Nimetapeliwa/kuibiwa kiboya sana, ilinibidi nicheke tu. Jifunze hapa

Nimetapeliwa/kuibiwa kiboya sana, ilinibidi nicheke tu. Jifunze hapa

Chai nzito halafu haina sukari. Uliibiwa kwenye basi wakati ulikua unasafili na private. Ulimwambia 150 ili akatae wakat yy ndio bei yake

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sometimes kuficha ujinga wako ni kitu kizuri, kinakusitiri kwa akili chache mtu unazokua nazo! Wapi nimesema nimesafiri kwa Private?
 
Hizi akili nyingine, yaani maduka ya kuuza tairi yako kibao na vijana wa kubadilisha wako hapo hapo, yetu utoe laki na nusu na bodaboda juu daaah...
 
Back
Top Bottom