Nabado watu wanasomesha watoto EMS!!!!Siku za usoni wagonjwa wa changamoto ya afya ya akili takwimu zitapaa juu sana
Wafanyakazi wengi wanatembea ila akili zao hazipo sawa.Wengi sura hazina nusu mtu akikaa akilala anawaza madeni😣😣😣
Mtaani huko biashara zote za kuigana uchumi wa fremu umecolapse🚩🚩🚩🚮🚮🚮