Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Kuwauzia watu tips ni Utapelii piaaa..
hapana unatumia knowledge yako kuchagua teams zenye uwekezano haulazimishi mtu na mtu anakuja kwako sababu ya knowledge yako team gani at a given day ina probability ya kushinda..., ila ukiongelea kama ni ethical.., its debatable sababu kwangu mimi hata kina Sportspesa, Mzuka n.k. inachokifanya kwa jamii its not ethical
 
Aiseeeee
 
Emotionally and time wastage? Sasa mkuu Nina M15 hapa we unaniambia nimepoteza muda? Haha
leo na sasa una 15M kesho na kesho kutwa ? na hio graph yako ipoje sitashangaa kama ilifika mpaka 50M na ikashuka mpaka 15M

mwenyewe nilishafanya research kwa kutumia misimu iliyopita ya championship just to prove a point "chasing a draw" (paper trading, pesa yangu siwezi kumpa bookie kirahisi rahisi) kwa league ambayo ina percentage kubwa ya Draw kwa kutumia timu zote kwa kuanza na 500usd baada ya miezi sita tu ilipatikana zaidi ya 3000usd, na hapo hakuna game moja niliyoweka zaidi ya 100usd; kwenda misimu mingine kuona kama hii ni replicated kuna msimu Forest ilikwenda 20 games without a Draw.., just imagine kama unatumia progressive system ya kurecover loss inabidi uweke kiasi gani kwa hio timu ili u-break even ?

Moral of the story Ups and Downs sio within season tu, bali season to season
 
Time wastage?? [emoji23][emoji23] bro you need some milk.
Unajua maana ya long term loss ?, akiendelea betting no matter the system within next 5 years or less atakuwa amewapa hio 15M na zaidi hata akiwapa tuseme 14M faida ya 1M kwa muda wote huo kama sio time wastage ni nini ?

Kumbuka hapa hafanyi kama leisure kama mtu anavyokunywa bia na kuburudika hapa yeye ni biashara (investment to gain profit);
 
Umekuza kipato chako bila kufanya kazi (kuzalisha huduma / bidhaa), kwa lugha nyingine tunaita wizi / utapeli. Na ndio maana kuna vita inapigwa kuzifungia hivi vichaka vya wezi na matapeli.
mwisho wa siku what matters ni una nini mfukoni hio pesa aliyo ipata akienda kunywa chai anakuza kipato na kutengeneza mnyororo mkubwa wa thamani . au ...huku ww na kuchangia pato bado kama unalipa kodi unataka pato la aina gani au uzalishaji wa aina gani .....mwisho wa siku winner takes it all ...bla bla hazina msingi ....welfare at its best
 
Naomba unitumie kwa njia ya mmpesa takupa namba ya wakala....

Sure Bets - TOP 10
With sure bets you should always win. Use the calculator icon to count stakes. Sure bets are calculated from across all bookmakers we cover on OddsPortal. We only list 10 most profitable sure bet opportunities.
Want more than 10 sure bets? GET MORE >>

O/U 2.25TotalOverUnderProfit
Soccer» Israel»Leumit League
O/U 5.5TotalOverUnderProfit
Hockey» World»WCH IA
1X21X2Profit
Soccer» Israel»Leumit League
O/U 48.5TotalOverUnderProfit
Rugby Union» France»Top 14
O/U 2, 1st PeriodTotalOverUnderProfit
Hockey» USA»NHL
EH -2Total1X2Profit
EH -3Total1X2Profit
Soccer» Spain»Tercera Division - Group 1
1X21X2Profit
Soccer» Italy»Serie C - Group B
Home/Away12Profit
O/U 22.5 FramesTotalOverUnderProfit
Snooker» World»World Championship
Today
21:00
Hawkins B. - Wilson K.22.5
2.85

1.76
8.8%
Today
16:30
Trump J. - Ding J.
1.40

4.00
3.7%
Today
19:30
Sambenedettese - Gubbio
2.90

2.88

3.62
3.3%
Today
19:00
Barco - Porrino Industrial-3
6.25

5.75

1.57
3.0%
Today
19:00
Barco - Porrino Industrial-2
6.25

5.75

1.57
3.0%
Today
22:00
New York Islanders - Carolina Hurricanes2
4.35

1.35
3.0%
Today
17:50
Stade Francais Paris - Clermont48.5
2.20

1.93
2.8%
Tomorr.
19:00
H. Akko - Hapoel Petah Tikva
2.90

3.28

3.08
2.6%
Tomorr.
09:30
Hungary - South Korea5.5
2.44

1.76
2.2%
Today
19:00
Beitar Tel Aviv - Hap. Ramat Gan2.25
3.00

1.55
2.2%
More sure bets
 
Mkuu nisaidie bookmaker anayekubali single match...yaani kila mechi ijitegemee, mf. nikibet timu 4 mbili zikaenda against nillipwe za hizo mbili nilizopatia.
Naamanisha unaweka single as single..., sio multiple alafu upate chache..., ila huko nje kuna bookmakers unaweka bets alafu unasema stop at the winner, yaani kama ni double ikishinda ya kwanza basi asiende ya pili kwahio unatumia slips mbili zote zenye stops at the winner..., kumbuka mimi sio mdau wala I don't gamble ila kabla sijabisha kitu hakifai au kinafaa kwanza huwa nafanya due dilligence kujilizisha kwanini hakifai..

The only way of making cash kwenye football..., just became a bookmaker, au start a Tips Selling Platform...,
 
Leo Sevilla kafa...Arsenal kafaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Direct win chalii...
 
Umenijubu kwa lugha fasaha, pamoja na ugeni kwenye huu uwekezaji ila nimekuelewa 100%. Ngoja nika study faida na hasara yake!
 
Hizo option za ""Half with most goal"" unazicheza live Dakika ya ngapi?
 
Nakuelewa sana Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…