Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
π Jamaa atakua na shida akajua kapata DODO la 200,000/= faster fasterMkemia umeshindwa kung'amua kuwa chemical zilikuwa hazibalance???
Ila uzuri una namba ya Mo, mtwangie tena umwambie Bw. Khamisi kaingia chaka na pesa yako ya kufungulia account ya mkopo.
Wewe ni Kiazi Mbatata, Wajinga hamuishi, nyie ndo mnafanya Mataperi waendelee kuwepo...!Nimetapeliwa na mtu aliyedai ni afisa mikopo wa Mo Dewji Foundation kwa kunilaghai nikope mikopo nafuu Kwa riba ndogo, ila nitoke dhamana ya asilimia 10. Nilitoa shs 35,000 na kulipa katika namba 0789 223 590 (Khatibu Khamis) na kuahidiwa kupewa mkopo wa shs laki 3, ndani ya muda mfupi.
Baada ya muda mfupi nililetewa meaeji ikinitaka niongeze Tshs 47,000 Ili itumike kufungua account ya mkopo na itareshwa pamoja na mkopo.
Mimi nimkopaji wa mitandaoni hivyo nilijiridhisha. Namba ya afisa imesajiliwa na Nida na ana kitambulisho cha hiyo taassisi daiwa.
Baada ya kujiridhisha kuwa nimeibiwa nilipiga simu kwa mtandao wangu (halotel) na wakaniambia hela imeshatolewa na kukata simu.
Maswali yangu
1) Jina la taassisi ni kubwa , je muhusika hana habari ya jina lake kutumika vibaya?
2) Kama kujiaminisha muhusika alinitumia video ya Mo akiinadi taasisi yake.
3). Hawa watu naweza kusaidiwaje na vyombo vya usalama kurudishiwa hela yangu?
Soma Pia: Warning: Utapeli wa kikundi wanajiita Mo Dewji Foundation
View attachment 3087819View attachment 3087821View attachment 3087820
View attachment 3087820
UNITED REPUBLICAN ππ€£π€£π€£MO Foundation anatoa mikopo
Halafu ili kukuaminishabhichi kitambulisho Famba akakuandikia The United Republic of Tanzania utadhani yeye ni mserekali.
Ama kweli Mafala hawaishi, wanakuja tu kama Wavietnam
Wabongo tunaendekeza sana miteremko. Nahisi kukosa umakini pia kunachangia. Kwa akili ya kawaida, pesa ya mkopo kutoka kampuni kwanini 'deposit' iende kwa namba ya mtu binafsi.π Jamaa atakua na shida akajua kapata DODO la 200,000/= faster faster
Mambo vp toxic kitambo sijakuo humu..
Wakati mwingine UMASKINI, DHIKI, NJAA, SHIDA zinaweza kukupa UPOFU WA FIKRA..Wabongo tunaendekeza sana miteremko. Nahisi kukosa umakini pia kunachangia. Kwa akili ya kawaida, pesa ya mkopo kutoka kampuni kwanini 'deposit' iende kwa namba ya mtu binafsi.
Kwema kaka, mihangaiko ya dunia tu lakini nipo mzee.
Shukran chief. Natumai unaendelea vyema na wewe.All in all,
Nimefurahi kujua unaendelea vyemaa
Nipo powa naendelea vyema kabisaaShukran chief. Natumai unaendelea vyema na wewe.
ππππNipo powa naendelea vyema kabisa
Mkemia unatapelwaje kizembe hivyo??Nimetapeliwa na mtu aliyedai ni afisa mikopo wa Mo Dewji Foundation kwa kunilaghai nikope mikopo nafuu Kwa riba ndogo, ila nitoke dhamana ya asilimia 10. Nilitoa shs 35,000 na kulipa katika namba 0789 223 590 (Khatibu Khamis) na kuahidiwa kupewa mkopo wa shs laki 3, ndani ya muda mfupi.
Baada ya muda mfupi nililetewa meaeji ikinitaka niongeze Tshs 47,000 Ili itumike kufungua account ya mkopo na itareshwa pamoja na mkopo.
Mimi nimkopaji wa mitandaoni hivyo nilijiridhisha. Namba ya afisa imesajiliwa na Nida na ana kitambulisho cha hiyo taassisi daiwa.
Baada ya kujiridhisha kuwa nimeibiwa nilipiga simu kwa mtandao wangu (halotel) na wakaniambia hela imeshatolewa na kukata simu.
Maswali yangu
1) Jina la taassisi ni kubwa , je muhusika hana habari ya jina lake kutumika vibaya?
2) Kama kujiaminisha muhusika alinitumia video ya Mo akiinadi taasisi yake.
3). Hawa watu naweza kusaidiwaje na vyombo vya usalama kurudishiwa hela yangu?
Soma Pia: Warning: Utapeli wa kikundi wanajiita Mo Dewji Foundation
View attachment 3087819View attachment 3087821View attachment 3087820