Nimestushwa sana kusikia mtangazaji Wasafi Media, anayeitwa Adela, akijimwambafai kuwa amewahi kuhongwa milioni 60 na mpenzi wake!

Nimestushwa sana kusikia mtangazaji Wasafi Media, anayeitwa Adela, akijimwambafai kuwa amewahi kuhongwa milioni 60 na mpenzi wake!

Nafuatitilia kipindi Cha Wasafi Media, kinachorudhwa LIVE muda huu, ambacho kimepewa jina la HAUJUI, nikishuhudia mtangazaji wa Wasafi Media, Oscar Oscar, akimuuliza mtangazaji mwenzake anayeitwa Adela, akimuuliza awe mkweli na amwambie katika maisha yake , anakumbuka ni kiasi Gani alichowahi kuhongwa kikubwa na anakumbuka ni kiasi Gani??

Msichana huyo bila aibu Wala kusita amejibu kuwa aliwahi hongwa na Bwana tu aliyekuwa akitembea naye shilingi milioni 60 Kwa mpigo!

Nimestushwa sana na huo ushuhuda aliotoa huyo mdada, ingawa hakumtaja huyo mtu wake "kibopa bilionea" lakini Mimi naamini kuwa atakuwa mwanasiasa, kutoka Sisiem!

Kwa kuwa pia naamini kuwa huyo "kipopa bilionea" atakuwa amefanya wizi wa Kula Kwa urefu wa kamba yake!

Kwa kuwa Rais Samia alishawapa "green light" hao wateule wake, wale Kwa urefu wa kamba zao, Kwa kuwa siamini kama atakuwepo mfanyibiashara yoyote atakayekuwa na "wehu" huo wa kuhonga pesa nyingi kiasi hicho, tena akiwa ni kimada tuuu!

Kwa kuwa najua Kwa mfanyibiashara yeyote wa nchi hii hata akiwa "level" za akina Bakheresa, hawezi kufanya uendawazimu wa aina hiyo, ukizingatia mlolongo wa makodi ya TRA yanayomwandama Kila kona
Hivi kuna watu mnasikiliza wasafi?
 
Nafuatitilia kipindi Cha Wasafi Media, kinachorudhwa LIVE muda huu, ambacho kimepewa jina la HAUJUI, nikishuhudia mtangazaji wa Wasafi Media, Oscar Oscar, akimuuliza mtangazaji mwenzake anayeitwa Adela, akimuuliza awe mkweli na amwambie katika maisha yake , anakumbuka ni kiasi Gani alichowahi kuhongwa kikubwa na anakumbuka ni kiasi Gani??

Msichana huyo bila aibu Wala kusita amejibu kuwa aliwahi hongwa na Bwana tu aliyekuwa akitembea naye shilingi milioni 60 Kwa mpigo!

Nimestushwa sana na huo ushuhuda aliotoa huyo mdada, ingawa hakumtaja huyo mtu wake "kibopa bilionea" lakini Mimi naamini kuwa atakuwa mwanasiasa, kutoka Sisiem!

Kwa kuwa pia naamini kuwa huyo "kipopa bilionea" atakuwa amefanya wizi wa Kula Kwa urefu wa kamba yake!

Kwa kuwa Rais Samia alishawapa "green light" hao wateule wake, wale Kwa urefu wa kamba zao, Kwa kuwa siamini kama atakuwepo mfanyibiashara yoyote atakayekuwa na "wehu" huo wa kuhonga pesa nyingi kiasi hicho, tena akiwa ni kimada tuuu!

Kwa kuwa najua Kwa mfanyibiashara yeyote wa nchi hii hata akiwa "level" za akina Bakheresa, hawezi kufanya uendawazimu wa aina hiyo, ukizingatia mlolongo wa makodi ya TRA yanayomwandama Kila kona
Usitishwe na 'figures' mkuu, wanaongezaga tarakimu hao.
 
Screenshot_20240903-234748.png
 
😂😂😂😂
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2014 tupo maeneo ya Soccer City Bar Sinza na jamaa zangu wawili wote ni Matajiri wa ndizi, mmoja akasema ana namba ya Masogange (rip) Mwenzake akaiomba akapiga haijapokelewa akatuma 30k, demu akapiga simu mwenyewe. Sorry Babe nipo Arusha narudi jumanne nitakucheki, mrejesho Jamaa alienda kumla akampa 120,000 tu. Lakini mitandaoni alikuwa anajifanya ni demu wa nyota 5. Hakuna kitu hawa ma celebrity wa kibongo shida tupu na ku feki life tu.
 
***** labda kama aliliwa jicho kwa afu 60 sawa.
 
Back
Top Bottom