Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usha anza kujifanya genius😂🤣Nimesha ijua ID yako ya zamani..
SI huwa Wana sema, Like father like son 😃😂Tangia wewe mwanangu ulipokua mkubwa, mimi na mamayako tulikoma kuzaa maana tunahofia kuongeza vichaa kama wewe wengi kwenye familia...🤨
Huyu ni mama yako, ebu kua na adabu maana mwandiko wake nautambua mujarab kabisa..🤨Usha anza kujifanya genius😂🤣
Kwako nina bahati mbaya mimi mjusi nilizaa kenge...☹️SI huwa Wana sema, Like father like son 😃😂
Nike cheka hivyo aisee😂😃🤣🤣Kwako nina bahati mbaya mimi mjusi nilizaa kenge...☹️
Mkuu unamsimanga mwenzako kwenye matatizo sio poa,wanaume huwa wanakuwa na nguvu kubwa Sana ya kushawishi chochote kwa mwanamke....usitoe kauli Tata.Wee huna akili,MTU mmejuana mtandaoni,haja kupeleka kwao,wala ndugu zake huwajui labda...then unagawa mbususuu pekupeku bila kinga...
Ila kwer saiv mmbo raisi pesa. Mbele iyo Kinga atakumbuka sangapiWee huna akili,MTU mmejuana mtandaoni,haja kupeleka kwao,wala ndugu zake huwajui labda...then unagawa mbususuu pekupeku bila kinga...
Watu wa Mungu mpoo?
Mimi ni member wa JF tangu miaka ilopita nimekuja na ID tofauti ili nieleze yaliyonikuta iwe funzo na ushuhuda kwa wengine.
Niliweka post hapa mika ilopita na kwa bahati tu sijui niseme nzuri au mbaya ila Mungu ndio anajua, nikapata mwanaume ambaye tulianza mahusiano ambayo yalikuwa siriazi kidogo.
Baada ya muda tukapanga mipango ya kuanza mikakati ya kufunga ndoa. Na wakati huo huo ujauzito ukawa umeingia kwangu. Sasa tangu nilipomwambia yule mwanaume kuwa nina ujauzito aliniblock simu na namba zote mawasiliano hakuna. Hadi leo amenitelekezea ujauzito. Alichoniambia mara ya mwisho kabla hajanikimbia ni "wewe ulivyobeba ujauzito si ulijua unabeba ujauzito na sina pesa za kukutunza" kwa maana hiyo nipambane na hali yangu mwenyewe.
Kiukweli maisha kwangu yamekuwa magumu maana ujauzito umefikisha miezi saba na siwezi kufanya kazi nilokuwa nafanya hapo mwanzo. Daktari alinisahuri niachane nayo maana ni kazi ya kusimama zaidi ya masaa saba endapo nitapata wateja mfululizo.
Me nimeleta hili janga lilonipata ili tuendelee kuwa makini humu. Tusikurupukie watu sio wote ni wazuri kama tunavyodhani
Pia nimekuja kuomba kwa yeyote anayeweza kuniajiri kwa kazi yoyote ambayo sio ya kusimama muda mrefu kwa muda wa miezi hii mitatu ya mwishoni nina uhitaji wa kazi ili walao nipate pesa kwa ajili ya kujifungua maana sina msaada wowote wa kifedha wala vifaa vya kujifungulia. Sina matatizo yoyote ya afya hadi sasa yatakayonifanya nishindwe kuhuduria kwenye kazi hiyo nitakayoipata.
Kwa vigezo mimi ni mhitimu wa elimu ya kidato cha sita najua lugha ya kiswahili na kiingereza pia ninajua kutumia komputa vizuri. Naahidi kwamba atakaeniajiri hatajuta licha ya kuwa mimi ni mjamzito.
Mungu awabariki sana.
The next single mother on progress.
Rafiki hii mada ilishamalizwa. Kazi nilishapata maana lengo hasa ilikuwa ni kupata kazi. nilishajifungua tayari na nikimaliza uzazi naendelea na kazi. Alishapatikana mtu mwema huku akani connect na kazi. Kwa hiyo haya maneno ya karaha jitahidi uyahifadhi moyoni mwako. Matatizo yameumbwa kwa wanadamu lisipokukuta kama langu basi linaweza kukuta lingine japo sikuombei. Mungu akutunze na akusaidie sana ili majanga yapite mbali naweWee huna akili,MTU mmejuana mtandaoni,haja kupeleka kwao,wala ndugu zake huwajui labda...then unagawa mbususuu pekupeku bila kinga...
Ila hilo jina unalotumia nilamikakati sanaRafiki hii mada ilishamalizwa. Kazi nilishapata maana lengo hasa ilikuwa ni kupata kazi. nilishajifungua tayari na nikimaliza uzazi naendelea na kazi. Alishapatikana mtu mwema huku akani connect na kazi. Kwa hiyo haya maneno ya karaha jitahidi uyahifadhi moyoni mwako. Matatizo yameumbwa kwa wanadamu lisipokukuta kama langu basi linaweza kukuta lingine japo sikuombei. Mungu akutunze na akusaidie sana ili majanga yapite mbali nawe
Na mtoto umempa jina gani? Nawaza tuRafiki hii mada ilishamalizwa. Kazi nilishapata maana lengo hasa ilikuwa ni kupata kazi. nilishajifungua tayari na nikimaliza uzazi naendelea na kazi. Alishapatikana mtu mwema huku akani connect na kazi. Kwa hiyo haya maneno ya karaha jitahidi uyahifadhi moyoni mwako. Matatizo yameumbwa kwa wanadamu lisipokukuta kama langu basi linaweza kukuta lingine japo sikuombei. Mungu akutunze na akusaidie sana ili majanga yapite mbali nawe
Kuhusu jina karibu nyumbani. Tule mtori wa uzazi kisha jina utalijua ukifika huku kwetu rafiki. Usiwaze sana njoo pm nikuelekeze uje umuone anko wetu mpya wa JF aliyezaliwa.Na mtoto umempa jina gani? Nawaza tu
AmenIla hilo jina unalotumia nilamikakati sana
Bado hujawajua single mother kaka.Mimi nikuhudumie kila kitu ila kwa sharti moja tu.
Mtoto atakuwa wangu, na mawasiliano na huyo bwege yakome