Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Wanawake huwa hawakopeshwi,na ukimkopesha hakikisha unamkopesha ela ambayo haitakuathiri au uwe tayari kulipwa kwa namna ambayo wanaijuaga wao.Ukishamkopesha wakipata ela wanakua wachungu sana kurudisha deni.
Huu ufala ndio huwa siutaki, aisee kwa ubahili wangu acha tu wanichukie. Hiyo hela itarudi kinguv, au yeye afanyiwe unyama. Only two options!
 
Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,

Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada. Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana. Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.

Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona. Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote. Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu.

Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa. Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo.

Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4. Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu. Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi.

Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei. Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia.

Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti. Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa.

Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi. Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu.

Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza? Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia (si kumbaka) huyu mtu.

NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.

Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,

Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada. Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana. Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.

Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona. Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote. Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu.

Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa. Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo.

Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4. Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu. Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi.

Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei. Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia.

Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti. Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa.

Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi. Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu.

Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza? Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia (si kumbaka) huyu mtu.

NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.
Una shida wewe mwenzio alitaka akupe mzigo wewe bado unadai hela ungechomwa kabisa
 
Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,

Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada. Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana. Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.

Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona. Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote. Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu.

Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa. Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo.

Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4. Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu. Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi.

Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei. Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia.

Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti. Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa.

Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi. Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu.

Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza? Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia (si kumbaka) huyu mtu.

NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.
aaaggh kumbe ni huyo wa hostel? Nikajua ni nanihii yule mwana ccm...au basi
 
Hivi kuheshimiana ni kutokuombana K eeeh.mi nilijua kupeana ndio kuheshimiana.
 
Hivi mtu kama huyo akikuitia mwizi na wewe ukagoma kukimbia ukakaa hapo hapo bila wasiwasi, wanamzengo wakija wanaweza kukuua???

Nimechoka hapo anasema aliitiwa mwizi akatimua mbio, mara wakaja watu wakaambiwa habari za jogoo..!! Sijui aliacha bluetooth ON.[emoji848]
 
Kwahio ingawa hamna mahusiano amewaambia watu mlikuwa na mahusiano ya kimwili ingawa wewe ulishindwa ? (kwahio anakubali kwamba alikuwa na mahusiano na mtu ambaye hakuwahi kuwa na mahusiano nae)?

Ushauri; muogope huyo kama ukoma sababu ana matatizo makubwa na hayupo sawa kiakili..., kuendelea ku-associate na kichaa nyote mtaonekana na vichaa..., and very rarely a man can win in a battle of words / kusutana / kudhalilishana na mwanamke (🤔 ; Thinking again no one wins in such a battle; nyote mtadhalilika tu, ni kama kupondana mawe wakati nyote mnaishi kwenye nyumba ya vioo)
 
Pole mkuu !!! mwanamke ukimuazima hela ye anachukulia umempa io hela samehe anza moja mm nshajiapizq hata nimkute demu hospital anikope pesa qnunue vidonge simpi ata anioneshe cheki ya bank simpi simpiiiiiiiii
[emoji23][emoji23]kwa nini?
 
Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,

Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada. Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana. Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.

Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona. Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote. Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu.

Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa. Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo.

Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4. Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu. Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi.

Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei. Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia.

Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti. Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa.

Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi. Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu.

Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza? Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia (si kumbaka) huyu mtu.

NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.
Daah!! Mbona km huu mkasa nauona km utanitokea nami? Kuna mdada nimemkopesha 50k ahadi imepita 2 weeks namkumbusha ananimbia Kuna mtu anamdai mpaka akimpa ndio anipe.
 
Kwahio ingawa hamna mahusiano amewaambia watu mlikuwa na mahusiano ya kimwili ingawa wewe ulishindwa ? (kwahio anakubali kwamba alikuwa na mahusiano na mtu ambaye hakuwahi kuwa na mahusiano nae)?

Ushauri; muogope huyo kama ukoma sababu ana matatizo makubwa na hayupo sawa kiakili..., kuendelea ku-associate na kichaa nyote mtaonekana na vichaa..., and very rarely a man can win in a battle of words / kusutana / kudhalilishana na mwanamke ([emoji848] ; Thinking again no one wins in such a battle; nyote mtadhalilika tu, ni kama kupondana mawe wakati nyote mnaishi kwenye nyumba ya vioo)
Acha tudhalilike tu wote. Mwenyewe nishapinda sijali wala nini? Acha atangaze vyovyote mimi namjibu tu. So nikae kimya kisa kuogopa vita ya maneno na mwanamke?
 
Acha tudhalilike tu wote. Mwenyewe nishapinda sijali wala nini? Acha atangaze vyovyote mimi namjibu tu. So nikae kimya kisa kuogopa vita ya maneno na mwanamke?
Muda wako unaupa value kiasi gani ?

Kama una muda wa kupoteza sawa, sababu huenda kila dakika au sekunde unayopoteza na huyo mwendawazimu ungekuwa unatumia mbegu ya mahindi sehemu na kumwagilizia huenda ungepata gunia kadhaa za mavumo.
 
Back
Top Bottom