Nimetamani kuwa mtoto

Nimetamani kuwa mtoto

Humu Jf kuna wanaume "MAFUKARA" namaanisha kuna wanaume "MASKINI" haswa.. Wengi wao watapita hii thread kama vile hawajaielewa..

Mwanaume kweli unashindwa vipi kumtoa huyu dada out ya kumpeleka kumnunulia nguo za Milion 2 super market? shubamit
Na wewe ni maskini kama sisi? Kama sio kamnunulie basi.
 
Humu Jf kuna wanaume "MAFUKARA" namaanisha kuna wanaume "MASKINI" haswa.. Wengi wao watapita hii thread kama vile hawajaielewa..

Mwanaume kweli unashindwa vipi kumtoa huyu dada out ya kumpeleka kumnunulia nguo za Milion 2 super market? shubamit
HAlafu baada ya kumnunulia inakuwaje?
 
Si wewe ufanye jamani
Humu Jf kuna wanaume "MAFUKARA" namaanisha kuna wanaume "MASKINI" haswa.. Wengi wao watapita hii thread kama vile hawajaielewa..

Mwanaume kweli unashindwa vipi kumtoa huyu dada out ya kumpeleka kumnunulia nguo za Milion 2 super market? shubamit
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nikaombe hela ya sikukuu nitarudi [emoji134][emoji134][emoji134]
Ukipata nigee na mimi
 
Yani we ukiwa wangu, nitakupa kitu chochote unacho taka na nitakudekeza na kukujali kama mtoto, love me,
Yani hadi ukiwa mbele yangu utajihisi mtoto kwa raha utakazo zipata, Mimi najua ku-care mabinti buana,
Apia???
 
Back
Top Bottom