Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Mimi nikuhudumie kila kitu ila kwa sharti moja tu.
Mtoto atakuwa wangu, na mawasiliano na huyo bwege yakome
ONYO: Wazazi hawaachanagi,,, usije kuleta thread ya kulia humu. Saizi atakubali kila sharti utalompa ili mradi umtatulie shda yake. Siku shida yake ikiisha ndo utajua rangi yake halisi.
 
Pole sana dada yangu, sio ajabu baada ya kujifungua Shem akarudi tena, asee wanaume wenzangu acheni kichaa, unatelekeza damu yako? Nyoka pamoja na ubaya wake wote hajawahi kutelekeza mtoto[emoji22]
Nyoka halipi kodi, halipi bills, hanunui pampasi za mtoto sa ataanzaje kutelekeza watoto??

Acha kutufananisha sisi wanaume na nyoka!!
 
Dada zetu % nyingi wanawajua vizuri tena sana wanaume zao kuanzia upendo, tabia zao etc, tatizo lao moja ni kupitia hizo hisia zao zile red flag zote za mwanaume wanaziona tena vizuri sana icpokuwa wanapuuzia ni either kwa kuona labda jamaa ana pesa sana so they don't give a sh*t...
Ukitumia akili unaepusha madhara mapema sana ingawa utapata maumivu ya moyo kidogo bt ukitumia hisia outcome yake ni lazima uwe single mom
 
ONYO: Wazazi hawaachanagi,,, usije kuleta thread ya kulia humu. Saizi atakubali kila sharti utalompa ili mradi umtatulie shda yake. Siku shida yake ikiisha ndo utajua rangi yake halisi.
Kwenye Post sijaweka hili la kuhitaji mtu wa kunihudumua. Nahitaji kazi wapendwa naomba nieleweke.
ONYO: Wazazi hawaachanagi,,, usije kuleta thread ya kulia humu. Saizi atakubali kila sharti utalompa ili mradi umtatulie shda yake. Siku shida yake ikiisha ndo utajua rangi yake halisi.
Kwenye Post sijaweka hili la kuhitaji mtu wa kunihudumua. Nahitaji kazi wapendwa naomba nieleweke hivyo. Endapo kuna koneksheni ya kazi naombeni sapoti
 
Kwa miezi Saba hautaweza kufanya kazi, na hata ukipata kazi haitakusaidia Sana kiuchumi maana baada ya kujifungua mambo ni mengi my dear kulea mtoto ni gharama sana kifedha na support inahitajika, hauna ndugu? Ukijifungua nani atakuangalia maana uzazi una mengi.mimi nakushauri badala ya kazi ni Bora tu uombe support ya pesa itakayokusaidia kujifungua na kujitunza wewe na mtoto hasa miezi 6 ya mwanzo, yaani nakuhurumia ujue kulea sio rahisi ukiwa peke yako.Kama hautajali nitumie details zako inbox Kuna mtu nimshirikishe issue yako ni mdada pia anaweza kukusaidia, nitumie jina, mahali unapoishi, na namba ya simu maana anaweza kutaka kuja kukuona.Ila itakua sio kazi ni financial support tu.
 
Form six utafanya Kazi gani
Huna vyeti
Hujasoma
Rudi kwenu kajifungue salama.
Lea mtoto wako
Next time uwe Makini
Mtandaoni tupo mpk sisi Smart Gangs
Ukiruka tu ukitua chini umeliwa.
 
Back
Top Bottom