Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morani wakiruka Juu huku Mori umepanda...Asee na mimi natafuta wa kimasai nimalizie iddy pili vizuri....
eid el fitri ni kitu gani kwa wasukuma? Hakijulikani ni kitu gani hicho. Kama kuna wasukuma ni waislam itashangaza sana! Labda walisilimu miaka ya hivi karibuni. Usukumani si pwani waliko waislam wengi tangu zama za waarabuKwa kuwa wasukuma ni miongoni mwa makabila makubwa nchini, bila ya shaka wasukuma kadhaa ni Waislam.
Kwa mintarafu hiyo nikapata shauku ya kusikiliza Wimbo angalau mmoja ulioimbwa Kwa kisukuma kusherehesha siku kuu hii nimeukosa kabisa.
Kama Kuna mtu ana wimbo ulioimbwa kwa Kisukuma maalum Kwa ajili ya Eid El Fitri atuwekee tusikilize wasukuma nao wanavyomtukuza ALLAH.
acha ujinga, yaani watu wakapiganie utamaduni na mila za kiarabu huku wanazo mila na tamaduni zao huoni kuwa huo ni uendawazimu?Uzi huu lengo lake linajulikana, sijui huwa mnajisikiaje mkianza kutupiana na kudhihakiana kisa dini.
Ipo siku hali hii itatoka mitandaoni, na kuhamia mtaani. Mnatengeneza sumu mbaya saana bila kujua.
na ndio lengo kuu hasa la mleta mada kwamba dini hiyo iliathiri zaidi makabila ya pwani kuliko bara. Wa pwani wakafanya ndio utamaduni na mila zao hadi sasa wakati ni waarabu ndio walileta dini hiyoKabisa... Wao hawakuingiliwa sana na hizi dini tunazozibebea na tamaduni zao...
Si unaona Ili ujiite Nabii au Mtume si lazima uchanganye na kiingereza... Sasa kiingereza na ukristo wapi na wapi???
Utakuwa uzembe tu wa wasukuma mbona Bukedde Tv walishinda wanapiga kaswida za ki luganda siku ya IddKwa kuwa wasukuma ni miongoni mwa makabila makubwa nchini, bila ya shaka wasukuma kadhaa ni Waislam.
Kwa mintarafu hiyo nikapata shauku ya kusikiliza Wimbo angalau mmoja ulioimbwa Kwa kisukuma kusherehesha siku kuu hii nimeukosa kabisa.
Kama Kuna mtu ana wimbo ulioimbwa kwa Kisukuma maalum Kwa ajili ya Eid El Fitri atuwekee tusikilize wasukuma nao wanavyomtukuza ALLAH.