Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Watabiri wengi wao ni wachawi

Niko palee
 
Maskini pole
Ila shida anaweza tokea msamalia kijana wa watu akakusaidia, bahati mbaya aka fall in Love kwako akakubali na kulea Mtoto.

Ila ukijifungua tu mtoto akikua kua na Baba mzazi yule aliekukimbia siku akisema anataka kuona mtoto.

Utasahau shida hizi zote, hadi aliekusaidia na kukupenda siku zako za uhitaji.

Na mbaya zaidi uta kimbia kimbia mbio kumpelekea Mtoto na utampanulia mapaja tena.

Inasikitisha Sana.

Ila Pole Sana Kiongozi, Mungu atakulinda katika kipindi hiki, ni mapito tu na utavuka salama maana Fadhili zake ni za milele.
 
Laiti ungetumia condom yote haya yasingekupata. Salama Condom ni Tsh 1 000 unapata 3.

Halafu hauko serious katoka mahusiano. Unatafutaje mwanaume JamiiForums? No regrets kwa yaliyokukuta
 
Pole sana, Mungu akusaidie sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…