Nimetapeliwa na mtu aliyejitambulisha kama afisa Mikopo Mo Dewji Foundation

Nimetapeliwa na mtu aliyejitambulisha kama afisa Mikopo Mo Dewji Foundation

Hilo suala dogo kwangu Kama utaniamin.

Hapo Karakata ita boda mwambie unaenda Kwa Baba Thom utanikuta hapo.

Uje na jogoo jeupe la kienyeji, Mbuzi wa bluu na mchanga wa kaburi alilozikwa albino.
 
Nimetapeliwa na mtu aliyedai ni afisa mikopo wa Mo Dewji Foundation kwa kunilaghai nikope mikopo nafuu Kwa riba ndogo, ila nitoke dhamana ya asilimia 10. Nilitoa shs 35,000 na kulipa katika namba 0789 223 590 (Khatibu Khamis) na kuahidiwa kupewa mkopo wa shs laki 3, ndani ya muda mfupi.

Baada ya muda mfupi nililetewa meaeji ikinitaka niongeze Tshs 47,000 Ili itumike kufungua account ya mkopo na itareshwa pamoja na mkopo.

Mimi nimkopaji wa mitandaoni hivyo nilijiridhisha. Namba ya afisa imesajiliwa na Nida na ana kitambulisho cha hiyo taassisi daiwa.

Baada ya kujiridhisha kuwa nimeibiwa nilipiga simu kwa mtandao wangu (halotel) na wakaniambia hela imeshatolewa na kukata simu.

Maswali yangu
1) Jina la taassisi ni kubwa , je muhusika hana habari ya jina lake kutumika vibaya?
2) Kama kujiaminisha muhusika alinitumia video ya Mo akiinadi taasisi yake.
3). Hawa watu naweza kusaidiwaje na vyombo vya usalama kurudishiwa hela yangu?

Soma Pia: Warning: Utapeli wa kikundi wanajiita Mo Dewji Foundation

View attachment 3087819View attachment 3087821View attachment 3087820

View attachment 3087820
Zamani nilikuwa nafikiri Kila aliye jf ana akili timamu
 
Nimetapeliwa na mtu aliyedai ni afisa mikopo wa Mo Dewji Foundation kwa kunilaghai nikope mikopo nafuu Kwa riba ndogo, ila nitoke dhamana ya asilimia 10. Nilitoa shs 35,000 na kulipa katika namba 0789 223 590 (Khatibu Khamis) na kuahidiwa kupewa mkopo wa shs laki 3, ndani ya muda mfupi.

Baada ya muda mfupi nililetewa meaeji ikinitaka niongeze Tshs 47,000 Ili itumike kufungua account ya mkopo na itareshwa pamoja na mkopo.

Mimi nimkopaji wa mitandaoni hivyo nilijiridhisha. Namba ya afisa imesajiliwa na Nida na ana kitambulisho cha hiyo taassisi daiwa.

Baada ya kujiridhisha kuwa nimeibiwa nilipiga simu kwa mtandao wangu (halotel) na wakaniambia hela imeshatolewa na kukata simu.

Maswali yangu
1) Jina la taassisi ni kubwa , je muhusika hana habari ya jina lake kutumika vibaya?
2) Kama kujiaminisha muhusika alinitumia video ya Mo akiinadi taasisi yake.
3). Hawa watu naweza kusaidiwaje na vyombo vya usalama kurudishiwa hela yangu?

Soma Pia: Warning: Utapeli wa kikundi wanajiita Mo Dewji Foundation

View attachment 3087819View attachment 3087821View attachment 3087820

View attachment 3087820
Wewe ni MSE.NGE na ni MP.UMBAVU.......
haya subiri nije sasa kusoma huu uzi
 
Mbugila hawaishagi nchi hii...Mo keshakanusha huu utapeli ila bado watu wanaingia kingi kindezindezi!
 
sio wote wana exposure kama ww , tujifunze kuwekeza akil kwenye kuipush serikali hasa tcra waanze wafuatilia hawa wez , huyu kaibiwa hv , kesho itakuwa zamu yako kwa mbinu nyingine ambayo huna exposure nayo
Uandishi wako unaashiria wewe ni mtu smart. Nasikitika kukutaarifu ya kuwa, wewe sio mtu smart na kwamba umetapeliwa kwa mbinu za kizamani sana.

Mo Dewji hana taasisi yoyote inayojihusisha na kutoa mikopo. Utaratibu wa upatikanaji wa mikopo unajulikana. Pole sana. Next time, kuwa makini na usipende njia za mkato.

Ndimi.

Kipagalo Masalakulwanga.​
 
Mbugila hawaishagi nchi hii...Mo keshakanusha huu utapeli ila bado watu wanaingia kingi kindezindezi!
kwan wote wamesikia hizo taarifa za kukanusha ? ebu tuache kujisahau , mm na ww tunajuwa ila wengine hawajui isiwe sababu ya kuacha kukemea wizi wa namna hii
 
Pole sana mkuu. Ulikuwa na tamaa ya mkopo hukuona hata viashiria vya wazi kuwa unaibiwa.
Ila wakikamatwaga wanakuwa wadogooo, wapoleeee kama sio wao. Uzuri wa hizi fedha ni tamu si rahisi kuacha mpaka unakamatwa.
 
Nimetapeliwa na mtu aliyedai ni afisa mikopo wa Mo Dewji Foundation kwa kunilaghai nikope mikopo nafuu Kwa riba ndogo, ila nitoke dhamana ya asilimia 10. Nilitoa shs 35,000 na kulipa katika namba 0789 223 590 (Khatibu Khamis) na kuahidiwa kupewa mkopo wa shs laki 3, ndani ya muda mfupi.



Baada ya muda mfupi nililetewa meaeji ikinitaka niongeze Tshs 47,000 Ili itumike kufungua account ya mkopo na itareshwa pamoja na mkopo.



Mimi nimkopaji wa mitandaoni hivyo nilijiridhisha. Namba ya afisa imesajiliwa na Nida na ana kitambulisho cha hiyo taassisi daiwa.



Baada ya kujiridhisha kuwa nimeibiwa nilipiga simu kwa mtandao wangu (halotel) na wakaniambia hela imeshatolewa na kukata simu.



Maswali yangu

1) Jina la taassisi ni kubwa , je muhusika hana habari ya jina lake kutumika vibaya?

2) Kama kujiaminisha muhusika alinitumia video ya Mo akiinadi taasisi yake.

3). Hawa watu naweza kusaidiwaje na vyombo vya usalama kurudishiwa hela yangu?



Soma Pia: Warning: Utapeli wa kikundi wanajiita Mo Dewji Foundation







 
Jamani hizi smartphones ziwe na leseni, mtu hana elimu ya namna ya kutambua scammers na phishing techniques, anakua na smartphone na bando, mtazidi kuilaumu tu serikali kwa ujinga zenu.
 
Nimetapeliwa na mtu aliyedai ni afisa mikopo wa Mo Dewji Foundation kwa kunilaghai nikope mikopo nafuu Kwa riba ndogo, ila nitoke dhamana ya asilimia 10. Nilitoa shs 35,000 na kulipa katika namba 0789 223 590 (Khatibu Khamis) na kuahidiwa kupewa mkopo wa shs laki 3, ndani ya muda mfupi.

Baada ya muda mfupi nililetewa meaeji ikinitaka niongeze Tshs 47,000 Ili itumike kufungua account ya mkopo na itareshwa pamoja na mkopo.

Mimi nimkopaji wa mitandaoni hivyo nilijiridhisha. Namba ya afisa imesajiliwa na Nida na ana kitambulisho cha hiyo taassisi daiwa.

Baada ya kujiridhisha kuwa nimeibiwa nilipiga simu kwa mtandao wangu (halotel) na wakaniambia hela imeshatolewa na kukata simu.

Maswali yangu
1) Jina la taassisi ni kubwa , je muhusika hana habari ya jina lake kutumika vibaya?
2) Kama kujiaminisha muhusika alinitumia video ya Mo akiinadi taasisi yake.
3). Hawa watu naweza kusaidiwaje na vyombo vya usalama kurudishiwa hela yangu?

Soma Pia: Warning: Utapeli wa kikundi wanajiita Mo Dewji Foundation

View attachment 3087819View attachment 3087821View attachment 3087820

View attachment 3087820
🤣🤣🤣MO Foundation anatoa mikopo
Halafu ili kukuaminishabhichi kitambulisho Famba akakuandikia The United Republican of Tanzania kukuaminisha kuwa yeye ni mserekali.
Ama kweli Mafala hawaishi, wanakuja tu kama Wavietnam
 
Back
Top Bottom