Kabisa. Na ninachoamini ni kwamba ukiona mwanamke yeyote amebeba ujauzito na kupitia shida na kukataliwa ujue kwamba kinachopigwa vita ni kiumbe kilichoko tumboni kinakua kimebeba hatma kubwa ya maisha ndio maana anakataliwa asizaliwe. Kwa hiyo siwezi kumlaumu mtu hapa sio wao ni shetani anataka kukatisha hatma ya kiumbe kinachotarajiwa kuzaliwa... kikubwa tuombeane tu wana jf hii dunia ina mengi na hapa tunapita tu sio kwetu tukumbuke na tujifunze kuneneana na kutamkiana mema.... J2 njema niwatakie