chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Dunia haishi vituko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masele wa lyambamgongoMasele huyu actor mlevi mlevi? Kisa?
Tafuta hela bwasheee, elfu 50 sio pesa ya kumfanya mwanaume afungue thread JF.Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,
Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada,
Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana,
Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.
Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona,
Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote,
Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu,
Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa.
Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo,
Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4,
Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu,
Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi,
Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei,
Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia,
Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti,
Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa,
Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi.
Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu,
Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza?
Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia(si kumbaka) huyu mtu. Nataka aumie iwe physically au mentally
NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.
Zee korofi la michongo au maboksiSasa zee korofi mbona watenda mambo ya kipole tena
Litumike? Mimi simtaki nataka hela, hela ameshindwa kulipa means anatakiwa afanyiwe umafia tu. Sitaki uchi wake.
Umenikumbusha kuna mmoja aliniomba nimpe 20 atarudisha baada ya siku 2, nikampa 10, ila cha ajabu hata hicho kidogo hakurudisha, mbaya zaidi anataka nimpe pesa nyingine.Pole mkuu !!! mwanamke ukimuazima hela ye anachukulia umempa io hela samehe anza moja mm nshajiapizq hata nimkute demu hospital anikope pesa qnunue vidonge simpi ata anioneshe cheki ya bank simpi simpiiiiiiiii
Mnaishije na wenzenu ?Hata wanaume. Kukopesha ni kama kamali. Wengi tumeacha kukopesha.
Huwa wanasema hela ya mwanaume ni tamu.Sina hisia naye, katumiwa laki 4 sasa kwa nini asitoe 50k yangu anipe?
Hack mawasiliano yake...lazima kuna watu wana mtongozaSawa ila nataka mbinu
Mambo ya benefit in kind,jamaa anataka cash.jiongeze huyo alitaka kupay in kind sema wewe unakomaa in cash
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatari sheikh
Muendee kwa mganga umroge [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Safi ila nimedhamiria kuumiza
Sio ndogo kwenu ila kwa mwanachuo hata 10k ni kubwa hivi unaijua mikate au unaisikia?Kama anapanda kweli kula tu mzigo yaishe!
Mbona 50K siyo nyingi mkuu!
Ninadada yangu mtoto wa shangazi huwa nikimkopesha anarudisha na mimi nikipata tatizo ananisaidia hivyo wanatofautiana mkuu.Mwanamke akopeshwi anapewa fullstop lBda dada ndo unaweza mkopesha, uyo dada ako mmezaliwa wote au shoga ako