Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?

Mdogowangu mpenziii
Km huna Aibu anza kupika vitumbua jion vzr kabisa,tafutaa site nzuri yenye kuonekana lipia ht elfu 1 kwa siku
Nakuomba sana usiuze bei kubwa weka bei nzuri ht wanafunzi waweze nunua kwa wingi

Nakusihi usione Aibu km umeamua kufanya biashara basi jitoe haswa,mwaka wa 6 huu niko napambana na biashara na Mungu yu mwema sana
 
Tafutaa eneo la sokon omba kinafasi weka jiko kaanga mihogo mziru mikubwa pilipili nzuri ya kutsoha
Kuwa msafi na mkarimu

Tengeneza crips nzuri,karanga za mayai ama vikokoto omba madukan uuze ama kaa stend na sinia lako jion ukiwa msafi uza
Hakikisha u msafi wa kinywa na mwili
Zingatiaa bei sana ya bidhaa zako isiwe kubwa utawakosa wateja wachini ambao ndo wanunuzi wazuri wa kila siku
Ubarikiwe
 
Umeongea vema. Halafu sijui mods wako wapi na kwanini wanawaacha hawa watu wanaoleta mizaha kwenye kila jambo. Hili sio jukwaa la cheap jokes.
Kuna mpuuzi mwingine huko juu naye amemkebehi huyo dada af anasema eti yeye ni msomi! Wasomi wa siku hizi wa hovyo sana!!
 
Hilo ndio tatizo la watu wa humu,unauliza hiki wao waneleta ya kwao,hapo Bado watakuja wanaoitana bby,yaan n shidaaa
Wanazingua kinoma, kwenye uzi wa mtu anaegitaji msaada kuna mamtu yanaingia kupiga story wakati pm zipo
 
Kwanini wewe usimshauri,unapitia comments za nini wakati sio wewe uliyehitaji msaada

Wewe mshauri,wala hujachelewa
Acheni ukuda, binti anahitaji ushauri mnaleta ushubwada.
Madem wa jf miyeyusho sana.
 
Download Alibaba Anza kuagiza vitu kwa laki 3 tafuta vitu vyakike vyenye price isiyozidi $1 then NUNUA alafu Anza kupost WhatsApp na Facebook
 
Noo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…