Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Kwa haraka huyo ana njaa, hivyo tumia mtu umpatie number yake amtongoze

Akijaa Mwana akupe location watakapokutana uende, wakiingia rum Man akupe dkk kadhaa uingie mean atakuwa amemchojoa nguo we piga picha afu gusa mbele yao


Atakutafuta[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi mtu kama huyo akikuitia mwizi na wewe ukagoma kukimbia ukakaa hapo hapo bila wasiwasi, wanamzengo wakija wanaweza kukuua???
Mmmmh huo ni ujasiri wa kiwango cha juu sana.
 
Nyamaza kimya endelea na maisha kama vile hakijatokea kitu.
Siku akijilengesha kwenye 18 unafanya yako
 
angalau dume mtakoromeana kiume na watu wakijq kuamulia kuna usawa

ila demu lazima uoge mvua ona apo mchizi kaitiwa mwiz mara jogoo awik ugomv wa demu na dume hamna balance no fair demu anabebwa
Huu ungese ndio sitaki kuusikia
 
Sio lazima sasa, sijam feel.
 
Dah.....hili ndilo tatizo.....hata hilo la kuhusu mtungi na jogoo linaweza kuwa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaelewa maana ya 'simpendi'? Hanivutii kwa lolote
 
Bonge la idea, nimeipenda hii, nai bold tayari kwa majaribio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…