Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, sikwenda kwa shari, hela nilimpea hostel pia.Ulikosea Sana kufata mwanamke hostel kwake kumdai pesa yako.
Alichukulia ulikuja kwa Shari maana sio mahala mlikopeania pesa.
Nae akahamua kujihami kwa Shari zaidi.
Nilikuwa nayo, thats why nimeiandika hapo juu. Naomba uongeze umakini katika usomaji.Sawa ni yako, lakini bado hukuwa na sababu ya kuanzisha uzi.
Aisee mimi kwenye hela nakuwa strict sana. Ni hivi, uchi wake siuhitaji nataka hela yangu. As She fails to pay hapo ndipo pamenifanya nilete uzi wa kimafiaAlitka usimdai hela umuombe chezo, mambo yaishe
Ananizidije sasa? Labda we ndio unazidiwaga akili sio mimi. For now sihitaji hela nataka nimfanyie unyama.tulia ashakuzid akil uyo utapigwa pesa zengine kifala we potezea
Ni nzuri ila mimi sijamuelewa. Simpendi yaani!Rudisha urafiki nae ikiwezekana mpatie Hela nyingine,ukiona kaingua mpeleke bar aleweeee then mpelekee moto Hadi buzaa huko,umafia umafia
Alikulipa kiasi au hakulipa hata kidogo?Kila baada ya siku 2, kuna uzi wa mtu kulia hapa kuwa aliyemkopesha anamkwepa, kazima simu, hajibu SMS lakini watu wanaendelea kukopesha tu. Mi nawashangaa. Mi mwenyewe nilikopesha mtu na sikupata kulipwa hela yangu nyingi tu. Kuanzia wakati huo nikaacha kukopesha.
Sawa!Dah..... Simpendi .......mara nyingi huhusiana na jogoo pamoja na mtungi wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Kwa nini? Ila na wewe mbona unaonekana una wengi umewatapeli?Sikopeshi mtu yeyote zaidi ya Elfu 10 tu tena kwa mbinde sana,nina miaka 10 sijawahi kumkopesha binadamu yeyote
SimuhitajiAchana naye, sema huko mbeleni mkomalie umngate ujilipee
Ova
Alikulipa kiasi au hakulipa hata kidogo?
Ulimkopesha mwanamke?Milioni 6. Sikulipwa hata senti.
Ukishamfanyia umafia uje utupe mrejeshoAnanizidije sasa? Labda we ndio unazidiwaga akili sio mimi. For now sihitaji hela nataka nimfanyie unyama.
nikiwa vizuri nitaleta uziMzee unawakandia sana mademu,tupe kisa chako
HahahahahahTukodi wana tumpige mtungo
Tutashukuru sananikiwa vizuri nitaleta uzi
Nitaleta usijaliUkishamfanyia umafia uje utupe mrejesho