kama bidhaa za madukani tu ukienda kwenye ghali usilaumu serikali wewe ndio akili unakuwa kichwani huna

Sio kazi ya serikali kukutumbukizia akili kwenye fuvu la kichwa chako
Kwakua akili yako imeishia hapo, huna uelewa wa hayo maswala

Wewe ni kilaza naomba nikuache
 
Hata hao wenye 17% riba yao pia inaweza kuwa 150% ukitaka kujua hilo kopa kwa muda mrefu miaka 8,9,10...
Hiyo 17% ni faida kwa watu wenye mkopo wa muda mfupi tu lkn kwa muda mrefu ni kama hao wengine tu
Sasa je hao wa 42% ukikopankwa miaka 5 sindio unakopa 7M unalipa 50M

Serikali inatoa Leseni kwa watu wa namna hii? Hii ni kulinda maslai ya mwananchi au muwekezaji?
 
Hata hao wenye 17% riba yao pia inaweza kuwa 150% ukitaka kujua hilo kopa kwa muda mrefu miaka 8,9,10...
Hiyo 17% ni faida kwa watu wenye mkopo wa muda mfupi tu lkn kwa muda mrefu ni kama hao wengine tu
Wengi hawajui compound interest,kila mwaka wanajikuta deni linaanza upya ,mwisho wakichukia miaka mingi ngoma inapiga mpaka 150%
 
Wengi hawajui compound interest,kila mwaka wanajikuta deni linaanza upya ,mwisho wakichukia miaka mingi ngoma inapiga mpaka 150%
Kuna mtu alivyuta 14M alipoendaga alijikuta anadaiwa 38M akatakankuchanganyikiwa
 
Sasa je hao wa 42% ukikopankwa miaka 5 sindio unakopa 7M unalipa 50M

Serikali inatoa Leseni kwa watu wa namna hii? Hii ni kulinda maslai ya mwananchi au muwekezaji?
Na kwanini ww mwananchi uende huko kwenye mifupa wakati umewekewa maini?
 
Nje ya mama yako hakuna mwenye huruma zaidi yake bro!

Hicho hicho kidogo kisichokutosha wewe unachokipambania kuna watu wametega mitego yao wakichukue wakitumia kitu kinachoitwa sheria walichokitunga wao.
 
Sasa usichoelewa nini? Si ukakope kwenye riba nafuu

Hilo linahitaji BOT waje chumbani kwako kukushauri ?

Elimu yako haijakusaidia wazazi wako walipoteza pesa bure kukusomesha
Nimegundua wewe ni kakakijana hakana Ajira Licha ya kuomba mapambio Kila siku.

Juu ya yote, unaunga unga maishaa .

Chama kikuone.
 
Back
Top Bottom