Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

Habari za mida hii ndugu wananchi, kifupi mimi siyo mtaalamu wa wanyama ila ni mpenzi na mfuatiliaji wa masuala ya wanyama na makala zao kupitia TV na mitandao.

Nimetembea mikoa karibu yote Tanzania ila nimegundua kuwa dodoma ndo mkoa wenye NYOKA wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania. Pia nimekutana na watu wengine ambao pia wanadai dodoma hakufai, kisa wingi wa NYOKA.

Hii ni orodha ya nyoka ''HATARI" niliowaona kwa macho yangu katika ardhi ya Dodoma.

Koboko (black mamba)
Swila wa msituni (forest cobra)
Nyoka kijiti (twig snake)
Boomslang
Kifutu (puff adder)
Kifutu magamba (saw scalled viper)
Swila mweusi (spitting cobra)

THIBITISHENI AU BATILISHENI HILI KUHUSU DODOMA.
Dodoma kubwa mkuu tuambie na maeneo waliopo hao nyoka ili tusiende
 
Wanazidiana kwa idadi, aina na wingi. Mapori mengi ambayo hayana watu wengi yana nyoka wengi. Sehmu kama mkoa wa Kilimanjaro hauna mapori makubwa hivyo nyoka siyo wengi.
Kwa mkoa wa Kilimanjaro ,Nenda wilaya ya same mlima shengena ,utapewa habari za kule, ukiangalia mazingira ya Same hayatofauti sana na dodoma au Tabora,

Same kuna nyoka wa kila aina ,pia kuna Mbuga ya Mkomazi nahisi hili pia linachangia
 
Habari za mida hii ndugu wananchi, kifupi mimi siyo mtaalamu wa wanyama ila ni mpenzi na mfuatiliaji wa masuala ya wanyama na makala zao kupitia TV na mitandao.

Nimetembea mikoa karibu yote Tanzania ila nimegundua kuwa dodoma ndo mkoa wenye NYOKA wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania. Pia nimekutana na watu wengine ambao pia wanadai dodoma hakufai, kisa wingi wa NYOKA.

Hii ni orodha ya nyoka ''HATARI" niliowaona kwa macho yangu katika ardhi ya Dodoma.

Koboko (black mamba)
Swila wa msituni (forest cobra)
Nyoka kijiti (twig snake)
Boomslang
Kifutu (puff adder)
Kifutu magamba (saw scalled viper)
Swila mweusi (spitting cobra)

THIBITISHENI AU BATILISHENI HILI KUHUSU DODOMA.
Hujafika tabora ...ndio makao makuu yao wakitoka hapo ndio wanahamia mikoa mingine
 
Ni kweli. Ila kuna sehemu zenye nyoka zaidi. Kuna jamaa yangu alifiwa na baba yake huko Nachingwea. Ilikuwaje? Baba aligongwa na nyoka akiwa shambani analima. Ktendo cha alikuwa nao kutoka shambani kwenda kutafuta bodaboda na wa kumpeleka hospital akawa ameshafariki. Sikujua ni nyoka gani alimgonga.
Huko Nachingwea nadhani kunaweza kuwa kunaongoza kwa Nyoka hapa Nchini.

Wale Nyoka wengi waliletwa na Wakoloni kipindi wanaendesha shughuli za kilimo kwenye yale mashamba yao ya kuanzia farm 1 hadi farm 17 ili kudhibiti panya na wadudu wengine waharibifu wa mazao.

Baada ya Wakoloni kuondoka waliacha wale Nyoka wamezaliana kupita kiasi na kuwatelekeza huko maporini.
 
Habari za mida hii ndugu wananchi, kifupi mimi siyo mtaalamu wa wanyama ila ni mpenzi na mfuatiliaji wa masuala ya wanyama na makala zao kupitia TV na mitandao.

Nimetembea mikoa karibu yote Tanzania ila nimegundua kuwa dodoma ndo mkoa wenye NYOKA wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania. Pia nimekutana na watu wengine ambao pia wanadai dodoma hakufai, kisa wingi wa NYOKA.

Hii ni orodha ya nyoka ''HATARI" niliowaona kwa macho yangu katika ardhi ya Dodoma.

Koboko (black mamba)
Swila wa msituni (forest cobra)
Nyoka kijiti (twig snake)
Boomslang
Kifutu (puff adder)
Kifutu magamba (saw scalled viper)
Swila mweusi (spitting cobra)

THIBITISHENI AU BATILISHENI HILI KUHUSU DODOMA.
Duuh!
 
Dodoma ipi me nimekulia na kusomea dodoma ila hao nyoka nimekutana nao mara chache sana pia tuna mashamba kuanzia veyula,mzakwe,zanka na mayamaya kipindi cha kilimo muda mwingi huwa tunakuwa huko lakini ni mara chache sana utakutana na nyoka
Dom hakuna nyoka, nmekaa dom zaidi ya miaka 7 nimewahi kuona nyoka mara moja tu tena kipindi cha masika.
 
Back
Top Bottom