Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Hyo pcha inazunguka zunguka tu kweny mitandao...naona umeamua kuiwekea script kidogo kupata likes...ila cha ajabu hadi watu wanakupa pole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anakujua kwako ni dhahiri mnajuana vzr!!nikamuagiza apeleke kwa nyumba
Tatizo ujanjajanja mwingi....saivi umekuwa mpole sanaHayaja kukuta tu mkuu wangu, ipo siku utalia pia
Binti ebu uwe umwenye heshima kwanza, mimi sijaja kutaguta like hapa na hata nilizo nazo natafuta pakuzigawa...🤨☹️Hyo pcha inazunguka zunguka tu kweny mitandao...naona umeamua kuiwekea script kidogo kupata likes...ila cha ajabu hadi watu wanakupa pole.
Kimekukuta kitu kizitoHapana mkuu hapa janja sio...😜
Ila we jamaa wewe😂Na hii ndio hasara ya kuoa, maana haya yasinge nikuta..😑
Dhulmati ni shetani asiye na rangi na anabadili umbile kutokana na mazingira!Nilipotoka tu, nikavamia K-Vant kubwaaaaaaaa.
Kabla sijaimaliza, akapita muuza mkaa "simnajua gesi imepanda bei..!!"
Basi kwa mbwebwe kibwena nikamuagiza apeleke kwa nyumba na pesa nikamlipa kabisa kwa jinsi alivyojua kuujaza hadi kisunzu...[emoji12][emoji12]
Sijakaa muda waifu kapiga simu kusema asante baba watoto, asante mume wangu, asante kwa kujali na kadhalika zote mnazozijua wababa.
Sasa haya ndio yalonikuta, muuza mkaa ameniharibia upendo kabisa wa leo. Na sijui kama wiki hii nitapewa...[emoji55][emoji58]