Nimetazama hii picha ya mwanaume aliye iacha familia na Ndugu zake TZ kweli jamaa wamejitolea aisee

Nimetazama hii picha ya mwanaume aliye iacha familia na Ndugu zake TZ kweli jamaa wamejitolea aisee

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Nawaombea wote warudi salama💪
Screenshot_20250124-225902.png
 
Mafanikio yote ya ukombozi na vita

Yamezaa upendo na heshima Afrika..

Eeh Mungu nijalie niishi kwa utayari kutimiza wajibu kwa wananchi wote

Kwa ngazi ya amiri jeshi mkuu, na waasisi Tanzania, kwa uongozi Bora wa majeshi Mimi ninakutumaini......

Uzalendo kwanza wapo tyr kuifia nchi yao na bara la Afrika!!
 
Sasa mbona M23 wa kagame wanapata ushindi. Maana yake jeshi letu linezidiwa maarifa, au vijana wako wachache na vifaa duni?

Haja kakikundi kama sikosei wakati wa JK kaliadhibiwa ikabaki history, nadhani Nyoka hakukatwa kichwa kamefufuka na kusumbua tena.
 
Mafanikio yote ya ukombozi na vita

Yamezaa upendo na heshima Afrika..

Eeh Mungu nijalie niishi kwa utayari kutimiza wajibu kwa wananchi wote

Kwa ngazi ya amiri jeshi mkuu, na waasisi Tanzania, kwa uongozi Bora wa majeshi Mimi ninakutumaini......

Uzalendo kwanza wapo tyr kuifia nchi yao na bara la Afrika!!
Unajidanganya Tu
 
Sasa mbona M23 wa kagame wanapata ushindi. Maana yake jeshi letu linezidiwa maarifa, au vijana wako wachache na vifaa duni?

Haja kakikundi kama sikosei wakati wa JK kaliadhibiwa ikabaki history, nadhani Nyoka hakukatwa kichwa kamefufuka na kusumbua tena.
Nakumbuka Kuna Mwamba Anaitwa Major General Mwakibolwa Aliwatandika M23 Mpaka Wakakimbia
 
Back
Top Bottom