Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

Umefika Nachingwea Mkuu??
 
dodoma ni ccm
 
Nasikia wale nyoka wa nachingwea waliletwa kwaajili ya kumaliza panya kwenye mashamba ya wazungu ya karanga wakaisha panya imebaki kero ya nyoka had leo
 
Ni kweli. Nilisoma Bihawana miaka ya mwanzoni mwa 2000. Kukutana na nyoka wakati tunaelekea kwenye shamba la shule ilikuwa kawaida kabisa. Kipindi cha kiangazi rangi zao zinablend na majani makavu yaloanguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…