Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani afufuatilie kichwani kumejaa uharo na matopeBinti mbona unapenda kunifatilia?
Au umehisi wivu nilipomuuliza mwenzio kama anataka kuolewa au la?
Ulitaka nikuulize wewe?
Njoo nkuoe binti upunguze stress.Nani afufuatilie kichwani kumejaa uharo na matope
Zoezi gumu ilo imagine week nzima.Nenda kariakoo angalia sehemu penye watu wengi kaa hapo.Tumia wiki moja tu.Kila siku amka asubuhi nenda eneo lilelile.Najua baada ya siku 7 hizo utakuwa umeanza kufanya kitu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]jibu konkiNi biashara.
Tena yenye faida mno kwa wanawake.
Kama ulikuwa hujui anza kutambua ilo sasa.
Mm nna mil 1 vipi unaweza kuniongezea moja nyingine?Awe na million 2
Mm nna mil 1 vipi unaweza kuniongezea moja nyingine?
Haya ndio majibu tunayoyatakaLaki tatu ni hela nzuri tu, sema frem ndo itakukosti,
Kama uko strong fungua genge, ila usimamie mwenyewe.
Pia endelea kutafuta kazi, ipo siku yako utafanikiwa, Mungu ni wa wote.
Kabisa,mwenyewe nimeshangaa comments za watuZaman nilikua nilikua nilikua nikiingia jf nakuta watu wanajibu kistaarabu sana ila sa hv ovyo sana jaman mtu anapofika hatua ya kuandika hapa ujue anahitaji msaada kama huwez msaidia jitahid angalau basi usimpe maumivu
Umeongea vema. Halafu sijui mods wako wapi na kwanini wanawaacha hawa watu wanaoleta mizaha kwenye kila jambo. Hili sio jukwaa la cheap jokes.Ila muwe na hofu ya Mungu kidogo mtu anaomba ushauri wa jinsi ya kujikomboa kiuchumi af mnamkebehi! Sio sahihi kabisa❌
Hali ni mbaya JF[emoji24]Umeongea vema. Halafu sijui mods wako wapi na kwanini wanawaacha hawa watu wanaoleta mizaha kwenye kila jambo. Hili sio jukwaa la cheap jokes.
Chupi mzeya....mzigo wa 50k faida 25kivo vifuniko vya asali vya warembo nivip ivo mkuu?
Ebu tuachage utoto basi. Wee huku ulimwenguni kwenyewe tuu sio kila mtu yupo serious and iwe cyberspace. Ukiingia huku kuna kila kitu utakacho ni wewe tuu na akili zako uchague kinachokufaaNdio maana watu wataogopa hata kuleta hoia zao ili wasaidiwe kulingana na comment za watu za kukatisha tamaa.
Mtoa mada kaleta hoja yake vizuri tu ili asaidiwe lakini mizaha imekuwa mingi pasipo kupata ufumbuzi wa jambo lake,tuelimikeni jamani,kama huna hoja ya kumsaidia ni vizuri tu kukaa kimya.