Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

Atakuja mwingine naye akuzalishe... Mwanaume akikwambia nataka unizalie. Anakupima kama una akili timamu. Usikubali. Ukijipatisha mimba anajua huna akili anaku block.
 
Pole kwa yote yaliyokukuta! Ila nadhani watu mkiingia kwenye mahusiano mjue mnataka nini na kwa wakati gani kuepusha mambo kama haya!
 
Watu wa Mungu mpoo?

Mimi ni member wa JF tangu miaka ilopita nimekuja na ID tofauti ili nieleze yaliyonikuta iwe funzo na ushuhuda kwa wengine.

Niliweka post hapa mika ilopita na kwa bahati tu sijui niseme nzuri au mbaya ila Mungu ndio anajua, nikapata mwanaume ambaye tulianza mahusiano ambayo yalikuwa siriazi kidogo.

Baada ya muda tukapanga mipango ya kuanza mikakati ya kufunga ndoa. Na wakati huo huo ujauzito ukawa umeingia kwangu. Sasa tangu nilipomwambia yule mwanaume kuwa nina ujauzito aliniblock simu na namba zote mawasiliano hakuna. Hadi leo amenitelekezea ujauzito. Alichoniambia mara ya mwisho kabla hajanikimbia ni "wewe ulivyobeba ujauzito si ulijua unabeba ujauzito na sina pesa za kukutunza" kwa maana hiyo nipambane na hali yangu mwenyewe.

Kiukweli maisha kwangu yamekuwa magumu maana ujauzito umefikisha miezi saba na siwezi kufanya kazi nilokuwa nafanya hapo mwanzo. Daktari alinisahuri niachane nayo maana ni kazi ya kusimama zaidi ya masaa saba endapo nitapata wateja mfululizo.

Me nimeleta hili janga lilonipata ili tuendelee kuwa makini humu. Tusikurupukie watu sio wote ni wazuri kama tunavyodhani

Pia nimekuja kuomba kwa yeyote anayeweza kuniajiri kwa kazi yoyote ambayo sio ya kusimama muda mrefu kwa muda wa miezi hii mitatu ya mwishoni nina uhitaji wa kazi ili walao nipate pesa kwa ajili ya kujifungua maana sina msaada wowote wa kifedha wala vifaa vya kujifungulia. Sina matatizo yoyote ya afya hadi sasa yatakayonifanya nishindwe kuhuduria kwenye kazi hiyo nitakayoipata.

Kwa vigezo mimi ni mhitimu wa elimu ya kidato cha sita najua lugha ya kiswahili na kiingereza pia ninajua kutumia komputa vizuri. Naahidi kwamba atakaeniajiri hatajuta licha ya kuwa mimi ni mjamzito.

Mungu awabariki sana.
Pesa ya kujifungulia inakadiliwa kuwa kiasi gani????

Nadhani ungeweka namna ya kuchangiwa so to help you cause duniani kuna watu na madudu in human form
 
Pesa ya kujifungulia inakadiliwa kuwa kiasi gani????

Nadhani ungeweka namna ya kuchangiwa so to help you cause duniani kuna watu na madudu in human form
Asante sana kwa kuguswa wangu Mungu akubariki. Ujue huku mtandaoni kumekuwa na matapeli sana. Mtu kukuchangia tu bila kukuona mhusika na uthibitisho wa kutosha n.k ni vigumu sana.

Me naomba kazi au kama kuna koneksheni ya kazi nifanye, niende uso kwa uso, nionane na wahusika laivu waone kweli huyu ni mjamzito, tuhojiene maswali watakayoniuliza kisha nianze kazi.

Ila kuchangiwa pesa hapana me nina imani kwa dini yangu sitaki kuweka mazingira ya kutengeneza utapeli hapa mtandaoni. Asante rafiki yangu...
 
Asante sana kwa kuguswa wangu Mungu akubariki. Ujue huku mtandaoni kumekuwa na matapeli sana. Mtu kukuchangia tu bila kukuona mhusika na uthibitisho wa kutosha n.k ni vigumu sana.

Me naomba kazi au kama kuna koneksheni ya kazi nifanye, niende uso kwa uso, nionane na wahusika laivu waone kweli huyu ni mjamzito, tuhojiene maswali watakayoniuliza kisha nianze kazi.

Ila kuchangiwa pesa hapana me nina imani kwa dini yangu sitaki kuweka mazingira ya kutengeneza utapeli hapa mtandaoni. Asante rafiki yangu...
[emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]

Basi iwe Ameni hivyo hata sasa kwa Uweza wake MUNGU panapo siku ingine baada ya hii utatendewa sawasawa na hitaji la moyo wako tuseme

Amen
 
Duh asee pole sana Sista. Ajira peke yake haitoshi mana utafanya miezi miwili halafu utaenda jifungua na maternal leave itaanza, je kipindi hicho utamleaje huyo mtoto?
Naona solution ni kuwatafuta ndugu zake hiyo njemba iliyokukimbia im sure itakupa sapoti, hasa wazazi hawawezi telekeza damu yao.
 
Watu wa Mungu mpoo?

Mimi ni member wa JF tangu miaka ilopita nimekuja na ID tofauti ili nieleze yaliyonikuta iwe funzo na ushuhuda kwa wengine.

Niliweka post hapa mika ilopita na kwa bahati tu sijui niseme nzuri au mbaya ila Mungu ndio anajua, nikapata mwanaume ambaye tulianza mahusiano ambayo yalikuwa siriazi kidogo.

Baada ya muda tukapanga mipango ya kuanza mikakati ya kufunga ndoa. Na wakati huo huo ujauzito ukawa umeingia kwangu. Sasa tangu nilipomwambia yule mwanaume kuwa nina ujauzito aliniblock simu na namba zote mawasiliano hakuna. Hadi leo amenitelekezea ujauzito. Alichoniambia mara ya mwisho kabla hajanikimbia ni "wewe ulivyobeba ujauzito si ulijua unabeba ujauzito na sina pesa za kukutunza" kwa maana hiyo nipambane na hali yangu mwenyewe.

Kiukweli maisha kwangu yamekuwa magumu maana ujauzito umefikisha miezi saba na siwezi kufanya kazi nilokuwa nafanya hapo mwanzo. Daktari alinisahuri niachane nayo maana ni kazi ya kusimama zaidi ya masaa saba endapo nitapata wateja mfululizo.

Me nimeleta hili janga lilonipata ili tuendelee kuwa makini humu. Tusikurupukie watu sio wote ni wazuri kama tunavyodhani

Pia nimekuja kuomba kwa yeyote anayeweza kuniajiri kwa kazi yoyote ambayo sio ya kusimama muda mrefu kwa muda wa miezi hii mitatu ya mwishoni nina uhitaji wa kazi ili walao nipate pesa kwa ajili ya kujifungua maana sina msaada wowote wa kifedha wala vifaa vya kujifungulia. Sina matatizo yoyote ya afya hadi sasa yatakayonifanya nishindwe kuhuduria kwenye kazi hiyo nitakayoipata.

Kwa vigezo mimi ni mhitimu wa elimu ya kidato cha sita najua lugha ya kiswahili na kiingereza pia ninajua kutumia komputa vizuri. Naahidi kwamba atakaeniajiri hatajuta licha ya kuwa mimi ni mjamzito.

Mungu awabariki sana.
Polee sanaaa Dada Muamini Mungu maana ndio muweza wa yote yeye aliyeruhusu kiumbe icho kuwepo hai mpka Leo hii maana take ana makusudi nacho ni lazima atatengeneza njia na hill nalo litapita na maisha yataendelea kikubwa omba toba na rehema kwa Mungu maana ni mwingi wa rehema na huruma
 
Mimi hata sikuonei huruma... Nyie wanawake mashetan sana si bure hata hii adithi umeitunga na hata kama ni kweli haituhusu... Mwanaume na akili zake timamu akufanyie hvyo kwanin..? Lazima utakuwa una matatizo sio bure..? Yaani nyie wanawake mkitaka misaada mnaona njia nzuri ni kusingizia wanaume... Sister nakushauri muombe mungu wako akupambanie hakuna namna... Tatzo mnapenda kuparamia wanaume wa watu nina uhakika umepora wanaume za watu sasa malipo ni hapahapa duniani yamekukuta zamu yako sasa... Eti unasema una watahadharisha wenzako hivi unadhan nyie mnajitambua basi? Sasa hivi kuna wenzako wanakucheka tu wapo inbox wanajibebisha kwa wanaume wa watu humu JF IG FB Twtr...
Wanaume ni watu wazuri sana ukiishi nao kwa heshima ila ni mbwa 😂 (kama mnavyotuita) kama ukionyesha dharau kiburi na jeuri... KARMA is Real ✌️ am out
Asante kwa mawazo yako ila kwenye post yangu sijaandika kwamba nimeparamia mume wa mtu rafiki yangu. Jambo usilojua ni kama usiku wa giza me naomba endapo una koneksheni ya kazi nisaidie wangu na Mungu atakubariki. Yaliyotokea yameshatokea
 
Watu wa Mungu mpoo?

Mimi ni member wa JF tangu miaka ilopita nimekuja na ID tofauti ili nieleze yaliyonikuta iwe funzo na ushuhuda kwa wengine.

Niliweka post hapa mika ilopita na kwa bahati tu sijui niseme nzuri au mbaya ila Mungu ndio anajua, nikapata mwanaume ambaye tulianza mahusiano ambayo yalikuwa siriazi kidogo.

Baada ya muda tukapanga mipango ya kuanza mikakati ya kufunga ndoa. Na wakati huo huo ujauzito ukawa umeingia kwangu. Sasa tangu nilipomwambia yule mwanaume kuwa nina ujauzito aliniblock simu na namba zote mawasiliano hakuna. Hadi leo amenitelekezea ujauzito. Alichoniambia mara ya mwisho kabla hajanikimbia ni "wewe ulivyobeba ujauzito si ulijua unabeba ujauzito na sina pesa za kukutunza" kwa maana hiyo nipambane na hali yangu mwenyewe.

Kiukweli maisha kwangu yamekuwa magumu maana ujauzito umefikisha miezi saba na siwezi kufanya kazi nilokuwa nafanya hapo mwanzo. Daktari alinisahuri niachane nayo maana ni kazi ya kusimama zaidi ya masaa saba endapo nitapata wateja mfululizo.

Me nimeleta hili janga lilonipata ili tuendelee kuwa makini humu. Tusikurupukie watu sio wote ni wazuri kama tunavyodhani

Pia nimekuja kuomba kwa yeyote anayeweza kuniajiri kwa kazi yoyote ambayo sio ya kusimama muda mrefu kwa muda wa miezi hii mitatu ya mwishoni nina uhitaji wa kazi ili walao nipate pesa kwa ajili ya kujifungua maana sina msaada wowote wa kifedha wala vifaa vya kujifungulia. Sina matatizo yoyote ya afya hadi sasa yatakayonifanya nishindwe kuhuduria kwenye kazi hiyo nitakayoipata.

Kwa vigezo mimi ni mhitimu wa elimu ya kidato cha sita najua lugha ya kiswahili na kiingereza pia ninajua kutumia komputa vizuri. Naahidi kwamba atakaeniajiri hatajuta licha ya kuwa mimi ni mjamzito.

Mungu awabariki sana.
Condoms 1000=3
 
Watu wa Mungu mpoo?

Mimi ni member wa JF tangu miaka ilopita nimekuja na ID tofauti ili nieleze yaliyonikuta iwe funzo na ushuhuda kwa wengine.

Niliweka post hapa mika ilopita na kwa bahati tu sijui niseme nzuri au mbaya ila Mungu ndio anajua, nikapata mwanaume ambaye tulianza mahusiano ambayo yalikuwa siriazi kidogo.

Baada ya muda tukapanga mipango ya kuanza mikakati ya kufunga ndoa. Na wakati huo huo ujauzito ukawa umeingia kwangu. Sasa tangu nilipomwambia yule mwanaume kuwa nina ujauzito aliniblock simu na namba zote mawasiliano hakuna. Hadi leo amenitelekezea ujauzito. Alichoniambia mara ya mwisho kabla hajanikimbia ni "wewe ulivyobeba ujauzito si ulijua unabeba ujauzito na sina pesa za kukutunza" kwa maana hiyo nipambane na hali yangu mwenyewe.

Kiukweli maisha kwangu yamekuwa magumu maana ujauzito umefikisha miezi saba na siwezi kufanya kazi nilokuwa nafanya hapo mwanzo. Daktari alinisahuri niachane nayo maana ni kazi ya kusimama zaidi ya masaa saba endapo nitapata wateja mfululizo.

Me nimeleta hili janga lilonipata ili tuendelee kuwa makini humu. Tusikurupukie watu sio wote ni wazuri kama tunavyodhani

Pia nimekuja kuomba kwa yeyote anayeweza kuniajiri kwa kazi yoyote ambayo sio ya kusimama muda mrefu kwa muda wa miezi hii mitatu ya mwishoni nina uhitaji wa kazi ili walao nipate pesa kwa ajili ya kujifungua maana sina msaada wowote wa kifedha wala vifaa vya kujifungulia. Sina matatizo yoyote ya afya hadi sasa yatakayonifanya nishindwe kuhuduria kwenye kazi hiyo nitakayoipata.

Kwa vigezo mimi ni mhitimu wa elimu ya kidato cha sita najua lugha ya kiswahili na kiingereza pia ninajua kutumia komputa vizuri. Naahidi kwamba atakaeniajiri hatajuta licha ya kuwa mimi ni mjamzito.

Mungu awabariki sana.
Huyo fala, kakufanyia unyama Sana, siwezi kukulaumu ila ulivyokuwa na kazi ungeweka Ela ya kujifungulia, watu wanatafuta watoto ye anakimbia mimba, mbeleni atakutafuta tu.
 
Wewe kichwani umebeba peremende,
NA WOTE WALIO KUPA LIKES
Wana vichwa kama samaki aina ya Perege,

Mtoa mada na wewe Ulikurupua, sisi tunachangamsha genge kumbe mnatongozana humu..
Kubeba ujauzito nje ya Ndoa ni uzembe na zinaa, Hakuna namna unaweza halalisha hilo..

Mimi ninachokuombea ni upate tuu mishe kwa ajili Ya mtoto basiii.
Huu uzi hamna mwenye afadhari.
Rubish kabisa
Kutongozwa lazima, Ila akili kichwani, mbona hata si tunatongozwa pm Ila tunapangua tu, kikubwa kujiwekea mikakati, ujue Kama kakufata wewe pm kawafata wangapi.
 
Wapigie hawa watakusaidia kazi
IMG_1257.jpg
 
Back
Top Bottom