Nimetamani kuwa mtoto

Nimetamani kuwa mtoto

Zamani hizo muda kama huu babu ameshaninunulia nguo za sikukuu kuanzia za kuendea kanisani Alhamis kuu mpaka za Easter Monday.

Sasa hivi naishia kutamani tu. Siwezi hata kuvaa nguo mpya kwenye sikukuu zaidi ya kumvalisha dogo.

Nimetamani kweli kweli ningekua mtoto ninunuliwe nguo mpya kwenye Pasaka [emoji26][emoji26] maana hata nikijinunulia hainogi kama kununuliwa na kale ka kafeeling ka kujua utavaa nguo mpya uslay kwenye sikukuu kalikua burudani sana.
Haitowezekana
We endelea kutamani tu[emoji23][emoji23]
Alafu kutamani ni dhambi kwa mujibu wa maandiko
 
Ukweli mchungu [emoji852]
Ukirudi utotoni maana yake utabana fursa za watoto kufaidi utoto wao.
Wewe pambana na hali yako tu
Utu uzima noma kweli kweli watoto wanataka kula na kufurahi we kama huna hela wao hawajui na hata wakijua is none of their business[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukirudi utotoni maana yake utabana fursa za watoto kufaidi utoto wao.
Wewe pambana na hali yako tu
Utu uzima noma kweli kweli watoto wanataka kula na kufurahi we kama huna hela wao hawajui na hata wakijua is none of their business[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mimi kuwa au kutokua na hela haiwahusu kabisa.
Wakati Niko mtoto nikiomba hela nikiambiwa nisubiri nilikua nanuna najua wananinyima.
Kumbe watu wanakosaga hela kweli bwana
 
Acha kabisaa nilikua nafikiri wanafanya kusudiii!!!magorofa nimeyaona tena zaidi ya Yale niliyoambiwa!!
Kweli mimi kuwa au kutokua na hela haiwahusu kabisa.
Wakati Niko mtoto nikiomba hela nikiambiwa nisubiri nilikua nanuna najua wananinyima.
Kumbe watu wanakosaga hela kweli bwana
 
Na ni lazima hizo nguo za Pasaka zinunuliwe na Babu au yeyote yule? Nauliza tu Best 😜

Zamani hizo muda kama huu babu ameshaninunulia nguo za sikukuu kuanzia za kuendea kanisani Alhamis kuu mpaka za Easter Monday.

Sasa hivi naishia kutamani tu. Siwezi hata kuvaa nguo mpya kwenye sikukuu zaidi ya kumvalisha dogo.

Nimetamani kweli kweli ningekua mtoto ninunuliwe nguo mpya kwenye Pasaka [emoji26][emoji26] maana hata nikijinunulia hainogi kama kununuliwa na kale ka kafeeling ka kujua utavaa nguo mpya uslay kwenye sikukuu kalikua burudani sana.
 
Write your reply...pole Sana ungekuwa mkoani ungepata shopping ya maana naona wenzangu wa dar niwachoyo sana
 
Humu Jf kuna wanaume "MAFUKARA" namaanisha kuna wanaume "MASKINI" haswa.. Wengi wao watapita hii thread kama vile hawajaielewa..

Mwanaume kweli unashindwa vipi kumtoa huyu dada out ya kumpeleka kumnunulia nguo za Milion 2 super market? shubamit
Duh
 
Back
Top Bottom