Nimetafuta Wimbo Wa Eid El fitri Wa kisukuma nimeukosa

Nimetafuta Wimbo Wa Eid El fitri Wa kisukuma nimeukosa

Asee na mimi natafuta wa kimasai nimalizie iddy pili vizuri....
 
Kwa kuwa wasukuma ni miongoni mwa makabila makubwa nchini, bila ya shaka wasukuma kadhaa ni Waislam.

Kwa mintarafu hiyo nikapata shauku ya kusikiliza Wimbo angalau mmoja ulioimbwa Kwa kisukuma kusherehesha siku kuu hii nimeukosa kabisa.

Kama Kuna mtu ana wimbo ulioimbwa kwa Kisukuma maalum Kwa ajili ya Eid El Fitri atuwekee tusikilize wasukuma nao wanavyomtukuza ALLAH.
eid el fitri ni kitu gani kwa wasukuma? Hakijulikani ni kitu gani hicho. Kama kuna wasukuma ni waislam itashangaza sana! Labda walisilimu miaka ya hivi karibuni. Usukumani si pwani waliko waislam wengi tangu zama za waarabu
 
Uzi huu lengo lake linajulikana, sijui huwa mnajisikiaje mkianza kutupiana na kudhihakiana kisa dini.

Ipo siku hali hii itatoka mitandaoni, na kuhamia mtaani. Mnatengeneza sumu mbaya saana bila kujua.
acha ujinga, yaani watu wakapiganie utamaduni na mila za kiarabu huku wanazo mila na tamaduni zao huoni kuwa huo ni uendawazimu?
 
Kabisa... Wao hawakuingiliwa sana na hizi dini tunazozibebea na tamaduni zao...

Si unaona Ili ujiite Nabii au Mtume si lazima uchanganye na kiingereza... Sasa kiingereza na ukristo wapi na wapi???
na ndio lengo kuu hasa la mleta mada kwamba dini hiyo iliathiri zaidi makabila ya pwani kuliko bara. Wa pwani wakafanya ndio utamaduni na mila zao hadi sasa wakati ni waarabu ndio walileta dini hiyo
 
Kwa kuwa wasukuma ni miongoni mwa makabila makubwa nchini, bila ya shaka wasukuma kadhaa ni Waislam.

Kwa mintarafu hiyo nikapata shauku ya kusikiliza Wimbo angalau mmoja ulioimbwa Kwa kisukuma kusherehesha siku kuu hii nimeukosa kabisa.

Kama Kuna mtu ana wimbo ulioimbwa kwa Kisukuma maalum Kwa ajili ya Eid El Fitri atuwekee tusikilize wasukuma nao wanavyomtukuza ALLAH.
Utakuwa uzembe tu wa wasukuma mbona Bukedde Tv walishinda wanapiga kaswida za ki luganda siku ya Idd
 
Back
Top Bottom