Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Tafuta hela bwasheee, elfu 50 sio pesa ya kumfanya mwanaume afungue thread JF.
 
Pole mkuu !!! mwanamke ukimuazima hela ye anachukulia umempa io hela samehe anza moja mm nshajiapizq hata nimkute demu hospital anikope pesa qnunue vidonge simpi ata anioneshe cheki ya bank simpi simpiiiiiiiii
Umenikumbusha kuna mmoja aliniomba nimpe 20 atarudisha baada ya siku 2, nikampa 10, ila cha ajabu hata hicho kidogo hakurudisha, mbaya zaidi anataka nimpe pesa nyingine.
 
Mwanamke akopeshwi anapewa fullstop lBda dada ndo unaweza mkopesha, uyo dada ako mmezaliwa wote au shoga ako
Ninadada yangu mtoto wa shangazi huwa nikimkopesha anarudisha na mimi nikipata tatizo ananisaidia hivyo wanatofautiana mkuu.
 
Tafuta polisi uongee nao vizuri wamtikise halafu wamuweke ndani hata weekend moja

 
Katika maisha yangu sitakopesha na hata nikikopesha haizidi 10k ili roho isiniume sana atakapo nidhurum, si mwanamke si mwanaume. Mimi ninakasumba moja ya kuwa mwaminifu na hata nikikopa leo kesho au ndani ya wiki narudiaha ila sasa wao wakikukopa hawarudishi na mimi sikopeshi ng'o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…