Nimetafakari sana na kugundua wanaume hapa Tanzania tupo kwenye mgomo dhidi ya wanawake

Nimetafakari sana na kugundua wanaume hapa Tanzania tupo kwenye mgomo dhidi ya wanawake

"Usawa wa kijinsia" nao umechangia.
Zamani wanawake waliwaganda wanaume sababu ya shida.
Mwanamke mwenye kipato kizuri hahitaji mume, sababu anao uwezo wa kujihudumia na ni wabinafsi sana.
Kwa upande mwingine mwanaume akipata hela anahisi kuwa na jukumu la kumuhudumia mwanamke, iwe kwa kuoa ama kuwa na michepuko.
Kweli comrade!!
 
Ni kweli kbs walitaka wenyewe haki sawa wakati hawawezi kutafuta pesa bahati mbaya idadi ya wanaume marijali inapungua Huku wao wakizidi kuwa wengi dakika ya mwisho unadhani Nini kitatokea..no love no money poa poa chaputa wamelipokea vzr

Halafu Sasa hivi wanawake wanahangaika Sana ingia tiktok na Instagram uone ulimbukeni wao wanashindana Sana kutingisha makalio watuvutie dakika ya mwisho wengi wanaishia kutunguliwa jicho
Tik tok na insta(reel) zimetusaidia kujua malimbukeni wengi
 
mbona kila wikiendi kumbi zimejaa masherehe🤔 au huwaga ni za vicoba?
FB_IMG_16566085269524940.jpg
wanaofagilia hii post maisha yao enyewe ndo hayo🤗
 
Siku hizi sijui nawaonaje!!!! Naona km napishana na midume tuuu....
 
Mkuu ..watakuja kukupinga hapa ...lakini mimi nimekuelewa vizur na nna kubaliana na ww kwa 100 % mahusiano mengi sahv yamegeuka kero ndo maana unaona kila mtu yuko kivyake
 
i always like these kind of creativity in threads, Kudos!
 
Kuna ukweli ndani yake, wanawake badala ya kuwa sehemu ya furaha ndani wamegeuka kuwa kero na karaha! Kutokuwa waaminifu,gubu,jeuri,kutaka usawa,simu za mikononi n.k ni majanga makubwa katika mahusiano mengi siku hizi.

Matokeo yake wanaume tunapenda short time sex! Unaita,mnapanga bei,mnastarehe Kisha kila mtu ananenda kivyake!
Yah man!!!"jah bless uu".....fact iz fact no matter what!
 
Mtihani huu jmn, huu nao ni uzi? Halafu unaweza ukakuta huyu ni graduate wa SAUT l.
Wa2 kama nyie ndio waliomshangaa SIR ISACK NEWTONE ,kuanza kuchunguza kwa nini jani la mti aliokuwa amejipuzishia kivulini lilipodondoka kwa nini lilianguka chini badala ya kwenda juu,, kadhalika wa2 wenya akili mgando kama ninyi ndo walikua kama waroma walipomfunga gerezani GALILEI GALILEO pale aliposema DUNIA ni mviringo wakati WAROMA walikua wanaamini DUNIA ni kama meza,,,,,,,,jifunze kutafari mazee,"hamna milioni kabla ya moja papaa!!"
 
They are selfish
Takers with no shame, all they up to is take and take and then come back to take and take and then complain they were not given enough so they take and take and take and go then they will come back and you should know better, they will come to TAKE.

Hawanaga shukrani na waeadhani ni haki yao kupewa kila watakacho na wapewe hapo hapo na wapewe na mwanaume yeyote awe tayari kuwapa.

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani
 
Straight on,

Because Im afraid, if am allowed to say, then very bluntly put, most women today are full of crap, lies, are manipulative, are incredibly narcissistic, unbelievably superficial, fake, fickle, materialistic to a fault, unrealistic, silly and selfish, self centred and never think of what they can bring to the table for a man- aside from sex (if even that).

Men have decided the juice is not worth the squeeze anymore. That's why. Team JF feminist squard karibuni kwa mjadala.

cariha Nakadori Rebeca 83 to yeye Mzigua90 Miss Natafuta JOANNA et el

: pay me later
 
"Usawa wa kijinsia" nao umechangia.
Zamani wanawake waliwaganda wanaume sababu ya shida.
Mwanamke mwenye kipato kizuri hahitaji mume, sababu anao uwezo wa kujihudumia na ni wabinafsi sana.
Kwa upande mwingine mwanaume akipata hela anahisi kuwa na jukumu la kumuhudumia mwanamke, iwe kwa kuoa ama kuwa na michepuko.
du!!!
 
Kuna mwanamke mmoja alijileta mwenyewe....kwa sasa imekuwa nongwa eti mimi simbebelezi😂😂 mimi nimemuambia sijui kubembeleza kama vipi atembee..
 
Takers with no shame, all they up to is take and take and then come back to take and take and then complain they were not given enough so they take and take and take and go then they will come back and you should know better, they will come to TAKE.

Hawanaga shukrani na waeadhani ni haki yao kupewa kila watakacho na wapewe hapo hapo na wapewe na mwanaume yeyote awe tayari kuwapa.

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani
da!!! kweli jamaa!!!...ahahahaaaaa!!
 
Back
Top Bottom