Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

Sawa dada
Ongeeni bila kutuma picha pleaseee!
Maneno tu yananiogopesha
GJAkWuLWsAAvuY8.jpeg
 
H
Nachingwea ndio Wakoloni kipindi cha Ptoject ya Kilimo cha Karanga waliachia au tuseme kufuga nyoka na kuwaachia Mashambani ili wawale Panya...kwaiyo Nyoka Nachingwea ni

Nachingwea ndio Wakoloni kipindi cha Ptoject ya Kilimo cha Karanga waliachia au tuseme kufuga nyoka na kuwaachia Mashambani ili wawale Panya...kwaiyo Nyoka Nachingwea ni wengi
Walichota nyoka wachache huko dodoma na kuwapeleka nachingwea
 
Sikupingi hata kidogo.Mimi niliwahi kwenda Mpwapwa kwa ajili ya field practices za mambo ya upimaji ardhi.Tulikuwa tunafanyia maporini huko kwenye mibuyu kibao.Aisee nilikumbana na nyoka wa kila aina ya rangi.
Sawa sawa mpima, kwa hiyo ukaamua kujiita ZENITH na sio NADIR
 
Back
Top Bottom