Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajirusha mitandaoni muwaone.Kajitolea vipi wakati analipwa mshahara
Hata Mimi Nimeshangaa Tena Kachagua MwenyeweKajitolea vipi wakati analipwa mshahara
NakaziaHizo nafasi hadi wanarogana ili wazipate.
Unajidanganya TuMafanikio yote ya ukombozi na vita
Yamezaa upendo na heshima Afrika..
Eeh Mungu nijalie niishi kwa utayari kutimiza wajibu kwa wananchi wote
Kwa ngazi ya amiri jeshi mkuu, na waasisi Tanzania, kwa uongozi Bora wa majeshi Mimi ninakutumaini......
Uzalendo kwanza wapo tyr kuifia nchi yao na bara la Afrika!!
Nakumbuka Kuna Mwamba Anaitwa Major General Mwakibolwa Aliwatandika M23 Mpaka WakakimbiaSasa mbona M23 wa kagame wanapata ushindi. Maana yake jeshi letu linezidiwa maarifa, au vijana wako wachache na vifaa duni?
Haja kakikundi kama sikosei wakati wa JK kaliadhibiwa ikabaki history, nadhani Nyoka hakukatwa kichwa kamefufuka na kusumbua tena.
wewe mwenye kujua ukweli sema tukusikieUnajidanganya Tu
Mkuu hiz mambo siku hz hamna kujitolea bali ni dili tu.......hapo familia inakula maisha tuNawaombea wote warudi salama💪View attachment 3213009