Aliyetelekezwa
Member
- Jun 26, 2023
- 64
- 158
- Thread starter
- #341
Asante sana kwa ushauri. Nimeshapata kazi ya kujishikiza kwa wakati huu rafiki yangu yani nina furaha sana kiukweli. Huku jf kuna wakatisha tamaa na watu wazuri pia wapo. Kikubwa nitapambana hadi tone langu la mwisho la damu ili huyu kiumbe aje duniani. Mungu ni mwemaBest achana na hawa vinyamkera wana stress za maisha, don't give up be strong mama jikaze utafanikiwa mm nachokushauri jitahid upate hata elfu 10 nunua beseni tembeza mihogo mibichi na machungwa kwenye sehemu za ujenzi au bodaboda utauza au nunua trey ya mayai chemsha anza kuzungusha kikubwa kuwa msafi na smart na usikae kwa huruma au huzuni just smile and be happy with anyone utafanikiwa dear.
Ngoja nikupe mfano Kuna dada mmoja alipitia magumu alipata mimba lakin baba hamjui wanaume waliokua nae wakamkimbia alipambana akanunua kigodoro cha shule akawa analala site alilea mimba alipojifungua yule mtoto ni kama baraka maisha yamemnyokea sasa hivi yupo kwake na amepata mme mzuri. Kikubwa muombe Mungu