Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa apige chai kwanza anaelekea kudata
boss tupe uzoefu, ni option ipi ilikusaidia kukuza mtaji[emoji23][emoji23] huwezi amini nilianziaga 20K nikapanda mpaka laki 6 ila kazi ilivyoanza mpaka sasa nina senti tu.
Tamaa ndo mchawi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Raha ya kubet uweke mzigo wa maana,maana payback yake ni kubwa ukitusua.Hongera kwa kubahatika kukusanya hicho kiasi maana wengine tumechezea vipigo hadi tumestaafu[emoji3]
Mkakati niliweka mwepesi tuulikuwa unatumia mkakati gani mkuu... tupeane uzoefu!
boss tupe uzoefu, ni option ipi ilikusaidia kukuza mtaji
Mkakati niliweka mwepesi tu
Namba of bet kwa mwezi nilizilimit ziwe 6
Angalau kila week nibet mara moja..nakama week hilo lina game katikati ya week basi bet ziwe mbili kwa week
Nilijiwekea maximum odds ni 1.6 na minimum 1.5
Option nilijichagulia mbili tu double chance na 10 min draw
Nikaanza kazi sasa
Hujui unachoongea mkuu sure odds hakuna kitu kama hicho kuna sure bets maana yake ni sports arbitrage unatumia odds za kampuni tofauti mbili ambazo odds zake ni zaidi ya 100 percent unabet kampuni hii kiasi fulani timu A kushinda na Kampuni nyingine Timu A kushindwa hence no matter the outcomes unashinda pesaSo what's your point? We both know kuna kula na kuliwa ndo maana ikaitwa odds!! Hata 1.00000001 bado haiwezi kua sure odds!! Unachoongea kila mtu anakijua lakini ndo tushaamua kutake risks tuone inakuaje, maana kwangu Mimi naona kama kilimo ni betting tu vile vile
Can we end here please!! Spare us your articles na ushauri, we have heard that repetitively!!
1xbetJamani naomba ushauri ni kampuni gan nzuri ya kubet yenye single bet. Maana hawa superbet naona kodi kubwa
unadhani kati ya hizo option mbili ulizotumia ni ipi yenye unafuu wa kuwin! dah kazi ngumu sana hiiMkakati niliweka mwepesi tu
Namba of bet kwa mwezi nilizilimit ziwe 6
Angalau kila week nibet mara moja..nakama week hilo lina game katikati ya week basi bet ziwe mbili kwa week
Nilijiwekea maximum odds ni 1.6 na minimum 1.5
Option nilijichagulia mbili tu double chance na 10 min draw
Nikaanza kazi sasa
Betpawa japo option chache... Ila kama ni direct win ni kuzuriiJamani naomba ushauri ni kampuni gan nzuri ya kubet yenye single bet. Maana hawa superbet naona kodi kubwa
Hakuna yenye unafuuunadhani kati ya hizo option mbili ulizotumia ni ipi yenye unafuu wa kuwin! dah kazi ngumu sana hii
Jamani naomba ushauri ni kampuni gan nzuri ya kubet yenye single bet. Maana hawa superbet naona kodi kubwa
unadhani kati ya hizo option mbili ulizotumia ni ipi yenye unafuu wa kuwin! dah kazi ngumu sana hii
Hujui unachoongea mkuu sure odds hakuna kitu kama hicho kuna sure bets maana yake ni sports arbitrage unatumia odds za kampuni tofauti mbili ambazo odds zake ni zaidi ya 100 percent unabet kampuni hii kiasi fulani timu A kushinda na Kampuni nyingine Timu A kushindwa hence no matter the outcomes unashinda pesa
Tatizo letu binadamu kitu ambacho hujui ukiambiwa unaona mtu anakusema vibaya badala ya kuuliza huenda ukajua kitu.., nobody knows everything and even a Genius asks questions..., na kila anayekwambia kitu sio negativity bali ana mtizamo tofauti kwahio jibu kwa Hoja kwanini betting ni long term business..
huwezi kulinganisha risks involved kwenye kilimo a betting..., odds za ukilima sehemu yenye mvua nyingi, na uwezekano wa kumwagilizia propability ya kupanda mchicha ukavuna bangi sio sawa na probability ya kubet mfano Barcelona msimu mzima kwamba wanashinda the reality is mwenye kubet mwisho wa siku atalia
[emoji23][emoji23][emoji23] hii kitu sio mara ya kwanza kukuona unaandika, pia kama sikosei ulipigaga 10M kwa stake ya 200k au nakosea ulichezaga ile ligi ya england
Tatizo hawawezi wakakuelewa boss ni mtihani saaanaa!!Mkuu I repeat no one makes long term money in any football system long term.., its mathematically impossible.., nishafanya research ya all so called systems iwe fixed betting au kutumia kina fibonacci, martingale, hadi kwenye in play backing and laying..., watu wanao make fortunes ni bookmakers na wanaouza system kwa watu juu ya betting.
huwezi ukasema unamake fortune hata ungekuwa una billion ishirini na unabet Timu kama Real Madrid au Man City au Barcelona zenye 95% za kushinda odds sababu ni ndogo hata ukishinda mara 19 ile ya 20 bahati mbaya ukishindwa ukipiga hesabu if you are lucky unaweza ukajikuta umeshinda 10% au umebreak even realistically utajikuta umeloose big time; na hapo kama una-bet Africa haujaweka kodi (Tax on Winning) kwahio hizo odds unazoziona after Tax hio 1.5 au 2.5 sio hio bali ni way less....Its not a business if anytime you can loose all of your cash niambie ni nani kazi yake ni betting na anaishi kwa hizo betting na sio kuuza vitabu, systems au Tips
Unajiungaje hyo princess bet mkuu na wana single bet?Princess bet wako vizuri na kodi yako wanakulipia wewe kwa mfumo wa bonus..
Mfano mechi ya odds 2.0 ukiweka 3000 unapata 6000 kama ilivyo.
[Www.princessbet.co.tz ] single bet ipoUnajiungaje hyo princess bet mkuu na wana single bet?