Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Pole mkuu !!! mwanamke ukimuazima hela ye anachukulia umempa io hela samehe anza moja mm nshajiapizq hata nimkute demu hospital anikope pesa qnunue vidonge simpi ata anioneshe cheki ya bank simpi simpiiiiiiiii
Hapa sii sawa... Kuna kitu wataalamu filosopi wanakiita "hasty generalization" yaani unatumia mfano wa wachache kuhukumu wengi....

Hizo zinabaki kama isolated incidences..... Hata mimi siamini sana katika urafiki wa kushibana kati ya me na ke, mara nyingi huleta shida!!!!

Hata wanaume wapo AKUKUOMBA UMKOPESHE HELA kurudisha mbinde na WANAHISI sisi wanawake hela zetu hazina kazi hivi au tumehongwa... YAANI DUNIA HII INA KILA TAKATAKA....

Tafuta mtu wake wa karibu akaongee NAYE huenda ni misunderstanding za hapa na pale tu...
 
Tulishasema USIMKOPE HELA MWANAMKE . Either unampa bure au unamnyima. Haya mambo ya kukopana acha wakopane wao kwa wao. Huwa wanajua jinsi ya kudaiana vizuri.
 
Mzee mwenzangu hukusoma nyakati tu hizo wiki 4 alikuwa teyari kukulipa deni lako ni wewe tu
 
Something wrong.
Mnaishi karibu tu umesema, kisha umesema ukamfuata hostel .
Hiyo miamala alikuonyesha mkiwa wapi?
Ulijuaje hali ya kwao? Maana umegusia maisha ya familia yake?
Nani kawaambia kuwa jogoo hapandi mtungi?
Ahahahaha.
 
Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,

Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada. Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana. Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.

Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona. Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote. Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu.

Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa. Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo.

Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4. Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu. Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi.

Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei. Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia.

Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti. Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa.

Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi. Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu.

Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza? Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia (si kumbaka) huyu mtu.

NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.
Mwanamke akikuzarau anakuzarau kweli kweli. Niishie hapo.
 
Nilishawahi kukugonga bila kukulipa wewe shoga?nimewahi kukutapeli kwa lipi?
Na ndio maana ukaitwa fundi simu. Mafundi wengi km wewe ni matapeli tapeli hata sura zenu zimekaa kitapeli tu, achilia mbali macho yenu[emoji23]
 
Duh
Hii imenikuta na mm
Nilimkopesha tareh 28/03/2022 demu fulan daktari.
Tunafahamiana sna na ni family frend alinihaid pesa atanirudiahia tareh 10/04/2022
Mpaka leo hii yuko kimya sms hajibu wala.simu hapokei
 
Duh
Hii imenikuta na mm
Nilimkopesha tareh 28/03/2022 demu fulan daktari.
Tunafahamiana sna na ni family frend alinihaid pesa atanirudiahia tareh 10/04/2022
Mpaka leo hii yuko kimya sms hajibu wala.simu hapokei
Hapo issue ni kudharau calls na texts zako. Anyway mpe kama mwezi hivi.
 
Hapo bibie alikutaka ameoa hujiongezi amekupiga kipapai siku hizi ukitaka urafiki uishee mkopeshe hela
 
Mtumie msg kuwa hela yako ingeweza kukuua umejifunza kitu kutoka kwake hivyo unamuomba msamaha kwa yaliyotokea kuqnzia leo hautamdai hiyo hela tena na Wala hauna chuki na yeye tuendelee na maisha ya kawaida tu ya Kila siku as if hakunaga kitu kibaya kilitokea then jione wewe ndo mshindi was Hilo Jambo japo umepigwa na kitu kizito maana ukiendelea atakuja kukupotezea pakubwa pengine kukuharibia fyucha bure

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom